Hakuna mantiki yoyote niliyo tumia hapo,sababu maneno na kuhoji au uandishi ulikuwepo kabla ya hiyo Mantiki.Unaelewa kwamba hata haya maandishi uliyotumia kuandika "mantiki uwezo huo haina" yametumia mantiki?
Yani, huwezi kuikwepa mantiki, mpaka unapotaka kuiponda mantiki, inakubidi utumie mantiki.
Unaelewa kwamba bila mantiki hoja zako za kusema Mungu yupo zinavunjika?
Unaelewa kwamba ukiiponda mantiki unafungua mlango wa kuleta fake news yoyote ile hapa?
Mantiki ni fani tu iliyo kuja kuwekwa na Aristoto na kujipangia kanuni za namna ya kuhoji kwa mtazamo wake yeye,ambao una madhaifu mengi sana.