Hakuna mantiki yoyote niliyo tumia hapo,sababu maneno na kuhoji au uandishi ulikuwepo kabla ya hiyo Mantiki.Unaelewa kwamba hata haya maandishi uliyotumia kuandika "mantiki uwezo huo haina" yametumia mantiki?
Yani, huwezi kuikwepa mantiki, mpaka unapotaka kuiponda mantiki, inakubidi utumie mantiki.
Unaelewa kwamba bila mantiki hoja zako za kusema Mungu yupo zinavunjika?
Unaelewa kwamba ukiiponda mantiki unafungua mlango wa kuleta fake news yoyote ile hapa?
basi huyo aliyekupiga rob ndio jini au shetani.Shetani unavyodhani ni jitu la kutisha lakini shetani anaweza kuja katika maumbo tofauti tofauti.Hata wewe ukishafanya mambo yasiyompendeza mungu tayari umeshakuwa shetani.Shetani ni dhana ya mambo hasi au negative na malaika ni dhani ya mambo chanya au positive.Baadhi wanasema kuna majini wazuri na majini wabaya, wazuri hua wanasali na kumuomba mungu na wabaya hadi ma atheist wapo
Wapo wanaodai kua kuna elimu juu ya utengenezaji wa hivyo viumbe.
Kuna siku nilisikia redioni mkufunzi akitoa somo namna ya kuita jini kwa kutamka maneno fulani hivi ya kiarabu.
Yale maneno niliyanukuu vyema nikawa naya practice maana mdau alisema unatakiwa uende njia panda usiku wa maneno kisha utamke hayo maneno
Nikiwa na tumaini kua leo ndio siku ambayo najithibitishia kua majini yapo, nikafika njia panda nikaanza kuyatamka hayo maneno kwa kuyarudia rudia zaidi ya mara 100 lakini hakukua na respond yeyote kutoka third party system
Wakati nikiendelea kutamka yale maneno nilishtukizwa na roba flani matata upande wa nyuma, mwanzo nilidhani ni ujio wa jini kumbe ni kibaka wa mtaa na alikua anapiga patrol
Aisee nilimlaumu sana yule jamaa wa redioni
Mpaka najiuliza kwanini hujibu swali la msingi ?unasema lugha inahukumu!? katika comments zangu pitia nimekupa mfano ulio wazi!
halafu hua ukiulizwa swali ukashindwa kujibu hua unasema "swali ni la uongo" huu ujinga alikufundisha nani!? yaani mtu yoyote atakushangaa sana eti swali la uongo! unataka istilahi za kuuliza maswali usilete konakona istilahi pekee ya swali ni lijibiwe ! sasa ww unataka kuuliza maswali katika mtindo elekezi wa majibu yako!
na nnadhani ukiendelea na huu upuuzi utakosasifa ya kuingia mjadala na mimi! maana kazi ya kujadiliana na wewe itakua sawa nakumkanda mbwa kizazi
Kutoamini haimaanishi kwamba haupo! Nikikuuliza una roho most likely utaniambia unayo au sio? Je nikikwambia thibitisha utaweza?Dhibitisha uchawi na majini mkuu ili tuamini.
Kuna nadharia za ajabu sana Africa ambazo huwezi ziona dunia ya kwanza.
Uchawi ni nini. Nani ambaye anaweza kutupa prove uchawi upo? Nani alimuona mchawi? Nani anaujua uchawi? Uchawi una nguvu gani?
Hayo Majini ni nini? Hakuna cha majini wala babu yake na majini?
Hizo ni drama za kufikirika.
Utasikia kuna majini. Ushawahi kuliona! Utasikia majini majini ni viumbe visivyoonekana kama hayaonekani umejuaje kama yapo.
Majini na uchawi ni dhana za kufikilika
Lete Proof hapa.
Hakuna cha majini wala uchawi
Roho uliiona wapi?Kutoamini haimaanishi kwamba haupo! Nikikuuliza una roho most likely utaniambia unayo au sio? Je nikikwambia thibitisha utaweza?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaa mm ni simba dam dam na sijasema kama mm ndio narogaWe jamaa Mzushi tu
mchawi gani unatumia hadi whatsapp, profile picha umemuweka morison mzee wa kukera akiwa amepiga uzi mpya??
Nakupa task tumia uchawi wako fanya uweze kuipata namba yangu ya whatsapp niliyotumia kuangalia profile yako, ukiweza hilo tunafunga huu uzi na rasmi naanza kuamini uchawi
Nimecheka sana.haya kuna hii hapa kati ya dunia na mbingu kipi kilianza!?
hapa anasema
29. Yeye ndiye aliye kuumbieni vyote vilivyomo katika ardhi. Tena akazielekea mbingu, na akazifanya mbingu saba. Naye ndiye Mjuzi wa kila kitu. (2:29)
yaan kua alianza na ardhi kisha akazigeukia mbingu ndo akaziumba( kifupi imeanza ardhi ikafata mbingu)
halafu huku tena anasema
Are you the harder to create, or is the heaven that He built?
He raised the height thereof and ordered it;
and He has made dark the night thereof, and He brought forth the morn thereof.
And after that, He spread out the earth. -- Sura 79:27-30
hapa ameanzia mbingu halafu akamalizia ardhi!
vipi hiyo sio contradiction!? au tuendelee na zingine!?
Mantiki ilikuwapo kabla ya Aristotle.Hakuna mantiki yoyote niliyo tumia hapo,sababu maneno na kuhoji au uandishi ulikuwepo kabla ya hiyo Mantiki.
Mantiki ni fani tu iliyo kuja kuwekwa na Aristoto na kujipangia kanuni za namna ya kuhoji kwa mtazamo wake yeye,ambao una madhaifu mengi sana.
Unajua kama mantiki ni fani ? Yaani unawezaje kuitofautisha mantiki na hesabu ?Mantiki ilikuwapo kabla ya Aristotle.
Unapotumia herufi za alphabet, tayari umetumia mantiki ya pangilio wa herufi.
Unapohesabu kwa namba, tayari umetumia mantiki ya hesabu.
Sasa unataka kusema Aristotle ndiye kanzisha kuandika na kuhesabu?
Shauri yako watakuja wazee wa albadiliNaona unatangaza viashara zako bila kodi ,hivi kwanini uislam unahusishwa sana na uchawi na majini?naona ile shanga nyeusi huwa wanatembea wakishwali wakiihesabu
Nimecheka sana.
Naposema hakuna "contradictions" katika Qur'aan tuna maanisha.
Anasema Allah mtukufu :
27. . Je! Ni vigumu zaidi kukuumbeni nyinyi au mbingu? Yeye ndiye aliye ijenga!
28. Akainua kimo chake, na akaitengeneza vizuri.
29. Na akautia giza usiku wake, na akautokeza mchana wake
30. Na juu ya hivyo ameitandaza ardhi. (an-Naaziat :27-30)
Aya hizi hazionyeshi ya kuwa mbingu ndiyo ilianza kujengwa,bali inatoa taarifa juu ya uwezo wa Allah katika uumbaji. Ndiyo maana aya ya 27, inasema yeye ndiye mjenzi.
Aya ya 30 inaonyesha wazi kabisa na limetumika tamko la wakati uliopita la "ameitengeneza yaani aliitengeneza" ardhi,yaani vivyo hivyo yaani yeye ndiye aliitengeneza ardhi,na ndani ya mbingu na ardhi akaweka usiku na mchana.
America,Australia Canada England kote wasomi wabobezi wanafanya study juu ya masuala haya nami nipo pia katika utafiti pia hakika ni utafiti mgumu kupindukia maana katika tafiti utakapokosea tu huweza kuyagharimu maisha yako Instantly.Hapana, nimeona nguvu za giza kwa macho yangu mawili.
Mwanzoni nilikuwa najidai mimi ni msomi na mbishi juu ya haya mambo lakini nilipoyashuhudia ubishi ukanitoka.
Wala sio ugonjwa wa akili.
Kibaka maarufu mtaani anayejulikana hadi maskani kwake ndio jini?basi huyo aliyekupiga rob ndio jini au shetani.Shetani unavyodhani ni jitu la kutisha lakini shetani anaweza kuja katika maumbo tofauti tofauti.Hata wewe ukishafanya mambo yasiyompendeza mungu tayari umeshakuwa shetani.Shetani ni dhana ya mambo hasi au negative na malaika ni dhani ya mambo chanya au positive.
Ulipokuwa unaomba kutamka hayo maneno mungu aliona akuonyeshe jini kwa mtindo huo take care
Kama huna interested utakijua tuchuo kipo temeke sehemu gani!? tupe jina la chuo!
No umekoseaa, research continue in every corner of the world.Mambo ya kiroho hayachunguzwi kisayansi
Elimu ni pana usiyoyajua kuhusu dunia ni mengi.No umekoseaa, research continue in every corner of the world.
N.b:-Remember this is a science, inahusisha hesabu Kali za fizikia za elimu na maesabu anga,kiukweli bila elimu hii hata safari za mwezini au mars haziwezekani kabisa.
"The education beyond"
Research zipo za aina nyingi.No umekoseaa, research continue in every corner of the world.
N.b:-Remember this is a science, inahusisha hesabu Kali za fizikia za elimu na maesabu anga,kiukweli bila elimu hii hata safari za mwezini au mars haziwezekani kabisa.
"The education beyond"