mbaghato chaka
JF-Expert Member
- Jun 6, 2021
- 521
- 664
Yacobo na yusuph sio ndugu bali ni mtu na mwanae, yaani yusuph ni mtoto wa yacobo wa kuzaa kabisaBraza angu alinipa hadithi ya Yacobo na Yusuph nikiwa chalii tukisubiri gemu za Uefa nilimuelewa sana akasema hao ni ndugu na hata hapa unaona wanatofautiana sana ni kwa kuwa wengi hawana uelewa wa hizi dini zetu wamekaririshwa kuchukiana wakati ni ndugu moja...baadae nikafatilia kwenye Biblia nikakuta ni kitu kile kile hata mitume wengi ni wale wale...
[emoji85][emoji85][emoji89]Roho zidanganyazo zimekupata. Nadhani utakuwa umetembelewa na jibril. Uwe makini maana jibril alimkaba muhammad kule mapangoni hadi akarudi kwa Khadija akiomba afunikwe na mablanketi.
Jibril alikuwa anamlazimisha asome kitabu. Alikuwa hajui kama Muhammad alikuwa illiterate? Hicho kitabu ni kipi hasa wakati quran haikuwepo?
Yesu Kristo ndiye Mungu wa milele, muumba wa mbingu na nchi na vyote vinavyoonekana na visivyoonekana.
Mbona nje ya madaNdugu hebu tuletee Aya or any evidence ku-prove kuwa mtume Muhammad ndie muanzlsh wa uislam
Asie jua anadai kujua na kumwambia mjuzi kuwa hajuiKumbe hata Uislamu wenyewe huujui. Waulize kama hicho nilichoandika hapo sio kweli.
Upo sahihi Mkuu nilichanganya Yusuph mwana wa Yacobo na Yacobo mwana wa Isihaka...Yacobo na yusuph sio ndugu bali ni mtu na mwanae, yaani yusuph ni mtoto wa yacobo wa kuzaa kabisa
Mambo unayofundishwa msikitini yanayohusu ukristo Uwe na tabia ya kuyapitia wewe binafsi na kuyachuja usiyabebe kama yalivyo maana yanakufanya unakuwa kama kasuku.Wallah nakwambia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hizi dini usizungumzie kwa chuki wala ubaguzi kumbuka zimeletwa na wamissionary na Waarabu walipokuja kuchukua malighafi Afrika mimi siwezi kumchukia au kumbagua mtu kwa Dini yake najua historia yake jinsi ilivyosambazwa...Nakukumbusha TU,,zaburi ya mfalme makini Daudi (King David) imeandikwa miaka yapata 2000 kabla hakujakuwa na dini inayoitwa uislam..Kwa hio hakukuwa na Muhammad,, Quran Wala Mungu wenu Allah Subhana Wataalah.Kwa hio ni Kitendo Cha utapeli wa maneno kutumia maneno ya zaburi kuuongelea uislam usiojisimamia wenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa hujanielewa,,,nisome vizuri Tena.Allah Subhana Wataalah ana majina 99,,,na akasema kwenu nyie wafuasi wake kwamba ""atakaejua jina lake la 100 ataingia peponi,,,Sasa wewe maalim nilitaka unionyeshe jina la Yehova,,au shadai au Elohim au Adonai katika hayo majina 99 ya Subhana Wataalah..Kukukumbusha ni kwamba Allah ni cheo sio jina,,,Maana 3 za ALLAH ni Mungu (cheo),,mzee na chai.Kwa hio nyie waislam Mungu wenu ni Subhana Wataalah,,,jina lake la kwanza,,,mengine pia wayajua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jibu swali pale msalaban alikuwa akimlilia mungu gani endapo ye ndo mungu, sisi tusiojua tupate elimNyie si mnasema hakuwekwa msalabani sasa mmejuaje kama alilia?[emoji23]
Nakukumbusha TU,,zaburi ya mfalme makini Daudi (King David) imeandikwa miaka yapata 2000 kabla hakujakuwa na dini inayoitwa uislam..Kwa hio hakukuwa na Muhammad,, Quran Wala Mungu wenu Allah Subhana Wataalah.Kwa hio ni Kitendo Cha utapeli wa maneno kutumia maneno ya zaburi kuuongelea uislam usiojisimamia wenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tupe basi hizo fact tujueAchana na hizo propaganda,mara kadhaa tangu kwenye vitabu vya agano la kale tunaona Mungu akijidhihirisha katika nafsi zaidi ya moja.Sio habari mpya.
Na hata tu baada ya Yesu kuja tumeona mara kadhaa Mungu akijipambanua katika nafsi zaidi ya Moja.
Kwa kuwa huelewi kitu kuhusu Ukristru huwezi kuona.
Paulo ni mtume wa kipekee aliewahi kutokea,,,na mchango wake katika injili ni outstanding/Unquestionable na pia hauwezi kuwa challenged na muislam yoyote hata marehemu Muhammad.Injili alioipotosha labda ni injili ya kiislam ya baraba.
Sent using Jamii Forums mobile app
| Differences of the Ministries of Jesus and Paul | |
| Jesus: | Paul: |
| 1. Preached the gospel of the kingdom | 1. Preached the gospel of the grace of God |
| 2. Defined the “kingdom of heaven” as Israel’s prophetic earthly kingdom | 2. Defined the “kingdom of heaven” as the heavenly position of the body of Christ |
| 3. Presented Himself as the Messiah and King of the Jews (Israel) | 3. Presented Jesus as the risen Lord, Head of the Church, the body of Christ |
| 4. Preached repentance, water baptism, keeping the Law, forgiving others, and faith in who He was as necessary for salvation | 4. Preached faith alone in the death, burial, and resurrection of Christ as necessary for salvation |
| 5. Had Jews as His audience (a couple exceptions) | 5. Had Gentiles as his primary audience |
| 6. Operated under the Mosaic Law | 6. Operated under grace |
Soma history ya Paulo vizuri Iko yote ndani ya biblia usisikilize wanaomchukia na pia ondoa chuki dhidi yake na bila shaka utaweza kusoma nyaraka zake.Kwa kifupi Paulo alikuwa na Ego ilio juu ila baadae alikuja kuwa humble baada ya kumwelewa vizuri Kristo Yesu,,pia alikuwa mtume miongoni mwa mitume wa YESU KRISTO na alichaguliwa special kwa ajili ya mataifa eg Greece,, Cyprus,,Syria,,Italia, Macedonia uturuki nk huko kote ndie alieifikisha injili,,alibatiza kwa maji na kwa roho mtakatifu na alikufa kishahidi na bila shaka yupo mahali pa amani.Hakubadili torati ila aliikamilisha kama ilivyotakiwa iwe,,,na alikuwa akiijua torati kwa moyo ndio maana aliisimamia kwa usahihi Hadi alipokutana na neema akabadilishwa na akawa Bora zaidi.Na kazi alioifanya imekuwa na ubora usiofifia.
Ninyi hamumpendi kwa sababu mnadhani ana chuki na Sheria lakini yeye alichokifanya ni kuileta njia mpya ya utekelezaji wa Sheria bila Sheria kuwa dominant force ilio against na utekelezaji wake,,eg Umeambiwa usizini lakini tamaa ya kuzini ni kubwa kuliko Sheria ya kuzini..Sasa yeye anamfundisha muamini njia ya kuweza kutekeleza Sheria ya kutokuzini,,kuiba,,kuuwa pasipo na kutumia nguvu za mwili au akili.
Paulo waislam mnamchukia kwa sababu hamumuelewi maandiko yake na Ile Hali ya nyie kutokukubali ukweli kwamba uislam hauko kwenye biblia,,, uislam unajitegemea wenyewe na hauna uhusiano wowote na ukristo....Nyie mnatakiwa mkomae na Muhammad,,Seydina Ali,, Seydina Umar,,Abu hureira nk..
Sent using Jamii Forums mobile app
Soma history ya Paulo vizuri Iko yote ndani ya biblia usisikilize wanaomchukia na pia ondoa chuki dhidi yake na bila shaka utaweza kusoma nyaraka zake.Kwa kifupi Paulo alikuwa na Ego ilio juu ila baadae alikuja kuwa humble baada ya kumwelewa vizuri Kristo Yesu,,pia alikuwa mtume miongoni mwa mitume wa YESU KRISTO na alichaguliwa special kwa ajili ya mataifa eg Greece,, Cyprus,,Syria,,Italia, Macedonia uturuki nk huko kote ndie alieifikisha injili,,alibatiza kwa maji na kwa roho mtakatifu na alikufa kishahidi na bila shaka yupo mahali pa amani.Hakubadili torati ila aliikamilisha kama ilivyotakiwa iwe,,,na alikuwa akiijua torati kwa moyo ndio maana aliisimamia kwa usahihi Hadi alipokutana na neema akabadilishwa na akawa Bora zaidi.Na kazi alioifanya imekuwa na ubora usiofifia.
Ninyi hamumpendi kwa sababu mnadhani ana chuki na Sheria lakini yeye alichokifanya ni kuileta njia mpya ya utekelezaji wa Sheria bila Sheria kuwa dominant force ilio against na utekelezaji wake,,eg Umeambiwa usizini lakini tamaa ya kuzini ni kubwa kuliko Sheria ya kuzini..Sasa yeye anamfundisha muamini njia ya kuweza kutekeleza Sheria ya kutokuzini,,kuiba,,kuuwa pasipo na kutumia nguvu za mwili au akili.
Paulo waislam mnamchukia kwa sababu hamumuelewi maandiko yake na Ile Hali ya nyie kutokukubali ukweli kwamba uislam hauko kwenye biblia,,, uislam unajitegemea wenyewe na hauna uhusiano wowote na ukristo....Nyie mnatakiwa mkomae na Muhammad,,Seydina Ali,, Seydina Umar,,Abu hureira nk..
Sent using Jamii Forums mobile app
Soma history ya Paulo vizuri Iko yote ndani ya biblia usisikilize wanaomchukia na pia ondoa chuki dhidi yake na bila shaka utaweza kusoma nyaraka zake.Kwa kifupi Paulo alikuwa na Ego ilio juu ila baadae alikuja kuwa humble baada ya kumwelewa vizuri Kristo Yesu,,pia alikuwa mtume miongoni mwa mitume wa YESU KRISTO na alichaguliwa special kwa ajili ya mataifa eg Greece,, Cyprus,,Syria,,Italia, Macedonia uturuki nk huko kote ndie alieifikisha injili,,alibatiza kwa maji na kwa roho mtakatifu na alikufa kishahidi na bila shaka yupo mahali pa amani.Hakubadili torati ila aliikamilisha kama ilivyotakiwa iwe,,,na alikuwa akiijua torati kwa moyo ndio maana aliisimamia kwa usahihi Hadi alipokutana na neema akabadilishwa na akawa Bora zaidi.Na kazi alioifanya imekuwa na ubora usiofifia.
Ninyi hamumpendi kwa sababu mnadhani ana chuki na Sheria lakini yeye alichokifanya ni kuileta njia mpya ya utekelezaji wa Sheria bila Sheria kuwa dominant force ilio against na utekelezaji wake,,eg Umeambiwa usizini lakini tamaa ya kuzini ni kubwa kuliko Sheria ya kuzini..Sasa yeye anamfundisha muamini njia ya kuweza kutekeleza Sheria ya kutokuzini,,kuiba,,kuuwa pasipo na kutumia nguvu za mwili au akili.
Paulo waislam mnamchukia kwa sababu hamumuelewi maandiko yake na Ile Hali ya nyie kutokukubali ukweli kwamba uislam hauko kwenye biblia,,, uislam unajitegemea wenyewe na hauna uhusiano wowote na ukristo....Nyie mnatakiwa mkomae na Muhammad,,Seydina Ali,, Seydina Umar,,Abu hureira nk..
Sent using Jamii Forums mobile app
Soma history ya Paulo vizuri Iko yote ndani ya biblia usisikilize wanaomchukia na pia ondoa chuki dhidi yake na bila shaka utaweza kusoma nyaraka zake.Kwa kifupi Paulo alikuwa na Ego ilio juu ila baadae alikuja kuwa humble baada ya kumwelewa vizuri Kristo Yesu,,pia alikuwa mtume miongoni mwa mitume wa YESU KRISTO na alichaguliwa special kwa ajili ya mataifa eg Greece,, Cyprus,,Syria,,Italia, Macedonia uturuki nk huko kote ndie alieifikisha injili,,alibatiza kwa maji na kwa roho mtakatifu na alikufa kishahidi na bila shaka yupo mahali pa amani.Hakubadili torati ila aliikamilisha kama ilivyotakiwa iwe,,,na alikuwa akiijua torati kwa moyo ndio maana aliisimamia kwa usahihi Hadi alipokutana na neema akabadilishwa na akawa Bora zaidi.Na kazi alioifanya imekuwa na ubora usiofifia.
Ninyi hamumpendi kwa sababu mnadhani ana chuki na Sheria lakini yeye alichokifanya ni kuileta njia mpya ya utekelezaji wa Sheria bila Sheria kuwa dominant force ilio against na utekelezaji wake,,eg Umeambiwa usizini lakini tamaa ya kuzini ni kubwa kuliko Sheria ya kuzini..Sasa yeye anamfundisha muamini njia ya kuweza kutekeleza Sheria ya kutokuzini,,kuiba,,kuuwa pasipo na kutumia nguvu za mwili au akili.
Paulo waislam mnamchukia kwa sababu hamumuelewi maandiko yake na Ile Hali ya nyie kutokukubali ukweli kwamba uislam hauko kwenye biblia,,, uislam unajitegemea wenyewe na hauna uhusiano wowote na ukristo....Nyie mnatakiwa mkomae na Muhammad,,Seydina Ali,, Seydina Umar,,Abu hureira nk..
Sent using Jamii Forums mobile app
aiseee... umefikiria sana mkuu
Sio kweliAnaandika Robert Heriel,
Ukristo na Uislam ni watoto wa baba mmoja aitwaye Uyahudi.
Licha ya kuwa Ukristo ulitangulia kabla ya Uislam lakini Uislam kwenye ishu ya maadili upo makini zaidi kuliko Ukristo, na dini hizo zote mbili baba yao ni dini ya Kiyahudi (Judaism).
Ukisema Ukristo ni mtoto mtundu au mkaidi aliyegundua mavumbuzi mengi hautokuwa unakosea. Labda kwa vile ni mtoto wa kwanza. Uislam ni lastborn wa Uyahudi ambao umeendelea kushika baadhi ya Falsafa na principles za baba yake.
Dini ni maadili ambayo yamejengwa kwa msingi wa imani. Kuamini katika miungu, lakini lengo kuu la dini ni ishu ya maadili.
Ukristo na Uislam hauwezi kusimama wenyewe bila kutegemea Uyahudi, hiyo haiwezekaniki kwani huyo ndiye baba yao. Hata hivyo kama utatazama kwa jicho lisilo la makengeza, unaweza kuona bila ya shaka kuwa Ukristo unahangaika kujitegemea wenyewe pasipo kufuata misingi ya baba yake Uyahudi.
Licha ya kuwa lastborn Uislam anaonekana kuwa alimpinga na hamtaki baba yake Myahudi lakini ukiangalia mtazamo na falsafa zake bado zinajikita kwa baba yake. Wakati huo Ukristo yeye kwa vile ni firstborn ambaye kisheria ndiye mrithi kwa nje anaonekana kumkubali baba yake Myahudi lakini kimatendo na kifalsafa anampinga baba yake.
Baada ya watoto kukua wanahama na kwenda kuanzisha miji yao. Ukristo boma/mji wake aliuita KANISA
Uislam boma/mji wake akauita MSIKITI. Wakazaliwa watoto, Ukristo ukazaa Wakristo wakati Uislam ukazaa watoto Waislam ambaye babu yao ni Uyahudi.
Falsafa chache za baba Uyahudi ukilinganisha na watoto wake wawili:
1. Mungu ni mmoja,
Ukristo hauamini katika Mungu mmoja isipokuwa mmoja katika utatu Mtakatifu. Baba, mwana, na roho mtakatifu.
Uislam unaungana na Baba yake Uyahudi kuwa Mungu ni mmoja na wapekee asiye na mshirika. Yaani hakuna cha utatu wala upili. Katika falsafa hii Ukristo unapingana na baba yake huku Uislam ukiungana na Baba yake.
2. Mungu ni mtakatifu/msafi
Ukristo: Mtoto huyu anasema kwa mdomo jambo hilo lakini kivitendo anapingana nalo.
Ukristo huweza kumruhusu hata mtu aliyejinyea asimame madhabahuni, mtu mchafu wa mwili na mavazi.
Ukristo mtu huweza kwenda kanisani akaingia na viatu lakini akifika kwake akavua viatu.
Ukristo umejijenga zaidi katika kanuni ya kusafisha ndani zaidi kuliko nje. Lakini umesahau kuwa uchafu unatokea nje kwenda ndani.
Ukristo unaruhusu mtu kula jambo lolote kwa imani, siyo ajabu Ukristo mtu kula nguruwe au panya au mbwa kwa sababu ni kwa imani.
Uislam: Mtoto huyu anasema mdomoni na kutekeleza kwa vitendo. Falsafa na kanuni hizi amezitoa kwa baba yake aitwaye Uyahudi. Mungu ni msafi/mtakatifu na anataka watu wake wawe watakatifu/wasafi.
Uislam umeiga tabia ya baba yake kugawa vitu visafi na vichafu. Kipi chafaa kula na kipi hakifai. Uislam hauwezi kula uchafu.
3. Ndoa na mahusiano.
Ukristo: Mtoto huyu amemuasi baba yake dhahiri shahiri. Uyahudi kuna sheria ya talaka lakini Ukristo kaamua kuiweka kapuni. Hii inafanya watu wawe watumwa kwenye mahusiano yasiyo na tija.
Ikiwa siyo lazima kuwa na mahusiano na Mungu iweje iwe lazima ukioa mke au kuolewa na mume muishi maisha yote? Ndoa ni mkataba wa hiyari kwasababu unahusu upendo. Upendo ni hiyari, kama watu watapishana waachane. Uyahudi unaeleza hivyo, Ukristo hautaki.
Ukristo huyu mtoto kapingana na baba yake. Uyahudi haukatazi mtu kuoa wake wengi, unaruhusu ndiyo maana kunasheria zinazohusu mtu atakayetaka kuoa wake wengi.
Ukristo hautaki na umepinga jambo hilo.
Uislam: Mtoto huyu licha ya kuonekana kama muasi kwa babaye lakini bado anatumia kanuni zilezile za baba yake.
Mtoto huyu anaruhusu Talaka kama kuna mambo yanaenda ndivyo alivyo. Pia mtoto huyu anaruhusu wake wengi ingawaje ameweka kikomo kuwa ni wake wanne.
4. Mavazi
Ukristo: Mtoto huyu anatumia u-firstborn wake vibaya. Ukristo unaruhusu mtu avae atakavyo kwani Mungu haangalii mavazi, anaangalia moyo wa mtu.
Siyo ajabu wafuasi wa Ukristo kuwaona wakivaa nguo zisizo na stara.
Hii ni tofauti na baba yake Uyahudi ambaye alikuwa na sheria za mavazi na kusisitiza watu wavae kwa adabu hasa wanawake wajistiri kutokana na maumbile yao kuwa na ushawishi.
Uislam: Mtoto huyu mwenye madeko ambaye yeye kila kitu lazima aone anaonewa, yeye anaungana na baba yake katika hilo. Uislam unazingatia maadili ya mavazi. Wafuasi wa mtoto huyo wamekuwa wastaarabu/waungwana sana katika hilo.
5. Mwanaume ndiye kuhani.
Ukristo: Ukristo kadiri siku zinavyoenda unazidi kuonyesha kupuyanga na kutumia urithi wa u-firstborn vibaya kama alivyofanya Esau. Ukristo unaruhusu mtu yeyote kuwa kuhani hata kama ni mwanamke. Wakati baba yake Uyahudi jambo hilo kwake kamwe lisingewezekana.
Nafasi ya mwanaume kwenye Ukristo huchukuliwa kuwa sawa na mwanaume. Wakati mzee Uyahudi hilo kwake lilikuwa ni ushetani.
Uislam: Ni kufuru kubwa kwa mtoto wa kike kusimama madhabahuni kuwahutubia wanaume. Hilo uislam alilichukua kama lilivyo na analitekeleza. Uislam umempa nafasi kubwa mwanaume kama ilivyo kwa baba yake Uyahudi.
6. Mungu hakuzaa wala hakuzaliwa.
Ukristo: Unatanabaisha kuwa Yesu ni Mwana wa Mungu, kupitia kwa Bikra Maria aliyepewa mimba kwa uwezo wa roho mtakatifu. Hoja hii ndiyo mzizi wa utatu mtakatifu na wengine hufikia hatua ya juu kabisa kufikiri au kusema Yesu ni Mungu, ilhali hilo kamwe hata kwa akili ya panzi haliwezekaniki.
Baba yao Uyahudi kama ungesikika ukisema maneno hayo, basi ilikuwa umeamua kutaka kuuawa kwa kupiga mawe kwani ungekuwa umekufuru na kufanya dhambi kubwa mno.
Uislam: Mtoto huyu yeye anabaki na msimamo wa baba yake kuwa Mungu hajazaa wala hajazaliwa. Na Hilo ni kosa kubwa la kukufuru.
7. Neema
Ukristo: Ukristo huu ndiyo msingi namba moja yaani huwezi tenganisha Ukristo na neema.
Kwamba mtu akifanya kosa basi anastahili kupewa nafasi ya pili, neema pasipo kuhukumiwa.
Wakati baba yake Uyahudi yeye kanuni yake ni haki. Kwamba mtu akikosea basi aadhibiwe, na mtu akipatia basi apewe zawadi yake (thawabu).
Uyahudi ulijikita kwenye mwili na roho. Wakati Ukristo unajikita katika roho pekee. Hii ni kumaanisha kinachopewa neema ni roho sio mwili. Yaani mtu akiomba neema ya msamaha, basi roho yake ndio ipewe second chance lakini mwili uadhibiwe.
Lakini wafuasi wa Ukristo wakalazimisha kuwa mwili na roho vyote vipewe neema[emoji23][emoji23]. Huku wakishikilia kanuni isemayo usihukumu usije ukahukumiwa au samehe saba mara sabini. Wakisahau kuwa mwili ndio unafanya makosa wakati huo roho ndiyo hufanya dhambi[emoji23][emoji23]. Mwili huadhibiwa na dunia kwa makosa yake wakati huohuo roho huadhibiwa na Mungu kwa dhambi zake.
Uislam: Mtoto huyo yeye kafuatisha kwa kiasi kikubwa kanuni na sheria na falsafa za baba yake. Mwenye makosa aadhibiwe kulingana na makosa yake na vile sheria zisemavyo.
Zingatia, binadamu hawezi kusamehe dhambi isipokuwa Mungu. Ila anasemehe makosa kwa sababu ya mwili ndiyo hufanya makosa na roho ndiyo itendayo dhambi. Kumaanisha, roho ndiyo inamuasi Mungu halafu mwili unamfanyia makosa binadamu mwenzako au kiumbe au mazingira yanayokuzunguka.
8. Hukumu
Ukristo: Mtoto huyu anajieleza kuwa atakayehukumu ulimwengu ni Kristo/Yesu.
Na Yesu ndiye atakuwa mtawala wa kila kitu. Hii ni tofauti na falsafa ya baba mtu Uyahudi. Yeye anajua Mungu ndiye mtawala na ndiye atakayehukumu viumbe vyake kwa haki. Zingatia neno viumbe inamaanisha vinavyoonekana na visivyoonekana. Hata Yesu pia ni kiumbe.
Uislam: Huyu mtoto anaungana na baba yake Uyahudi kwa kusema, hukumu atakayoitoa ni Mungu. Na kila kiumbe atahukumiwa kulingana na yale aliyoyafanya.
9. Urithi na mirathi
Ukristo: Umejikita zaidi katika mambo ya kiroho na kusahau mambo ya kimwili. Ukristo unajikita katika urithi wa Ufalme wa mbinguni pekee. Ilhali baba yake akijikita kwa yote mawili.
Uyahudi ilitoa utaratibu wa namna ya kurithisha mali kwa haki, na namna ya kutoa mirathi endapo mtu atakufa.
Ukristo jambo hilo limeachwa liamuliwe kidunia, hapohapo dunia kwa mujibu wa Ukristo inaongozwa na shetani[emoji23][emoji23]. Unaona mambo hayo!
Uislam: Mtoto huyu kamuiga baba yake na kuongeza baadhi ya vitu. Kajikita kiroho na kimwili.
Urithi na mirathi kwa uislam imefafanuliwa namna itakavyogawiwa. Uislam haujaliacha jambo hilo liamuliwe na walimwengu kwani shetani ndiye mlimwengu mwenyewe.
Mpaka hapo sina la ziada, siyo kazi yangu kukuambia kipi chakuamini au kipi ni sahihi na kipi sio sahihi. Nilikuwa naeleza habari za watoto hao wawili wenye wafuasi wengi.
Robert Heriel,
Taikon wa Fasihi,
Kwa sasa Dar es Salaam.
Leo umejitahidi kujibu kwa akili na ufahamu badala ya mihemkoMafundisho yaliyotulia kabisa ya Yesu ni yale aliyohubiri juu ya Mlima wa Zaituni.
Na maoni yake yaliyo wazi na kauli ya kukata juu ya sharia na matendo, ni yaliyomo katika sura 5 ya Mathayo.
Akizungumzia juu ya wale wanaodai kuwa wao ni wafuasi wake, na kuwa ati wanafunza mafunzo yake, na huku kumbe wanayapotoa yale aliyoyafunza, Yesu anaambiwa kasema:
Si kila mtu aniambaye, Bwana, Bwana, atakayeingia katika ufalme wa mbinguni; bali ni yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni.
Wengi wataniambia siku ile, Bwana, Bwana, hatukufanya unabii kwa jina lako, na kwa jina lako kutoa pepo, na kwa jina lako kufanya miujiza mingi?
Ndipo nitawaambia dhahiri, Sikuwajua ninyi kamwe ondokeni kwangu, ninyi mtendao maovu.
Basi kila asikiaye hayo maneno yangu, na kuyafanya, atafananishwa na mtu mwenye akili, aliyejenga nyumba yake juu ya mwamba; mvua ikanyesha, mafuriko yakaja, pepo zikavuma, zikaipiga nyumba ile isianguke; kwa maana misingi yake imewekwa juu ya mwamba.
Na kila asikiaye hayo maneno yangu asiyafanye, atafananishwa na mtu mpumbavu, aliyejenga nyumba yake juu ya mchanga; mvua ikanyesha, mafuriko yakaja, pepo zikavuma, zikaipiga nyumba ile, ikaanguka; nalo anguko lake likawa kubwa.
Mathayo 7.21-27
Hayo ni maneno aliyohitimishia Yesu mawaidha yake juu ya Mlima wa Zaituni.
Ni maneno yaliyokaa sawa, yawazi, hayana ubabaishi.
Ni nani hao "watendao maovu", hao wapumbavu, wasiofuata mafunzo ya Yesu wakayatenda, mafunzo ambayo msingi wake ni kutimiliza sharia na manabii, na kutenda mapenzi ya Mungu?
Ni nani hao wanaodai kufanya miujiza na kuponyesha watu kwa jina la Yesu, na kudai kuwa ni mitume wa Kristo, na huku wanapinga mafunzo yake, na kuwaambia watu kuwa wataokoka kwa imani tu kwamba Yesu kafa msalabini kwa ajili yao, bila ya haja ya vitendo?
Ni nani hao wanaolitumia jina la Yesu naye mwenyewe atawakataa?
Kama tuna akili basi yafaa tuitumie.
Tusiwe kama mtu mpumbavu ajengaye nyumba yake juu ya fungu la mchanga.
Tutaanguka, na anguko letu litakuwa kubwa.
Mafunzo ya Yesu Kristo si haba, lakini kwa ufupi wa maisha yake (aliwahi kuhubiri kiasi miaka miwili mitatu tu) na kutokuwa tayari ulimwengu kuchukua kweli yote, hakuweza kutimiza ujumbe wote wa Mwenyezi Mungu.
Ni hikima yake Mwenyezi Mungu kuwa kila nabii aliyemleta alikuwa anaongeza juu ya yale yaliyotangulia.
Ni kweli Yesu alisema kama ilivyo katika Mathayo 5.17-20 ambayo tumekwisha yataja kuwa yeye alikuja kutimiza Taurati na mafunzo ya Manabii, hakuja kutengua lo lote katika hayo.
Ulipokaribia wakati wake wa kuondoka aliungama kuwa mengi aliyo nayo hana nafasi ya kuyasema, lakini atakuja mwengine ambaye atauwongoza ulimwengu kwenye kweli yote, na ataufundisha ulimwengu mafunzo kamili juu ya dhambi na haki.