Uchambuzi: Siioni Simba ikipata ushindi mbele ya Azam

Mke wako ana kazi walai...mwanaume una gubu kwa wanaume wenzio kila siku kuwaombea mabaya...hivi ushaona kuna mwa a Simba anae anzishaga uzi za kipumbavu kama zako?? Sijui una matatizo gani..hunaga content nyingine?
Huyo kenge anatafuta bwana wa kumpiga nao. Sijui kwanini amwombe Mondi ampeleke kwa Puffy Daddy?
 
Ha haaa
 
Hakuna timu ya kuifunga Simba kwenye ligi msimu huu.
 
Ni wapemba wachache sana wenye akili
 
AZAM ni timu ndogo sana. na huwa nafurahi sana ikifungwa kwasababu tu feiza toto aliyetetewa na mama kizmkazi anachezea kule. nitakuja kuwaonea huruma akifukuzwa na kule.
 
Kuna kitu hakipo sawa......

Hivi hii Azam ndio inayoikamiaga Yanga au ???[emoji3063][emoji3063][emoji3063]
 
Kuna kitu hakipo sawa......

Hivi hii Azam ndio inayoikamiaga Yanga au ???[emoji3063][emoji3063][emoji3063]
 
Pumzika sasa na huu upuuzi wako
 
Pumzika sasa na huu upuuzi wako
Leo pia unaomba BAN ya muda gani ikiwa matokeo yakiwa nje ya matarajio yako?
Hathubutu tena huo upuuzi wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…