- Thread starter
- #41
Pita hivii bhasi! hahahahahNi mchaga, Hana lafudhi ya kijita Wala kikurya ni mawazo yako tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pita hivii bhasi! hahahahahNi mchaga, Hana lafudhi ya kijita Wala kikurya ni mawazo yako tu.
Watu wanajitoa akili kama ilikuwa anania ya kukosoa hakutakiwa kurekodi....kurekodi au kupija picha hospitali ni kosa kubwa sanaHili tukio lilikuwa limepangwa kama huyu dada lazima tumkomeshe.
Mwananchi wakaida haruhusiwi kuchukua video hospitalini au kwenye taasisi yoyote ya serikali bila idhini ya wahusika. Waliorekodi ni hao hao wafanyakazi.
Kila kazi ina maadili yake ni vyema wafanyakazi wakayamaliza wenyewe ofisini na ikishindikana waende kwenye ngazi husika.
Una uhakika ni yeye karekodi? Je kama ni mgonjwa aliyekuwa kakaa pembeni yaoWatu wanajitoa akili kama ilikuwa anania ya kukosoa hakutakiwa kurekodi....kurekodi au kupija picha hospitali ni kosa kubwa sana
hata huyo aliyerekodi iwe ni mafanyakazi au mgomjwa kupija picha au kuchukua video hospitalii ninkosa kubwaUna uhakika ni yeye karekodi? Je kama ni mgonjwa aliyekuwa kakaa pembeni yao
Hatutakiwi kufanya kazi kwa kutegemea media. Km mfanyakazi pale wewe tayari ni kiongozi kama unaona kuna huduma inaendeshwa sivyo basi unaenda kuripoti kwa viongozi husika. Ndiyo maana ya kuwa mfanyakaziWatu wanajitoa akili kama ilikuwa anania ya kukosoa hakutakiwa kurekodi....kurekodi au kupija picha hospitali ni kosa kubwa sana
Kosa kwa mujibu wa kujilinda lakini siyo kosa kwa mujibu wa kujiimalishahata huyo aliyerekodi iwe ni mafanyakazi au mgomjwa kupija picha au kuchukua video hospitalii ninkosa kubwa
Hapo siyo chumba cha upasuaji!Hatutakiwi kufanya kazi kwa kutegemea media. Km mfanyakazi pale wewe tayari ni kiongozi kama unaona kuna huduma inaendeshwa sivyo basi unaenda kuripoti kwa viongozi husika. Ndiyo maana ya kuwa mfanyakazi
Ni muhimu sana kila mfanyakazi ajue maadili ya kazi yake. Unaweza kwenda kutahiriwa unashangaa unakutana na video yako mtandaoni. Unabaki kushangaa
Mimi sioni umuhimu wowote wa mlolongo wa maelezo yako. Unajaribu kueleza nini?Sakata la wauguzi huko mkoani tabora waliokuwa wakibishana juu ya matumizi ya vifaa vilivyoisha muda wake limeibua maoni mengi sana ya watu!
Wengi wao wameishia kulitazama kwa juu juu na kumuona yule afisa binti mwenye Rafudhi ya KIJITA mix na KIKURYA kwamba ndiye mkosaji na yule mwingine yuko sahihi
Ukitaka kuwaelewa vizuri wahudumu hawa kwanza kabisa fanya kama unaheshimu mawazo ya kila mmoja wao kama ifuatavyo!
A) Anaepinga vifaa vilivyoisha visitumike!
Mawazo ya afisa huyu yapo sahihi lakini sehemu pasipo sahihi! Naposema usahihi wake ni sahihi pasipo sahihi namaanisha aliyemwambia (Binti) Je, alikuwa mtu sahihi kufanya maamuzi yoyote ya kubadilisha? Je kulikuwa na mbadala?, Je taarifa za ukomo wa matumizi mganga mkuu wa hospital alikuwa nazo? Je Shifting ya Jana yake siku hiyo walitumia nini? Kwanini havikuondolewa kama vimeisha muda wake? Ukitafta majibu ya hayo unaona kabisa yule afisa alikuwa sahihi lakini pasipo sahihi!
B) Afisa aliyetaka vitumike!
Huyu ukimtafakali kwa juu juu huwezi kuona jambo lakini kuna jambo, ukichimba unaona naye anajambo, unaona kabisa huyu kwa maoni yake hakukuwa na mbadala hivyo yupo sahihi! Au amechoka kusubili,
Huyu afisa anaishi kwenye falsafa ya Funika kombe mwanaharamu Apite!
Falsafa hii ndiyo falsafa ya serikali isiyojali maisha ya watu!
Yamkini huyu binti anataarifa zote za ukosefu wa vifaa tiba, na yamkini hakuna jitihada za kupata Leo au kesho!
Pia huwezi kuacha kujiuliza maswali haya! Kama vifaa tiba vipya vipo kwanini asingetoa vipya? Kwanini vilivyoisha vilibakia kuwepo hospitali hapo? Je anamkomoa nani? Na anamlinda nani?
Ukitafakali kwa kina sakata hili utagundua wote wapo sahihi lakini tofauti ni kwamba!
1. Aliyekataa anatetea taaluma yake.
2. Yule binti anayeruhusu anatetea Tumbo lake!
Na Mara nyingi serikali ya kimasikini imezungukwa na watu wanaotetea matumbo kuliko wanaoetetea taaluma zao!
Mifumo ya ugavi na manunuzi vifaa tiba katika hospital na ofisi za umma imejaa milolongo mireefu ambayo ni kero kwa maafisa! (Wanachoka bora liende)
Hivyo Dawa ya hawa watumishi ni kuwahamisha ili wasije tegeneza bomu la kuhatarisha maisha yao na ya wagonjwa!
Mkosaji mkubwa katika sakata hilo nimsambazaji wa vifaa tiba, ni mganga mkuu ambaye hakuviondoa vifaa vilivyoisha muda wake hospitalini, ni serikali yenye wajibu wakupeleka vifaa tiba kwa wakati!
Sakata hilo ni kipande kidogo sana cha Uozo mwingi uliopo mahospitali karibu yote Tanzania!
Huyo binti ni kielelezo cha wahudumu walio wengi Tanzania ambao wanaijua serikali hivyo wameamua kwenda nayo kama ilivyo!
Yule kijana akiadhibiwa itavunja moyo, na yule binti akiadhibiwa napo itafedhehesha Mioyo!
Nina uhakika 100% Report ya waziri itaishia kukanusha kwamba hakukuwa na vifaa tiba vilivyoisha na wale wahudumu watahamishwa kwa migogoro binafsi!
Tunaoumia ni SISI!
Updates
Wahudumu wote waliokuwa wanabishana kuhusu matumiz ya vifaa vibovu wamesimamishwa kazi!
Hapo ndipo utaelewa huyo wa kiume kosa lake ni lipi!
Ukitaka kulielewa hilo kosa rudia kusoma Uzi huu hapo juu!
Pita hivi bhasi! HahahahMimi sioni umuhimu wowote wa mlolongo wa maelezo yako. Unajaribu kueleza nini?
Hoja hapo waliyokuwa wanabisha ni ukweli au uongo? Ugomvi wao siyo ishu sanaHalafu hawa wana ugomvi wa muda mrefu
Mazembe kazini mnateteana.Me sitaki kujua nani mwenye tatzo ila yule jomba ni Tackle sana mwanume unakuwa kama unalowekwa bwana
Haya asubiri kupandishwa cheo
Siwezi kupita hivi nionapo mtu anaweka bla bla nyingi zisizo na maana yoyote. Thread inayojadili kuhusu hili ipo hapa. Wewe unakwenda kuanzisha thread isiyo na ulazima wowote na maelezo yenyewe yanajichanganya changanya huku ukidhani umeandika mambo ya maana kweli kweli.Pita hivi bhasi! Hahahah
Yapo sana tu hayo mambo!Kosa la Wakubwa hapo... Hao wadogo watanyonyolewa tu... [emoji23][emoji23]
Na kama si kurekodi tusingeyajua hayo... Hao wote hawana makosa.
Na waziri tayali kashakanusha huko kwamba hakuna kipimo kilichoisha muda wake Tanzania nzima hakipo!Hapo kijana anajilaumu sana
Mimi sio muhusika lakn yule dada kosa lake n lipi wakati yeye sio inchargeAcha watu waibue maovu, tumechoka kupoteza ndugu na jamaa zetu huko ma hospitalini.
Au nawee n muhusika wa, matukio km hayo?
Kabla hata uchunguzi haujakamilika waziri kashakanusha KWAMBA HAKUNA KIPIMO KILICHOISHA MUDA WAKE INCHI NZIMA!Kosa la Wakubwa hapo... Hao wadogo watanyonyolewa tu... [emoji23][emoji23]
Na kama si kurekodi tusingeyajua hayo... Hao wote hawana makosa.