mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Wazee wa vuta mtamboooNakubaliana nawe kwa asilimia 100 yote uliyoandika...miaka 60 ya uhuru tunaokoa kwa kambaView attachment 2408458
Wavuvi hawa au
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazee wa vuta mtamboooNakubaliana nawe kwa asilimia 100 yote uliyoandika...miaka 60 ya uhuru tunaokoa kwa kambaView attachment 2408458
Naona maswali yako konki hayajibiwiHuyu Rubani unayemsifia hapa Kapona?
Ila zina life jacketsNdege za abiria hazinaga parachuti..parachuti ni kwa ajili ya ndege vita na zile za michezo. Ndege za abiria zina maboya ya kuelea majini si parachuti
Msiwe mnaandika vitu hamjui😁 sometime kukaa kimya Ni better zaidiKatika masomo ambayo niliishia njiani ilikuwa kusomea urubani wa ndege!
Ndege ni chombo cha usafiri kinachoongoza kwa usalama kuliko vyombo vingine!
Ukubwa wa ajali ya ndege hutegemea na uzembe wa mamlaka zingine saidizi!
Ndege ina injini zaidi moja, mfano zilizopo Tanzania nyingi zina injini tatu!
Injini moja ikifeli haizuii ndege kutua kwa kutumia injini nyingine kwa dharula!
Ajali ya precision air huko bukoba, Rubani kafanya kazi yake kwa usahihi kabisa!
Ndege inapoaanza safari huhifadhi oksjeni ya kutosha kulingana na ukubwa wa ndege!
Hewa hiyo ndiyo hutumika na abiria wawapo angani hadi wafikapo safari!
Ndege inapowashwa ndipo mitambo ya hali ya hewa kwenye ndege nayo hufanya kazi!
Ndege ikizimwa hata hewa hukosekana inakuwa sawa na chupa iliyofungwa!
Hivyo kama ndege hutegemea Hali ya hewa kupaa na kutua maana yake kazi ya rubani ni kuhakikisha anaipaisha au kuitua kulingana na Hali!
Tukio la precision linampa pongezi kubwa rubani kwamba baada ya hali kuwa mbaya!
Jambo la kwanza ilikuwa kuangalia yuko umbali gani kutoka ardhini! Karibu au mbali
Kama angekuwa juu sana na hali ikawa mbaya kutokana na hitilafu za chombo kuna namna nyingine ya kuokoa abiria
Lakini kama yuko mbali na chombo ni kizima lakini shida ni mawasiliano Basi hupaswa kutua uwanja uliyokaribu au kurudi!
Shida ni hapo akiwa karibu na ardhini halafu hali ya hewa iwe mbaya ambayo kuendelea na safari angani haiwezekani na mawasiliano ni mabovu!
Njia pekee ya rubani katika hali hiyo ni kupunguza risk! Yaani kuhakikisha anaitua ndege porini, jangwani au ziwani/baharini!
Rubani wa precision alifanikiwa sana kutua ndege salama! Shida yoyote ambayo huhatarisha uhai katika mazingira hayo ni ukosefu wa huduma saidizi! (Poor rescue team with morden technology)
Kama nilivyosema hapo awali ndege hutegemea hewa iliyotoka nayo ili watu wapumue!
Sasa ikitua baharini kama hakujapasuliwa kioo hewa haipiti watu ni rahisi kuzimia (faint)
Pia wanaowahi kuja kuokoa wakizibua vibaya maji huingia na watu hukanyagana kutokana na kutaka kuokolewa haraka!
Tukio la precision rubani kafanya kazi yake. Vyema! Mengine ni uzembe wa rescue team!
Wavuvi wamefanya wanachoweza kujitolea! Uzembe ni kwa mamlaka za uokoaji!
Kwa ajali za kuruka na parachute bado abiria wanaweza toka ote kwenye Ndege angani! Lakini huku duniani wakaenda kutua juu ya mbuga ya wanyama kama hakuna msaada watakufa hata juu ya mchongoma!
Usafiri wa ndege ni salama angani! Kuna rubani namba moja, rubani namba mbili, Technician Fundi rubani namba tatu usalama ni mkubwa kwa waongozaji hata mmoja akilala,
Matatizo yapo huku chini duniani namna ya uokoaji!
Na baada ya kugundua hili ni tatizo maboresho ya kizazi cha ndege kuelea kinafanyiwa kazi, ili hata ndege ikifa angani yenyewe nzima nzima iwe na parachute la kuelea taratibu, na ikitua baharini iweze pia kuelea kama meli!!
Lakini kwa sasa tatizo kubwa ni uokoaji kwa wakati! Vifo vingi ni uzembe kwa waokoaji!
Haya sasa wewe ambae sio mjuaji tuambie hiyo ndege ya abiria ambayo wanaweza kupewa parachute na kujiokoa??Nadhani wewe ndo hujaelewa, ameanza kwa kutoa general knowledge kuhusu usalama wa ndege, then ndo akaja kuongelea specifically issue ya Precision. Hapa anayejifanya mjuaji ni wewe.
Wewe unaejua tusaidie Basi! Hoja hupingwa kwa hoja!Msiwe mnaandika vitu hamjui😁 sometime kukaa kimya Ni better zaidi
Rescue problemNimekumbuka ajali ya Mv Spice watu walikufa kimasihara...yaani lisaa lizima waokoaji hawajafika eneo la tukio...na baada ya kufika hata hawakujua wafanye Nini zaidi ya kusubiri meli yote izame watoe Maiti hai... pathetic pit
Uko sahihiTaarifa kamili zitawekwa bayana, na uzuri ni kwamba rubani yungali hai...
Huenda ni hitilafu ya ndege yenyewe, huenda ni hali ya mbaya ya hewa, huenda rubani mkuu alipata tatizo la kiafya dakika chache kabla ya touch down n.k n.k
'Usafiri' wa ndege bado utabaki kuwa salama...
Endelea kuwa jeuri hvyo hvyo...hta wife akichanganya L na R usimsikilize....jamaa jinga kweli, usafili ndio nini sasa. mi nikiona heading imekosewa tu tena kwenye L na R huwaga sisomi maana najua mada itakuwa haina maana. kama mtu anashindwa kutofautisha L and R ataweza andika mada vzr
Acha haraka zako hebu rudi studio karekebishe USAFILI isomeke USAFIRI, nafasi yako tutakutunzia.Katika masomo ambayo niliishia njiani ilikuwa kusomea urubani wa ndege!
Ndege ni chombo cha usafiri kinachoongoza kwa usalama kuliko vyombo vingine!
Ukubwa wa ajali ya ndege hutegemea na uzembe wa mamlaka zingine saidizi!
Ndege ina injini zaidi moja, mfano zilizopo Tanzania nyingi zina injini tatu!
Injini moja ikifeli haizuii ndege kutua kwa kutumia injini nyingine kwa dharula!
Ajali ya precision air huko bukoba, Rubani kafanya kazi yake kwa usahihi kabisa!
Ndege inapoaanza safari huhifadhi oksjeni ya kutosha kulingana na ukubwa wa ndege!
Hewa hiyo ndiyo hutumika na abiria wawapo angani hadi wafikapo safari!
Ndege inapowashwa ndipo mitambo ya hali ya hewa kwenye ndege nayo hufanya kazi!
Ndege ikizimwa hata hewa hukosekana inakuwa sawa na chupa iliyofungwa!
Hivyo kama ndege hutegemea Hali ya hewa kupaa na kutua maana yake kazi ya rubani ni kuhakikisha anaipaisha au kuitua kulingana na Hali!
Tukio la precision linampa pongezi kubwa rubani kwamba baada ya hali kuwa mbaya!
Jambo la kwanza ilikuwa kuangalia yuko umbali gani kutoka ardhini! Karibu au mbali
Kama angekuwa juu sana na hali ikawa mbaya kutokana na hitilafu za chombo kuna namna nyingine ya kuokoa abiria
Lakini kama yuko mbali na chombo ni kizima lakini shida ni mawasiliano Basi hupaswa kutua uwanja uliyokaribu au kurudi!
Shida ni hapo akiwa karibu na ardhini halafu hali ya hewa iwe mbaya ambayo kuendelea na safari angani haiwezekani na mawasiliano ni mabovu!
Njia pekee ya rubani katika hali hiyo ni kupunguza risk! Yaani kuhakikisha anaitua ndege porini, jangwani au ziwani/baharini!
Rubani wa precision alifanikiwa sana kutua ndege salama! Shida yoyote ambayo huhatarisha uhai katika mazingira hayo ni ukosefu wa huduma saidizi! (Poor rescue team with morden technology)
Kama nilivyosema hapo awali ndege hutegemea hewa iliyotoka nayo ili watu wapumue!
Sasa ikitua baharini kama hakujapasuliwa kioo hewa haipiti watu ni rahisi kuzimia (faint)
Pia wanaowahi kuja kuokoa wakizibua vibaya maji huingia na watu hukanyagana kutokana na kutaka kuokolewa haraka!
Tukio la precision rubani kafanya kazi yake. Vyema! Mengine ni uzembe wa rescue team!
Wavuvi wamefanya wanachoweza kujitolea! Uzembe ni kwa mamlaka za uokoaji!
Kwa ajali za kuruka na parachute bado abiria wanaweza toka ote kwenye Ndege angani! Lakini huku duniani wakaenda kutua juu ya mbuga ya wanyama kama hakuna msaada watakufa hata juu ya mchongoma!
Usafiri wa ndege ni salama angani! Kuna rubani namba moja, rubani namba mbili, Technician Fundi rubani namba tatu usalama ni mkubwa kwa waongozaji hata mmoja akilala,
Matatizo yapo huku chini duniani namna ya uokoaji!
Na baada ya kugundua hili ni tatizo maboresho ya kizazi cha ndege kuelea kinafanyiwa kazi, ili hata ndege ikifa angani yenyewe nzima nzima iwe na parachute la kuelea taratibu, na ikitua baharini iweze pia kuelea kama meli!!
Lakini kwa sasa tatizo kubwa ni uokoaji kwa wakati! Vifo vingi ni uzembe kwa waokoaji!
Hiv walishindwa kukodi hata tractor [emoji609] ? Au bas hata gar fulan nzito nzito zenye nguvu ?Nakubaliana nawe kwa asilimia 100 yote uliyoandika...miaka 60 ya uhuru tunaokoa kwa kambaView attachment 2408458
Waokoaji Tanzania huwa ni RAIA mamlaka nikutafuna pesaHiv walishindwa kukodi hata tractor [emoji609] ? Au bas hata gar fulan nzito nzito zenye nguvu ?
Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
Sasa ueleze unavyoelewa mkuu mbon unakua km uneducated kwanini hupingi kwa kutoa hoja zako unazoona zina mashiko, unapopinga bila kueleza chochote wewe ndio unaonekana hujui kitu ila unajibaraghuza tu hapa na wewe uonekane unajua kumbe empty tuSijui sana kuhusu ndege ila ulicho andika inaonekana na wewe pia hujui chochote tena Bora yangu Cha ajabu kwa akili hii ukiitwa mla mihogo utakasirika Kama wale mashabiki wa yanga
Wameokoa aiseeWazee wa vuta mtambooo
Wavuvi hawa au
Ova
Majini?[emoji23]Hiv walishindwa kukodi hata tractor [emoji609] ? Au bas hata gar fulan nzito nzito zenye nguvu ?
Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
...Hii Ina Rubani Wawili. Captain na Co-Pilot...Kama kufa labda afe kwa kukosa msaada wa uokoaji!
Lakini kazi yake kafanya vyema!
Ikumbukwe ndege haina rubani mmoja, kuna rubani namba 1&2 na tatu ni fundi wa ndege!