LGE2024 Uchambuzi ziara ya muenezi Paul Makonda, serikali ya CCM 2024 kukosa kura?

LGE2024 Uchambuzi ziara ya muenezi Paul Makonda, serikali ya CCM 2024 kukosa kura?

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
..kwa kuanzia tukubaliane kwamba Wabunge wote wa Ccm hawafai.

..hakuna ubishi ktk hilo kama umefuatilia ziara ya Makonda.
Hili ni asilimia 100. Maana aliyewachagua naye pia alikuwa hivyo hivyo.

Ndege wafananao
 
Hili ni asilimia 100. Maana aliyewachagua naye pia alikuwa hivyo hivyo.

Ndege wafananao

..kila mahali wananchi wanalia na nchi hii haijawahi kuongozwa na chama tofauti zaidi ya Ccm.

..kwa hiyo vilio vyote anavyokutana navyo Makonda ni matokeo ya uongozi mbaya wa Ccm.

..Na sasa hivi Ccm wameshika nchi ktk ngazi zote za uongozi.
 
Nakueleza ivi kwasasa hata uyo sijui Waziri wa Nishati Dottohakuna anachofanya.umeme unakatika kwa saa 24 hapa mjini namaanisha kinondoni na sinza iyo huko mikoani ni balaa.umeme unakatwa saa moja asubuh unarudishwa saa sita usiku and then saa nane usiku unakata na huwezi jua utarudi saa ngapi...yaan umeme imekua ni anasa ivi unajiuliza tuna serikali kweli???halafu wanatembea na msafara mkubwa doing dramas nchi nzima yaan you look at them unajiuliza do they have ata akili kidogo tu???kwamba tuko zama za uhalisia na utandawazi hii jamii inaelewa kila kitu usipoteze muda kuwadanganya??wanajua umeme ni haki yao sio anasa na kwamb hii serikali inazembea ndo mana hawapti umeme...
Nyie ni wakupuuzwa kama watu wa vijijini wanaochangia kisima kimoja na mifugo, madiriko makubwa ya kila nchi uanzia miji mikubwa lkn nyie mkiambia toka nje mdai haki zenu mnaogopa kutoka nje ka zeruzeru anaogopa jua, endelea kukaa ndani na hiyo ndio haki yenu, washeni vibatari hata mchana.
 
Back
Top Bottom