Uchambuzi wa sakata la muuguzi aliyetaka kutumia vifaa tiba vilivyoisha muda ni aibu

Uchambuzi wa sakata la muuguzi aliyetaka kutumia vifaa tiba vilivyoisha muda ni aibu

Sakata la wauguzi huko mkoani tabora waliokuwa wakibishana juu ya matumizi ya vifaa vilivyoisha muda wake limeibua maoni mengi sana ya watu!

Wengi wao wameishia kulitazama kwa juu juu na kumuona yule afisa binti mwenye Rafudhi ya KIJITA mix na KIKURYA kwamba ndiye mkosaji na yule mwingine yuko sahihi

Ukitaka kuwaelewa vizuri wahudumu hawa kwanza kabisa fanya kama unaheshimu mawazo ya kila mmoja wao kama ifuatavyo!

A) Anaepinga vifaa vilivyoisha visitumike!
Mawazo ya afisa huyu yapo sahihi lakini sehemu pasipo sahihi! Naposema usahihi wake ni sahihi pasipo sahihi namaanisha aliyemwambia (Binti) Je, alikuwa mtu sahihi kufanya maamuzi yoyote ya kubadilisha? Je kulikuwa na mbadala?, Je taarifa za ukomo wa matumizi mganga mkuu wa hospital alikuwa nazo? Je Shifting ya Jana yake siku hiyo walitumia nini? Kwanini havikuondolewa kama vimeisha muda wake? Ukitafta majibu ya hayo unaona kabisa yule afisa alikuwa sahihi lakini pasipo sahihi!

B) Afisa aliyetaka vitumike!

Huyu ukimtafakali kwa juu juu huwezi kuona jambo lakini kuna jambo, ukichimba unaona naye anajambo, unaona kabisa huyu kwa maoni yake hakukuwa na mbadala hivyo yupo sahihi! Au amechoka kusubili,

Huyu afisa anaishi kwenye falsafa ya Funika kombe mwanaharamu Apite!

Falsafa hii ndiyo falsafa ya serikali isiyojali maisha ya watu!

Yamkini huyu binti anataarifa zote za ukosefu wa vifaa tiba, na yamkini hakuna jitihada za kupata Leo au kesho!

Pia huwezi kuacha kujiuliza maswali haya! Kama vifaa tiba vipya vipo kwanini asingetoa vipya? Kwanini vilivyoisha vilibakia kuwepo hospitali hapo? Je anamkomoa nani? Na anamlinda nani?

Ukitafakali kwa kina sakata hili utagundua wote wapo sahihi lakini tofauti ni kwamba!
1. Aliyekataa anatetea taaluma yake.
2. Yule binti anayeruhusu anatetea Tumbo lake!

Na Mara nyingi serikali ya kimasikini imezungukwa na watu wanaotetea matumbo kuliko wanaoetetea taaluma zao!

Mifumo ya ugavi na manunuzi vifaa tiba katika hospital na ofisi za umma imejaa milolongo mireefu ambayo ni kero kwa maafisa! (Wanachoka bora liende)

Hivyo Dawa ya hawa watumishi ni kuwahamisha ili wasije tegeneza bomu la kuhatarisha maisha yao na ya wagonjwa!

Mkosaji mkubwa katika sakata hilo nimsambazaji wa vifaa tiba, ni mganga mkuu ambaye hakuviondoa vifaa vilivyoisha muda wake hospitalini, ni serikali yenye wajibu wakupeleka vifaa tiba kwa wakati!

Sakata hilo ni kipande kidogo sana cha Uozo mwingi uliopo mahospitali karibu yote Tanzania!

Huyo binti ni kielelezo cha wahudumu walio wengi Tanzania ambao wanaijua serikali hivyo wameamua kwenda nayo kama ilivyo!

Yule kijana akiadhibiwa itavunja moyo, na yule binti akiadhibiwa napo itafedhehesha Mioyo!

Nina uhakika 100% Report ya waziri itaishia kukanusha kwamba hakukuwa na vifaa tiba vilivyoisha na wale wahudumu watahamishwa kwa migogoro binafsi!

Tunaoumia ni SISI!

Updates
Wahudumu wote waliokuwa wanabishana kuhusu matumiz ya vifaa vibovu wamesimamishwa kazi!

Hapo ndipo utaelewa huyo wa kiume kosa lake ni lipi!

Ukitaka kulielewa hilo kosa rudia kusoma Uzi huu hapo juu!

Bahati mbaya hata kabla ya uchunguzi kuanza tayali waziri kashakanusha kwamba HAKUNA KIFAA TIBA KILICHOISHA MUDA WAKE NCHI NZIMA!
Yani nirudie tena kusoma
 
Alie record video na kusambaza lazima aliwe kichwa....
Hawa wawil wana makosa ila alie record video a nakosa zaid...

Shida atakayo sababisha ni kubwa kuliko faida....

Watu wata ogopa Kutibiwa kwenye hiyo hospital kwasababu ya ujinga wa mtu mmoja tuuu
 
Alie record video na kusambaza lazima aliwe kichwa....
Hawa wawil wana makosa ila alie record video a nakosa zaid...

Shida atakayo sababisha ni kubwa kuliko faida....

Watu wata ogopa Kutibiwa kwenye hiyo hospital kwasababu ya ujinga wa mtu mmoja tuuu
Utamjua
 
Sakata la wauguzi huko mkoani tabora waliokuwa wakibishana juu ya matumizi ya vifaa vilivyoisha muda wake limeibua maoni mengi sana ya watu!

Wengi wao wameishia kulitazama kwa juu juu na kumuona yule afisa binti mwenye Rafudhi ya KIJITA mix na KIKURYA kwamba ndiye mkosaji na yule mwingine yuko sahihi

Ukitaka kuwaelewa vizuri wahudumu hawa kwanza kabisa fanya kama unaheshimu mawazo ya kila mmoja wao kama ifuatavyo!

A) Anaepinga vifaa vilivyoisha visitumike!
Mawazo ya afisa huyu yapo sahihi lakini sehemu pasipo sahihi! Naposema usahihi wake ni sahihi pasipo sahihi namaanisha aliyemwambia (Binti) Je, alikuwa mtu sahihi kufanya maamuzi yoyote ya kubadilisha? Je kulikuwa na mbadala?, Je taarifa za ukomo wa matumizi mganga mkuu wa hospital alikuwa nazo? Je Shifting ya Jana yake siku hiyo walitumia nini? Kwanini havikuondolewa kama vimeisha muda wake? Ukitafta majibu ya hayo unaona kabisa yule afisa alikuwa sahihi lakini pasipo sahihi!

B) Afisa aliyetaka vitumike!

Huyu ukimtafakali kwa juu juu huwezi kuona jambo lakini kuna jambo, ukichimba unaona naye anajambo, unaona kabisa huyu kwa maoni yake hakukuwa na mbadala hivyo yupo sahihi! Au amechoka kusubili,

Huyu afisa anaishi kwenye falsafa ya Funika kombe mwanaharamu Apite!

Falsafa hii ndiyo falsafa ya serikali isiyojali maisha ya watu!

Yamkini huyu binti anataarifa zote za ukosefu wa vifaa tiba, na yamkini hakuna jitihada za kupata Leo au kesho!

Pia huwezi kuacha kujiuliza maswali haya! Kama vifaa tiba vipya vipo kwanini asingetoa vipya? Kwanini vilivyoisha vilibakia kuwepo hospitali hapo? Je anamkomoa nani? Na anamlinda nani?

Ukitafakali kwa kina sakata hili utagundua wote wapo sahihi lakini tofauti ni kwamba!
1. Aliyekataa anatetea taaluma yake.
2. Yule binti anayeruhusu anatetea Tumbo lake!

Na Mara nyingi serikali ya kimasikini imezungukwa na watu wanaotetea matumbo kuliko wanaoetetea taaluma zao!

Mifumo ya ugavi na manunuzi vifaa tiba katika hospital na ofisi za umma imejaa milolongo mireefu ambayo ni kero kwa maafisa! (Wanachoka bora liende)

Hivyo Dawa ya hawa watumishi ni kuwahamisha ili wasije tegeneza bomu la kuhatarisha maisha yao na ya wagonjwa!

Mkosaji mkubwa katika sakata hilo nimsambazaji wa vifaa tiba, ni mganga mkuu ambaye hakuviondoa vifaa vilivyoisha muda wake hospitalini, ni serikali yenye wajibu wakupeleka vifaa tiba kwa wakati!

Sakata hilo ni kipande kidogo sana cha Uozo mwingi uliopo mahospitali karibu yote Tanzania!

Huyo binti ni kielelezo cha wahudumu walio wengi Tanzania ambao wanaijua serikali hivyo wameamua kwenda nayo kama ilivyo!

Yule kijana akiadhibiwa itavunja moyo, na yule binti akiadhibiwa napo itafedhehesha Mioyo!

Nina uhakika 100% Report ya waziri itaishia kukanusha kwamba hakukuwa na vifaa tiba vilivyoisha na wale wahudumu watahamishwa kwa migogoro binafsi!

Tunaoumia ni SISI!

Updates
Wahudumu wote waliokuwa wanabishana kuhusu matumiz ya vifaa vibovu wamesimamishwa kazi!

Hapo ndipo utaelewa huyo wa kiume kosa lake ni lipi!

Ukitaka kulielewa hilo kosa rudia kusoma Uzi huu hapo juu!

Bahati mbaya hata kabla ya uchunguzi kuanza tayali waziri kashakanusha kwamba HAKUNA KIFAA TIBA KILICHOISHA MUDA WAKE NCHI NZIMA!
Kuna Uzi asubuhi nimechangia nikasema chanzo cha tatizo ni Waziri na MSD. Ripoti ya CAG imekuwa ikieleza vifaa vilivyoisha Muda wake kuuzwa na MSD. Siku hizi vifaa vinanunuliwa na hospitali husika Kwa fungu wanaloletewa. Hao watu wa maabara wanapewa vifaa na Mtu wa store ambaye ndiye mwenye wajibu wa awali wa kujua vilivyoisha Muda wake na kujulisha viongozi wake.
Ukimsikiliza vizuri nesi utajua Wazi Hilo Jambo hapo linajulikana na wao hawawezi kubadilisha kitu. Yeye kapeleka sampo maabara zifanyiwe kazi, Mtu wa maabara kamrudishia jibu vifaa vilivyopo vilishaisha Muda. Nesi anamwambia tumia hivyo hivyo kwani wewe ndo profesheno Sana? Hii ina maana "Mbona wenzio huwa wanatumia? Mtu wa maabara anasema Mimi situmii wewe unanilazimisha nitumie, Nesi anaongeza usinipotezee Muda mweleze inchaji.
Kufikia hapo Nesi Hana amri Kwa Mtu wa maabara maana kazi yake ilikuwa kuchukua vipimwaji na kupeleka maabara vipimwe lakini akaambiwa vipimo vilivyopo kwisha habari yake, akashauri tumia hivyo hivyo Bwana!!
Hili alilokanusha Ummy ni kawaida ya wanasiasa wa Tanzania kusema uongo. Hata dawa kutotosheleza mahospitalini wanakataa lakini Wananchi wanaona.
 
Kuna Uzi asubuhi nimechangia nikasema chanzo cha tatizo ni Waziri na MSD. Ripoti ya CAG imekuwa ikieleza vifaa vilivyoisha Muda wake kuuzwa na MSD. Siku hizi vifaa vinanunuliwa na hospitali husika Kwa fungu wanaloletewa. Hao watu wa maabara wanapewa vifaa na Mtu wa store ambaye ndiye mwenye wajibu wa awali wa kujua vilivyoisha Muda wake na kujulisha viongozi wake.
Ukimsikiliza vizuri nesi utajua Wazi Hilo Jambo hapo linajulikana na wao hawawezi kubadilisha kitu. Yeye kapeleka sampo maabara zifanyiwe kazi, Mtu wa maabara kamrudishia jibu vifaa vilivyopo vilishaisha Muda. Nesi anamwambia tumia hivyo hivyo kwani wewe ndo profesheno Sana? Hii ina maana "Mbona wenzio huwa wanatumia? Mtu wa maabara anasema Mimi situmii wewe unanilazimisha nitumie, Nesi anaongeza usinipotezee Muda mweleze inchaji.
Kufikia hapo Nesi Hana amri Kwa Mtu wa maabara maana kazi yake ilikuwa kuchukua vipimwaji na kupeleka maabara vipimwe lakini akaambiwa vipimo vilivyopo kwisha habari yake, akashauri tumia hivyo hivyo Bwana!!
Hili alilokanusha Ummy ni kawaida ya wanasiasa wa Tanzania kusema uongo. Hata dawa kutotosheleza mahospitalini wanakataa lakini Wananchi wanaona.
Nimesema hilo ndo limeisha! Waziri kashakanusha kabla ya uchunguzi sasa kuna nini
 
RIPOTI YA UCHUNGUZI KUTOKA UMOJA WA WAUGUZI IMESEMA ROSE alikuwa sahihi kabisa! Arudishwe kazini
 
Rose kupandishwa cheo kwa kazi nzuri ya kusimamia miongozo kwa usahihi
 
Back
Top Bottom