Uchambuzi: Uyahudi alizaa watoto wawili, mkubwa aliitwa Ukristo na mdogo akaitwa Uislam

Uchambuzi: Uyahudi alizaa watoto wawili, mkubwa aliitwa Ukristo na mdogo akaitwa Uislam

Kwanza nikushukuru,,ila kwa hii lugha ya kigeni Kuna waliokariri wengi hawajaelewa ndio maana wanajua Marko,yohana wagalatia nk nk,,na watoto wao Huwafundisha kukariri alifu be te se nk ila hawajui maana yake,,ndio maana muda mwingi husoma Biblia wajue mapungufu yake bila kujua kitabu Chao kina sura ya nge/spider,,sura ya radi,,sura ya buibui,,sura ya kichuguu surat Al maidah =sura ya meza nk nk hizi hawazielewi maana ziko kwa kiarabu na kwa kweli tafsiri huwasumbua sana,,Sasa wakileta ujuaji wao wa kukariri na sisi tuvuke mto tuwape ilimu maana wameyataka wenyewe wakidhani hatujui dini Yao waliocrem
Mkuu Vipi mbona unaji quote wewe mwenyewe, unatumia ID mbili tofauti kutetea hoja zako mwenyewe

Yani ni sawa na mtu aliesema unajitekenya na kucheka wewe mwenyewe, we shusha Nondo zako na ujiamini kisha tuachie wasomaji
 
Mkuu Vipi mbona unaji quote wewe mwenyewe, unatumia ID mbili tofauti kutetea hoja zako mwenyewe

Yani ni sawa na mtu aliesema unajitekenya na kucheka wewe mwenyewe, we shusha Nondo zako na ujiamini kisha tuachie wasomaji
Kama Nina Id mbili na nimejiquote mwenyewe itakuwa ni kweli kuhusu Mimi kujitekenya na kujichekesha,,Lakini kama sio kweli na wewe umeongea ujinga kama huo ni either uko short sited au huna hoja ya kukanusha hoja yangu..
 
Wote wajinga si waabudu uislam au ukristo kwani nani ambaye hakutoka kwa Mungu hadi aje awe yesu na muhamad tu?
 
Roho zidanganyazo zimekupata. Nadhani utakuwa umetembelewa na jibril. Uwe makini maana jibril alimkaba muhammad kule mapangoni hadi akarudi kwa Khadija akiomba afunikwe na mablanketi.

Jibril alikuwa anamlazimisha asome kitabu. Alikuwa hajui kama Muhammad alikuwa illiterate? Hicho kitabu ni kipi hasa wakati quran haikuwepo?

Yesu Kristo ndiye Mungu wa milele, muumba wa mbingu na nchi na vyote vinavyoonekana na visivyoonekana.
Jinga uliyetukuka kwa kuaminishwa upumbavu pasipo kujifikiria au kujiongeza
 
Back
Top Bottom