Nakueleza ivi kwasasa hata uyo sijui Waziri wa Nishati Dottohakuna anachofanya.umeme unakatika kwa saa 24 hapa mjini namaanisha kinondoni na sinza iyo huko mikoani ni balaa.umeme unakatwa saa moja asubuh unarudishwa saa sita usiku and then saa nane usiku unakata na huwezi jua utarudi saa ngapi...yaan umeme imekua ni anasa ivi unajiuliza tuna serikali kweli???halafu wanatembea na msafara mkubwa doing dramas nchi nzima yaan you look at them unajiuliza do they have ata akili kidogo tu???kwamba tuko zama za uhalisia na utandawazi hii jamii inaelewa kila kitu usipoteze muda kuwadanganya??wanajua umeme ni haki yao sio anasa na kwamb hii serikali inazembea ndo mana hawapti umeme...