Uchawi au Majini hayapo! Nani ameshawahi kukutana na jini

Hakuna mantiki yoyote niliyo tumia hapo,sababu maneno na kuhoji au uandishi ulikuwepo kabla ya hiyo Mantiki.

Mantiki ni fani tu iliyo kuja kuwekwa na Aristoto na kujipangia kanuni za namna ya kuhoji kwa mtazamo wake yeye,ambao una madhaifu mengi sana.
 
basi huyo aliyekupiga rob ndio jini au shetani.Shetani unavyodhani ni jitu la kutisha lakini shetani anaweza kuja katika maumbo tofauti tofauti.Hata wewe ukishafanya mambo yasiyompendeza mungu tayari umeshakuwa shetani.Shetani ni dhana ya mambo hasi au negative na malaika ni dhani ya mambo chanya au positive.
Ulipokuwa unaomba kutamka hayo maneno mungu aliona akuonyeshe jini kwa mtindo huo take care
 
Mpaka najiuliza kwanini hujibu swali la msingi ?

Onyesha nafasi na uwezo wa nini kuratibu suala la DNA ?

Hapa ndiyo nakuonyesha uongo wa swali lako. Sababu tamko "nini ?" Linatumika kwa kisicho na maarifa.

Si umelazimisha nini,ikae katika kuratibu na kusanifu mambo,onyesha ukweli wa hilo,tuambie hiko nini kimewezaje kuratibu na kusanifu DNA na ilikuwaje ? Ukiweza kujibu swali hilo kwa ufasaha basi swali lako litakuwa la kweli.
 

Kutoamini haimaanishi kwamba haupo! Nikikuuliza una roho most likely utaniambia unayo au sio? Je nikikwambia thibitisha utaweza?

Sent using Jamii Forums mobile app
Roho uliiona wapi?
 
YESU alipotoa mapepo kutoka kwa yule mtu wakatoka na kwenda kuwaingia wale nguruwe na nguruwe wakapata wazimu wakaenda korongoni wakatumbukia wakafa wote hilo unasemaje.Wewe ni nani usikubali kuwa hawa viumbe wapo?
Kama unabisha hebu njoo huku Tanga na Sumbawanga tukubeep kidogo halafu utarudi dar kufuta huu uzi
 
Naona unatangaza viashara zako bila kodi ,hivi kwanini uislam unahusishwa sana na uchawi na majini?naona ile shanga nyeusi huwa wanatembea wakishwali wakiihesabu
 
Hahahahaa mm ni simba dam dam na sijasema kama mm ndio naroga

Karibu mwanza mkuu
 
Nimecheka sana.

Naposema hakuna "contradictions" katika Qur'aan tuna maanisha.

Anasema Allah mtukufu :

27. . Je! Ni vigumu zaidi kukuumbeni nyinyi au mbingu? Yeye ndiye aliye ijenga!

28. Akainua kimo chake, na akaitengeneza vizuri.

29. Na akautia giza usiku wake, na akautokeza mchana wake

30. Na juu ya hivyo ameitandaza ardhi. (an-Naaziat :27-30)

Aya hizi hazionyeshi ya kuwa mbingu ndiyo ilianza kujengwa,bali inatoa taarifa juu ya uwezo wa Allah katika uumbaji. Ndiyo maana aya ya 27, inasema yeye ndiye mjenzi.

Aya ya 30 inaonyesha wazi kabisa na limetumika tamko la wakati uliopita la "ameitengeneza yaani aliitengeneza" ardhi,yaani vivyo hivyo yaani yeye ndiye aliitengeneza ardhi,na ndani ya mbingu na ardhi akaweka usiku na mchana.
 
Mantiki ilikuwapo kabla ya Aristotle.

Unapotumia herufi za alphabet, tayari umetumia mantiki ya pangilio wa herufi.

Unapohesabu kwa namba, tayari umetumia mantiki ya hesabu.

Sasa unataka kusema Aristotle ndiye kanzisha kuandika na kuhesabu?
 
Mantiki ilikuwapo kabla ya Aristotle.

Unapotumia herufi za alphabet, tayari umetumia mantiki ya pangilio wa herufi.

Unapohesabu kwa namba, tayari umetumia mantiki ya hesabu.

Sasa unataka kusema Aristotle ndiye kanzisha kuandika na kuhesabu?
Unajua kama mantiki ni fani ? Yaani unawezaje kuitofautisha mantiki na hesabu ?

Mantiki haikuwepo kabla ya Aristoto,usiwe muongo.

Kutumia herufi za alfabeti na kuzipangilia zi kweli kwamba umetumia mantiki.

Si kweli.

Nakuuliza swali dogo sana,mantiki ilikuwepi kama fani au ilikuwepo kama nini kabla ya Aristoto na ulikuwa unaijuaje kama hii ni mantiki,kisha uje kuniambia nini maana ya "Mantiki".

Na mimi nitakifundisha Mantiki ni nini...?
 
Naona unatangaza viashara zako bila kodi ,hivi kwanini uislam unahusishwa sana na uchawi na majini?naona ile shanga nyeusi huwa wanatembea wakishwali wakiihesabu
Shauri yako watakuja wazee wa albadili
 

nlichojifunza kutoka kwako ni kua uko tayari kukana kwa kila kitu! mpaka hapa umeshakosa sifa za kujibizana na mimi! kazi ya kua unacheza mdundo wa singeli kwa ku dab! nmekuachia wewe mwenyewe!

aya zinajieleza vizuri tu ila unakuja na maelezo yako ya namna ya kuielewa wakati hizo aya ziko clear zinasema nini!
 
Hapana, nimeona nguvu za giza kwa macho yangu mawili.

Mwanzoni nilikuwa najidai mimi ni msomi na mbishi juu ya haya mambo lakini nilipoyashuhudia ubishi ukanitoka.

Wala sio ugonjwa wa akili.
America,Australia Canada England kote wasomi wabobezi wanafanya study juu ya masuala haya nami nipo pia katika utafiti pia hakika ni utafiti mgumu kupindukia maana katika tafiti utakapokosea tu huweza kuyagharimu maisha yako Instantly.
 
Kibaka maarufu mtaani anayejulikana hadi maskani kwake ndio jini?

Ebu kua serious
 
Mambo ya kiroho hayachunguzwi kisayansi
No umekoseaa, research continue in every corner of the world.

N.b:-Remember this is a science, inahusisha hesabu Kali za fizikia za elimu na maesabu anga,kiukweli bila elimu hii hata safari za mwezini au mars haziwezekani kabisa.
"The education beyond"
 
Elimu ni pana usiyoyajua kuhusu dunia ni mengi.
 
Research zipo za aina nyingi.
Hata mambo ya kiroho yana research zake.Ni mpaka uwe na elimu hio.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…