Uchambuzi wa sakata la muuguzi aliyetaka kutumia vifaa tiba vilivyoisha muda ni aibu

Uchambuzi wa sakata la muuguzi aliyetaka kutumia vifaa tiba vilivyoisha muda ni aibu

Mimi sio muhusika lakn yule dada kosa lake n lipi wakati yeye sio incharge
Anyway tusubiri tuone yup atakaye rud kazinšŸ¤”šŸ¤š
Wanarudi wote, na wanapangiwa vituo tofauti!
Waziri tayali kashakanusha Wakati hata uchunguzi bado!
HAKUNA KIFAA KILICHOISHA MUDA WAKE NCHI NZIMA
 
Jamaa anaonekana anataka kuwanyima ugari chains of big fishies... Kambare
 
Mazembe kazini mnateteana.
Niwatetee kuna ndugu yangu pale
Huyo aliyerekod kwann asiende kwa incharge wa zam amrecord kama alivyofanya kwa huyo dada

Halafu kumbuka watu wanakundi kubwa sana lipo nyum yao linawategemeana kuwekeana dosar HAIFAI
 
Wanarudi wote, na wanapangiwa vituo tofauti!
Waziri tayali kashakanusha Wakati hata uchunguzi bado!
HAKUNA KIFAA KILICHOISHA MUDA WAKE NCHI NZIMA
Na amesem bohar kuu Mdrt zipo za kutosha kwa hyo hapo lazm uumize akili kujua kunani hapo kati kati
 
Niwatetee kuna ndugu yangu pale
Huyo aliyerekod kwann asiende kwa incharge wa zam amrecord kama alivyofanya kwa huyo dada

Halafu kumbuka watu wanakundi kubwa sana lipo nyum yao linawategemeana kuwekeana dosar HAIFAI
Huyo INCHARGE pia achunguzwe.
 
hata huyo aliyerekodi iwe ni mafanyakazi au mgomjwa kupija picha au kuchukua video hospitalii ninkosa kubwa
Acha undezi,kupija ndo kufanyaje?.Mother tongue usilete kwenye kiswahili.
 
Labda washatoa! Bora angeenda kuwaomba wagonjwa wanunue vifaa tiba
Kama alishatoa hiyo taarifa kwanini aende kumdhalilisha huyo dada? Kwani yeye ni incharge?
 
Haya unaweza tu ukayasema KAMA VIFAA VILE HAVIJAMUUA MTU WA KARIBU SANA NA WEWE..!! Imejini, vimuuwe mkeo/mumeo/mama yako au baba yako etc..!! Vile vifaa vikitokea kumuuwa wa karibu yako, HUO USENGEFU ULIOUONA HUTAUONA WALLAH NAKUAMBIA..!!
Unadhani hizo scenarios hazitumiki nchi nzima?

Ni vile hatuna utaalamu wa kugundua.

Ila suala la huduma ya afya tanzania ni bahati nasibu sana. Tunafanyiwa mengi tusiyoyajua.

Infact sioni kosa la huyo dada, incharge alitakiwa awe na taarifa na aondoe hivyo vifaa ila mpaka sasa vipo.
 
Watu wanajitoa akili kama ilikuwa anania ya kukosoa hakutakiwa kurekodi....kurekodi au kupija picha hospitali ni kosa kubwa sana
ni kosa kwa sheria gani, na je ni eneo lipi la hospitali hasa linahusu hilo katazo kama lipo?
 
A) Anaepinga vifaa vilivyoisha visitumike!
Mawazo ya afisa huyu yapo sahihi lakini sehemu pasipo sahihi! Naposema usahihi wake ni sahihi pasipo sahihi namaanisha aliyemwambia (Binti) Je, alikuwa mtu sahihi kufanya maamuzi yoyote ya kubadilisha? Je kulikuwa na mbadala?, Je taarifa za ukomo wa matumizi mganga mkuu wa hospital alikuwa nazo? Je Shifting ya Jana yake siku hiyo walitumia nini? Kwanini havikuondolewa kama vimeisha muda wake? Ukitafta majibu ya hayo unaona kabisa yule afisa alikuwa sahihi lakini pasipo sahihi!
Point kubwa sana hii.
 
Haya unaweza tu ukayasema KAMA VIFAA VILE HAVIJAMUUA MTU WA KARIBU SANA NA WEWE..!! Imejini, vimuuwe mkeo/mumeo/mama yako au baba yako etc..!! Vile vifaa vikitokea kumuuwa wa karibu yako, HUO USENGEFU ULIOUONA HUTAUONA WALLAH NAKUAMBIA..!!
Angeenda kureport kwa mkuu wake wa kituo cha Afya..ambaye ndo mganga mfawidhi wa kituo.
 
Angeenda kureport kwa mkuu wake wa kituo cha Afya..ambaye ndo mganga mfawidhi wa kituo.
Yeye siyo kazi yake! Unazani wenye kazi yao hawapo au hawajui!
 
Yeye siyo kazi yake! Unazani wenye kazi yao hawapo au hawajui!
Nipo idara ya Afya mkuu,mabishano kama hayo yanafanywa kila siku huku makazini na mwisho mnakubaliana kutumia vipimo vilivyo expire ama msitumie na maisha yanaendelea. Makosa makubwa yapo kwenye kurekod hilo tukio la mabishano na hatimaye kulisambaza mitandaoni.
 
Nipo idara ya Afya mkuu,mabishano kama hayo yanafanywa kila siku huku makazini na mwisho mnakubaliana kutumia vipimo vilivyo expire ama msitumie na maisha yanaendelea. Makosa makubwa yapo kwenye kurekod hilo tukio la mabishano na hatimaye kulisambaza mitandaoni.
Ndiyo maana wengine wamegoma kuchoma sindano ya uzazi wa mpango na ile ya UVIKO 19 Kwasababu ya ujanja ujanja wa bora liende
 
Jamaa kaamua kumuharibia tu kwa sababu maoni ya huyo nesi haya wezi kumfanya abadilishe maaumuzi yake kwa vyovyote vile. Angemuambia tu sipimi katoe taarifa kwa mkubwa wako basi.
Jibu short and clear, kwa sababu hapo hakuna superior kwa mwenzie ni jibu jepesi tu mimi sifanyi hivyo halafu unaenda kutumia wifi ya bure kuingia insta.
Ila ujuaji umezidi matokeo yake wote wamesimamishwa, mbaya zaidi ukute huyo jamaa anategemewa na watu kibao anakosa kazi kwa upuuzi.
 
Back
Top Bottom