Uchawi au Majini hayapo! Nani ameshawahi kukutana na jini

Uchawi au Majini hayapo! Nani ameshawahi kukutana na jini

Unataka nikuwekee picha ya mchawi?

Nikiiweka utaamini?

Au utanambia nina schizophrenia?
Picha inathibitishaje huyu ni mchawi na hujaiokota tu kwenye internet au si babu yako umemvalisha tunguli?

Yani hapo ndipo mwisho wa uwezo wako wa kufikiri au unataka kutuchekesha tu hapa?

Are you naturally stupid, or do you make a special effort?
 
Uliwaona wapi wewe hao wachawi wakiingia na kutokomea ukutani?

You are funny AF [emoji1787][emoji1787]
Kuna kijiji kimoja huko ndani ndani Tanzania, ukizima taa ukilala tu unaanza kuona watu wanatembea ndani ya chumba.

Usiniambie nimerukwa na akili. Nina akili zangu timamu kabisa wala siugui ugonjwa wowote.

I have seen people walking around the room at night, na ukiwakurupusha wanakimbia na unawasikia.

I don't have schizophrenia please.

Niko timamu vibaya sana!
 
Swali lako la "nani" lina assume kwamba, ulimwengu ni lazima umeumbwa na Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote mwenye nafsi
Kijana mbona muoga sana wa maswali ? Swali langu halina makadirio hayo,bali uhalisia.

Onyesha uwezekano wa kutokuwa na kiulizi katika suala la muumbaji. Yaani utuambie linakaa tamko gani nje ya tamko "nani ?". Ukiweza naacha huu mjadala.
Wakati huna ushahidi wala uthibitisho wowote.
Usijitoe ufahamu,suala la ithibati juu ya uwepo wa Mola muumba hili nimeshalifanya,na hukuweza kukosoa ushahidi wangu. Hili nilishalimaliza zamani. Kazi imebaki kwako kutithibitishia ya uwa Mola hayupo. Na ituambie huu ulimwengu imekuwaje ukawepo.

Lugha ina hukumu. Ndiyo maana huwezi kutumia tamko "nini ?" kama kiulizi cha kitaka kujua chanzo cha Ulimwengu au dunia imekuwaje ikawa hivi ilivyo.
 
Kuna kijiji kimoja huko ndani ndani Tanzania, ukizima taa ukilala tu unaanza kuona watu wanatembea ndani ya chumba.

Usiniambie nimerukwa na akili. Nina akili zangu timamu kabisa wala siugui ugonjwa wowote.

I have seen people walking around the room at night, na ukiwakurupusha wanakimbia na unawasikia.

I don't have schizophrenia please.

Niko timamu vibaya sana!
🤣🤣

Hauko serious wewe.

Naona uko hapa kuchekesha tu.

Good job, though.
 
Hujauliza swali lililo open ili ujue jibu.
Swali langu liko wazi sana,kama unavyo hoji wewe kwamba kwanini isiwe "nini ?" na ikawa "nani ?". Nikakuuliza kwanini uulize "nini ?" . Hujajibu swali hili,bali hata kutupa ishara ya kwanini iwe "nini ?". Ukijibu swali hili naacha huu mjadala.
 
Huyo Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote ni hadithi tu, kiuhalisia hayupo.
Thibitisha hili,ukiweza na mimi nitakuwa na fikra kama zako.

Nilishawahi kukwambia ututhibitishie ya kuwa hizi ni hadithi,hili swali ulishindwa. Sasa huwanakushangaa kwanini unajadili hizi mada ambazo huwezi kuthibitisha unayo yaegemea ?
 
Swali langu liko wazi sana,kama unavyo hoji wewe kwamba kwanini isiwe "nini ?" na ikawa "nani ?". Nikakuuliza kwanini uulize "nini ?" . Hujajibu swali hili,bali hata kutupa ishara ya kwanini iwe "nini ?". Ukijibu swali hili naacha huu mjadala.
Nini ni more inclusive.

Imebebe nani.

Nani ni subset ya nini.

Tatizo hujasoma set theory hivyo huelewi subset ni nini.
 
Ndiyo maana mpaka sasa hujaweza kuthibitisha Mungu huyo yupo, na wala hujaweza kuondoa contradictions katika dhana ya uwepo wake.
Kwanini unasema Uongo ?

Nakuthibitishia tena ya kuwa Mola yupo.

Anasema Allah mtukufu :

35. Au wao wameumbwa pasipo kutokana na kitu chochote, au ni wao ndio waumbaji?

36. Au wao wameziumba mbingu na ardhi? Bali hawana na yakini. (at-Tur : 35 - 36)

Sasa kosoa huu uthibitisho kwa kujibu swali hilo.
 
Thibitisha hili,ukiweza na mimi nitakuwa na fikra kama zako.

Nilishawahi kukwambia ututhibitishie ya kuwa hizi ni hadithi,hili swali ulishindwa. Sasa huwanakushangaa kwanini unajadili hizi mada ambazo huwezi kuthibitisha unayo yaegemea ?
Tuanze polepole, ili tusije kuzunguka palepale.

Swali la kwanza.

Kuna uwezekano wowote wa hoja yoyote yenye kuweza kukufungua mawazo kujengwa, ikakufanya ubadikishe imani kuhusu maoni yako kwenye suala la uwepo wa Mungu?

Kuna uwezekano wowote ukakubali Mungu hayupo ukieleweshwa vizuri ukaelewa?

Au umeshupaa kabisa kiasi kwamba hata kabla ya kuelezwa lolote ushahitimisha Mungu yupo, na chochote utakachoambiwa, hata kiwe na mantiki vipi, hakitaweza kukufanya ubadili mawazo yako?
 
Kwanini unasema Uongo ?

Nakuthibitishia tena ya kuwa Mola yupo.

Anasema Allah mtukufu :

35. Au wao wameumbwa pasipo kutokana na kitu chochote, au ni wao ndio waumbaji?

36. Au wao wameziumba mbingu na ardhi? Bali hawana na yakini. (at-Tur : 35 - 36)

Sasa kosoa huu uthibitisho kwa kujibu swali hilo.
Hapa umeonesha kuchanganya mambo.

Unafikiri mahubiri ni uthibitisho.

Mahubiri si uthibitisho.

Thibitisha, usihubiri.
 
Nini ni more inclusive.

Imebebe nani.

Nani ni subset ya nini.

Tatizo hujasoma set theory hivyo huelewi subset ni nini.
Mzee jibi swali nililo kuuliza. Set ni makubaliano ya wana mahesabu,naongelea uhalisia mzee.

Jibu swali nililo kuuliza.

Nakupa kazi onyesha na utoe mfano wa kuwa "nini ?" ndani yake kuna "nani ?". Mimi nakuonyesha "nani ?" ndani yake kuna nini. Kwangu mimi kuna nani. Sasa onyesha kwenye nini kuna nani.
 
Tuanze polepole, ili tusije kuzunguka palepale.

Swali la kwanza.

Kuna uwezekano wowote wa hoja yoyote yenye kuweza kukufungua mawazo kujengwa, ikakufanya ubadikishe imani kuhusu maoni yako kwenye suala la uwepo wa Mungu?

Kuna uwezekano wowote ukakubali Mungu hayupo ukieleweshwa vizuri ukaelewa?

Au umeshupaa kabisa kiasi kwamba hata kabla ya kuelezwa lolote ushahitimisha Mungu yupo, na chochote utakachoambiwa, hata kiwe na mantiki vipi, hakitaweza kukufanya ubadili mawazo yako?
Kwanini umeamua kupoteza muda na kuacha kujibu maswali marahisi. Jibu maswali niliyo kuuliza,usikimbie maswali.
 
Hapa umeonesha kuchanganya mambo.

Unafikiri mahubiri ni uthibitisho.

Mahubiri si uthibitisho.

Thibitisha, usihubiri.
Onyesha kama mahubiri si uthibitisho. Niambie kilicho andikwa kwenye aya ni uhalisia au siyo uhalisia ?

Kisha kosoa nilicho kiandika. Ukiweza naacha mjadala na nakuwa na fikra kama zako.
 
Thibitisha, usihubiri.
Mahubiri yako wapi hapo ?

Niambie maana ya tamko "Mahubiri". Maana ya mahubiri kwa haraka ni jina kwalo huwaita watu katika jambo fulani.

Aya imeuliza swali na kuthibitisha,ili uwe mkweli ulitakiwa ukanushe kilicho andikwa kwenye aya na uweke usahihi wako.
 
Mahubiri yako wapi hapo ?

Niambie maana ya tamko "Mahubiri". Maana ya mahubiri kwa haraka ni jina kwalo huwaita watu katika jambo fulani.

Aya imeuliza swali na kuthibitisha,ili uwe mkweli ulitakiwa ukanushe kilicho andikwa kwenye aya na uweke usahihi wako.
Aya zako ni za logical non sequitur.

Kwa sababu hazielezi "wao" ni nani, na hata kama zinazungumzia watu, watu kuumbwa kwa kitu na kutoumba ulimwengu hakumaanishi wao na ulimwengu vimbwa na Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote.

Thibitisha Mungu yupo.

Usilete aya chovu kivivu hapa.

Mimi nakwambia BMW halijateng3nezwa na James Bond 007. James Bond 007 ni character wa hadithi hayupo kiuhakisia.

Unaniketea aya inasema kwani BMW halijat3mengenezwa kwa chuma?

Logical non sequitur.
 
Kwanini umeamua kupoteza muda na kuacha kujibu maswali marahisi. Jibu maswali niliyo kuuliza,usikimbie maswali.
Kwa sababu inawezekana wewe ni mfiadini uliyeamua kwamba hata ukioneshwa Mungu wako ana contradiction hutakubali.

Ukioneshwa kwamba Mungu wako hayupo, utakubali?

Au utang'ang'ania ushabiki wa ki Mujahedeen tu?
 
Soma kitabu kinaitwa "Witchcraft at Salems"
utaelewa.
Kitabu kinathibitisha uchawi upo au kinaongelea watu waliofanya desturi za kichawi?

Historia ya Salem na uchawi inaonesha uwepo wa ujinga zaidi ya uchawi.
 
Kumbe ulitaka nithibitisheje?

Niweke kinyesi ama?
Swali langu liko wazi sana,kama unavyo hoji wewe kwamba kwanini isiwe "nini ?" na ikawa "nani ?". Nikakuuliza kwanini uulize "nini ?" . Hujajibu swali hili,bali hata kutupa ishara ya kwanini iwe "nini ?". Ukijibu swali hili naacha huu mjadala.
Sasa wakuu kitu chochote kinachohusisha mambo ya imani inategemea na imani ya mtu pia, huwezi mlazimisha mtu aamini kitu ambacho hataki kukiamini pengine hata umpe uthibitisho na ushahidi anaweza asiamini.

Mfano kwa upande wa dini ukienda kwa muislam atakwambia ana uhakika na imani yake 100% pia kwa mkristro vivyo hivo, na ni ngumu kumwambia mtu usiamini dini hii au ile.

Nyie mnachotakiwa kukifanya ni kwamba mumuulize tu huyo jamaa yupo dini gani either uislamu au ukristo , then kama anaamini miongoni mwa dini hizi basi atakua hajielewi na hajui anachokisema maana haiwezekani utuletee mada ambayo ishamalizwa kwenye muongozo wa maisha yako.
ila kama haamini hizi dini basi sawa yuko correct kuamini hvyo.
 
Back
Top Bottom