Uchambuzi wa sakata la muuguzi aliyetaka kutumia vifaa tiba vilivyoisha muda ni aibu

Uchambuzi wa sakata la muuguzi aliyetaka kutumia vifaa tiba vilivyoisha muda ni aibu

Huyo aliyerecord video anakesi ya kujibu. Huyo hajui ethics za kazi?
Unapobaini kuna dawa zimeisha muda wake, kama mfanyakazi nenda kwenye uongozi husika. Sasa unakimbilia kuchukua video na kurusha mtandaoni.
Angefanya hivyo mwananchi wa kawaida hapo sawa.
Huenda kulikuwa na mgonjwa mwingine amekaa kwenye kiti ndiye aliyewarekodi
 
Huenda kulikuwa na mgonjwa mwingine amekaa kwenye kiti ndiye aliyewarekodi
Hili tukio lilikuwa limepangwa kama huyu dada lazima tumkomeshe.
Mwananchi wakaida haruhusiwi kuchukua video hospitalini au kwenye taasisi yoyote ya serikali bila idhini ya wahusika. Waliorekodi ni hao hao wafanyakazi.
Kila kazi ina maadili yake ni vyema wafanyakazi wakayamaliza wenyewe ofisini na ikishindikana waende kwenye ngazi husika.
 
Hili tukio lilikuwa limepangwa kama huyu dada lazima tumkomeshe.
Mwananchi wakaida haruhusiwi kuchukua video hospitalini au kwenye taasisi yoyote ya serikali bila idhini ya wahusika. Waliorekodi ni hao hao wafanyakazi.
Kila kazi ina maadili yake ni vyema wafanyakazi wakayamaliza wenyewe ofisini na ikishindikana waende kwenye ngazi husika.
Haruhusiwi kivipi kwani aliwaambia, Si wamegombana mbele yake akaamua kurekodi kimya kimya, na inaweza ikawa hata wafanya kazi wenzao! Au kuna mmoja arekodi kwa siri
 
Jamaa kaamua kumuharibia tu kwa sababu maoni ya huyo nesi haya wezi kumfanya abadilishe maaumuzi yake kwa vyovyote vile. Angemuambia tu sipimi katoe taarifa kwa mkubwa wako basi.
 
Hii nchi imejaa ujinga na roho mbaya sana.
Kwani mtu wa maabara alifanya kosa gani kukataa kutumia vipimo vilivyo expire hadi asimamishwe kazi?

Kama ni video,je mna uhakika gani alipiga yeye na kusambaza?

Kitendo cha kumsimamisha kazi mtu aliyesimamia haki ni cha kishetani.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Hii nchi imejaa ujinga na roho mbaya sana.
Kwani mtu wa maabara alifanya kosa gani kukataa kutumia vipimo vilivyo expire hadi asimamishwe kazi?

Kama ni video,je mna uhakika gani alipiga yeye na kusambaza?

Kitendo cha kumsimamisha kazi mtu aliyesimamia haki ni cha kishetani.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Wanajua wangemuacha wataibua mazito zaidi
 
binti mwenye Rafudhi ya KIJITA mix na KIKURYA
Naona uko sensitive na kabila huyo dada Ni mchaga umemuona. Nishasemaga wachaga hawanaga utu. Ukitaka kulijua Ilo ongea na wachaga masikini watakuambia wanavyofanywa huko kwao na December hawaendagi home Mana wataishia kutumwa Kama watoto.
Wakurya Ni watu wazuri sema umguse tu Ni sawa na nyuki mkuu. Ila sio kuwa hawana utu,wanao wa kutosha waulize waliowahi kuishi nao.
 
Mwishoni atayeadhibiwa ni aliye record Video na Kuisambaza
Na ndo anastahili adhabu zaidi kwasabbu kafanya hivyo kwa chuki tu

Labda huyo dada ndio awe incharge wa kituo ila kama sio alinuambia yeye kama nani
 
Naona uko sensitive na kabila huyo dada Ni mchaga umemuona. Nishasemaga wachaga hawanaga utu. Ukitaka kulijua Ilo ongea na wachaga masikini watakuambia wanavyofanywa huko kwao na December hawaendagi home Mana wataishia kutumwa Kama watoto.
Wakurya Ni watu wazuri sema umguse tu Ni sawa na nyuki mkuu. Ila sio kuwa hawana utu,wanao wa kutosha waulize waliowahi kuishi nao.
Nimesema mwenye rafudhi ya KIJITA au ukuryani
Unaweza ukawa Mnyiramba lakini ukawa na rafudhi ya kisukuma kama Mwigulu
 
Hii nchi imejaa ujinga na roho mbaya sana.
Kwani mtu wa maabara alifanya kosa gani kukataa kutumia vipimo vilivyo expire hadi asimamishwe kazi?

Kama ni video,je mna uhakika gani alipiga yeye na kusambaza?

Kitendo cha kumsimamisha kazi mtu aliyesimamia haki ni cha kishetani.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Na mie nashangaa hapo.
 
Naona uko sensitive na kabila huyo dada Ni mchaga umemuona. Nishasemaga wachaga hawanaga utu. Ukitaka kulijua Ilo ongea na wachaga masikini watakuambia wanavyofanywa huko kwao na December hawaendagi home Mana wataishia kutumwa Kama watoto.
Wakurya Ni watu wazuri sema umguse tu Ni sawa na nyuki mkuu. Ila sio kuwa hawana utu,wanao wa kutosha waulize waliowahi kuishi nao.
Wachagaa hawana Utu.
Ni kweli nimejionea kabisaa.
 
Nimesema mwenye rafudhi ya KIJITA au ukuryani
Unaweza ukawa Mnyiramba lakini ukawa na rafudhi ya kisukuma kama Mwigulu

Ni mchaga, Hana lafudhi ya kijita Wala kikurya ni mawazo yako tu.
 
Na ndo anastahili adhabu zaidi kwasabbu kafanya hivyo kwa chuki tu

Labda huyo dada ndio awe incharge wa kituo ila kama sio alinuambia yeye kama nani

Chuki gani?. Halafu sio yeye aliyerekodi ni raia wakawaida tu
 
Sema kale kajamaa kalikomrekodi huyo dada kana usen** fulani hivi na possibly kana personal conflicts na yule dada

Kama alijua vifaa vina shida si angetoa taarifa kwa incharge tu.
makosa tunayo sisi wanaume kukubali watoto wa kiume walelewe na mama zao (single mother) na mama zao wakagoma kuongeza watoto wengine kiasi kwamba hawa watoto wakawa na uwezo mkubwa wa kujitegemea.
matokeo yake wanawaza kama mama zao! kama mama zao wasivyoona shida kwenda kuwasuta jirani zao huku kesho aikimtegemea achote maji kwake ndivyo huyu kijana haoni madhara ambayo anaweza kusababisha mwenzake akose kazi.
vijana wanaendeshwa na simu zaidi na sio wao kuiendesha simu zao kila mtu ni mwandishi pasipo malipo kwa faida ya nani? wengine mtanipinga kwamba tungejuaje lakini sisi baada ya kujua tumefanya nini na lina msaada gani zaidi ya kuwabeba wanasiasa kutoka na matamko ya ukandamizi kwa ng'ombe wa nyuma wakati wao ndio ng'ombe wa mbele wanaochelewesha safari.
 
Back
Top Bottom