Gwalihenzi
JF-Expert Member
- Oct 21, 2011
- 5,125
- 1,301
Sheikh Farid, huna sababu za kutokwa na mapovu, hujakosea kabisa mimi siamini katika mungu wala dini zenu, lakini hilo halinizuii mimi kukemea mtu anapokuja na imani yake kutaka kuwakosesha amani na utangamano watu wengine. Mzee wako Mohamed Saidi anachochea chuki isiyo na maana kwa jina la uislam. Hiyo sio sahihi hata kidogo.Gwalihenzi unachuki sana na uislamu na wala wewe sio wakwanza kuwa hivyo wameshapita mafirauni wakubwa kuliko wewe, wewe umesema huna dini uislamu unakuwashia nini?
Mohamed, kipya ulicho kiandika katika ngano zako ni uislam wa wazee wako! hapo ndipo tunapishana na wewe. Wazee wako hawakupambana na wakoloni wakiwa wamejitenga kama waislam, walipambana na wakoloni wakiwa watanganyika na wakishirikiana na watanganyika wengine.G,
Nyie hamuulizi kujua mnauliza kubisha.
Mie kama maswali nimejibu siku nyingi.
Mmefadhaika na kitabu changu kwa kuwa
kimekuleteeni mambo mapya.
Hizo post kutoka "Under the Shadow of
British Colonialism" kote nilikohadhir
kilichofatia ni kuombwa nizidi kueleza hiki
au kile.
Nyie mmepigwa na butwa.
Isizidi Mwanakijiji anasoma kisha chembelecho
Zomba anakuja na viroja na kutaka ati nimjibu.
Viroja vinajibika?
G,
Nyie hamuulizi kujua mnauliza kubisha.
Mie kama maswali nimejibu siku nyingi.
Mmefadhaika na kitabu changu kwa kuwa
kimekuleteeni mambo mapya.
Hizo post kutoka "Under the Shadow of
British Colonialism" kote nilikohadhir
kilichofatia ni kuombwa nizidi kueleza hiki
au kile.
Nyie mmepigwa na butwa.
Isizidi Mwanakijiji anasoma kisha chembelecho
Zomba anakuja na viroja na kutaka ati nimjibu.
Viroja vinajibika?
Kuchosha kwako kuko hapa.Utetezi wako ni wa kibaguzi.Unataka Nyerere apewe haki yake ambayo hata hivyo hakunyimwa lakini haki za wapigania uhuru wengine huna habari nazo.
Uadui na uchoyo wa Nyerere kwa wapigania uhuru wengine na kwa waislamu wa kawaida ndio haki yake ambayo amepewa kikamilifu katika historia ya Mohammed Said.
Kwa upande wako mwenyewe ni mjanja sana katika mijadala kutokana na uzoefu wako wa muda mrefu.Lakini hujui kuwa kunguru mjanja hunaswa na tundu bovu.
Tabia yako ni kuwa vumbi likitimka hapa unajificha.Ukirudi hujibu chochote cha maana ulichoulizwa.Unazusha maswali ambayo huko nyuma yameshajibiwa.
Kama ni kutokutoa haki basi wewe unaongoza,na si hivyo tu bali wewe ni mtovu wa nidhamu kwa tafiti za kielimu.Mtu kama Mohammed Saidi aliyetumia miaka na kuwasilisha mahojioni halisi na wapigania uhuru wewe unaita ni simulizi.
Mzee Mwanakijiji huna heshima kabisa na kazi za kitafiti ambazo zimeshathaminiwa na mamlioni ya watu nje na ndani ya nchi.
Kwa kutoweza kuleta utetezi wa maana kupinga historia ya Mohammed Said huoni kwamba unajitukana mwenyewe?.
Fuata ushauri wa Barubaru iwapo umeishiwa au umechoka basi tulia usome tu michango ya wenzako.
Ritz,
Ukisikia hana dini basi jua ni mpenzi wa Ukristo.
Nimekutana na wengi sampuli hiyo.
Mambo ya kizamani kabisa kujinasibu na ukafiri.
Inashangaza sana wewe unakuja na data na facts za kutosha halafu wao wanakuja na maneno matupu halafu wanataka kubishana.
Tatizo lao hakuna hata mmoja ambae anakuja na historia ya Tanganyika hawana wanachosubiri wewe uandike waanze kubisha bahati mbaya wanabisha bili ushahidi.
Kinachotakiwa wewe ukiandika kitu kama ni uongo wao wanatakiwa waandike ukweli kukupinga lakini hawafanyi ivyo wanaishia kukuita mchochozi tu bila kuthibitisha.
Mohamed, kipya ulicho kiandika katika ngano zako ni uislam wa wazee wako! hapo ndipo tunapishana na wewe. Wazee wako hawakupambana na wakoloni wakiwa wamejitenga kama waislam, walipambana na wakoloni wakiwa watanganyika na wakishirikiana na watanganyika wengine.
Sheikh Farid, huna sababu za kutokwa na mapovu, hujakosea kabisa mimi siamini katika mungu wala dini zenu, lakini hilo halinizuii mimi kukemea mtu anapokuja na imani yake kutaka kuwakosesha amani na utangamano watu wengine. Mzee wako Mohamed Saidi anachochea chuki isiyo na maana kwa jina la uislam. Hiyo sio sahihi hata kidogo.
Sema historia ya uhuru iliyoandikwa na CCM kivukoni! mbona waandishi wengine hawajafuta. Sasa wewe umekuja na histohisia zaidi badala ya historia na ndio maana huwa tunakushangaa kwa nini hukwenda kumhoji Nyerere mweenyewe alipokuwa hai ili kujilidhisha na simlizi za wazee wako. Au na wewe ulibeba chuki dhidi ya Nyerere? Haiingii akilini kabisa kumuacha mchezaji mkuu na ukawakumbatia watazamaji.Umesema kweli Gwalihenzi.
Ila ilipokuja kuandikwa historia ya uhuru...
Wazee wangu wakafutwa,
Akabakishwa Nyerere peke yake.
Hiki ndicho kilichoniudhi.
Hapana, adui yangu ni yule anayeutumia uislam wake au dini yake nyingine kwa nia ya kuwafarakanisha watanzania.Hana dini lakini adui yake mkubwa ni Uislam na Waislam.
Hizo ni hisia zako binafsi wala hazinidhuru mimi. Kinacho nidhuru ni uchochezi wako wa kidini unaopelekea kuvunja amani yetu. Mimi ni ATHEIST kwahiyo mungu wako au mungu wa kikrsto hanihusu hata kidogo. Amani ya taifa letu inanihusu sana.Ritz,
Ukisikia hana dini basi jua ni mpenzi wa Ukristo.
Nimekutana na wengi sampuli hiyo.
Mambo ya kizamani kabisa kujinasibu na ukafiri.
Hapana, adui yangu ni yule anayeutumia uislam wake au dini yake nyingine kwa nia ya kuwafarakanisha watanzania.
Hizo ni hisia zako binafsi wala hazinidhuru mimi. Kinacho nidhuru ni uchochezi wako wa kidini unaopelekea kuvunja amani yetu. Mimi ni ATHEIST kwahiyo mungu wako au mungu wa kikrsto hanihusu hata kidogo. Amani ya taifa letu inanihusu sana.
Hapana, adui yangu ni yule anayeutumia uislam wake au dini yake nyingine kwa nia ya kuwafarakanisha watanzania.
Ritz, wacha kunizulia, ebu nionesha ni wapi nilipotoa kejeli hizo!Wakati mwingine uwe unajisoma unachoandika dhidi ya Waislam, si wewe ndiyo uwa unakejeli kwa Waislam wana akili za madrasa. Madrasa na inauhusiano gani na historia ya Tanganyika.
Kichekesho kingine ATHEIST anazihofia dini zingine zinaweza kuleta machafuko kupitia dini zao.
Hizo ni hisia zako binafsi wala hazinidhuru mimi. Kinacho nidhuru ni uchochezi wako wa kidini unaopelekea kuvunja amani yetu. Mimi ni ATHEIST kwahiyo mungu wako au mungu wa kikrsto hanihusu hata kidogo. Amani ya taifa letu inanihusu sana.
G,
Nyie hamuulizi kujua mnauliza kubisha.
Mie kama maswali nimejibu siku nyingi.
Mmefadhaika na kitabu changu kwa kuwa
kimekuleteeni mambo mapya.
Hizo post kutoka "Under the Shadow of
British Colonialism" kote nilikohadhir
kilichofatia ni kuombwa nizidi kueleza hiki
au kile.
Nyie mmepigwa na butwa.
Isizidi Mwanakijiji anasoma kisha chembelecho
Zomba anakuja na viroja na kutaka ati nimjibu.
Viroja vinajibika?
Mama yangu nakumbuka wakati nipo shule ya msingi,alikua ananihusia mara kwa mara,Dullah hakikisha unaisoma vema na kujitahid kuihifadhi na kuilewa vyema Qur an kwani ndio msingi wa maisha yako na chakula cha ubongo wako,hata siku moja usizembee kwenda madrasa kujifunza,huku akiwa ananisimamia katika masomo yangu ya shule ya msingi kimasikini katika hizi ST KANUMBA,,shule zetu hizi walalahoi,,
Alikua ananiambia jitahid pia huko shule kuzingatia masomo kwani ukishindwa hapo mimi sina uwezo wa kukupeleka Private school,na alikua ananiambia Dawa ya hiyo hali yako ni kupiga shule na kuchimba maradufu ya wenzako,niliyafanyia kazi kweli kweli,nakumbuka Mtihani wa kumaliza Darasa la saba,hesabu nilipiga 50/50,lugha nikapiga 48/50,Maarifa ya jamii nikapiga 46/50 na nikachaguliwa kwenda Mzumbe high school(Special schoool),,
Kazi sasa ilikua mara baada ya kufika mzumbe high school enzi hizo kile chuo kikuu cha mzumbe kikitambuliwa kwa jina la IDM-MZUMBE,,
Bahati pale mzumbe high school kuna msikit uliojengwa karibu na shule na upo maeneo ya shule,nilishangazwa sana kipindi tunafika pale,ile ni shule ya serikali lakini idadi ya waislam ilikua ni ya kuhesabika,katika wanafunzi tulioripoti form one kwa idadi ya 105 waislam tulikua hatufiki hata 20,na ukiangalia kwa undani hata hao wakristo tulioripoti nao si kwamba walikua imara kias cha kusema walistahiki sana kuwepo pale,
Tulichokawa tunafanya sisi ni kuvaa vipedo kama wanavosema na kupiga kitabu kwa kwenda mbele,tuliwaprove wrong hasa katika National results,tukaambiana jaman mnajua hawa siku zote wanatusemanga ya kwamba sisi si chochote si lolote,kwaiyo tunawathibitishie,
National results zikija ni mwendo wa Div one tuh za single digit,div1 point 7,point 8,poit 9 na vipedo vyetu,
Hadi kuna kipindi wakristo wakaanza zengwe ya kwamba ooooh waislam wanashinda sana msikitini,hawafanyi kazi za shule,hawaudhurii roll call etc,mkuu wa shule Mzee R.J Mwasha akawaambia as long as hao jamaa wananipa matokeo mazuri mimi sion umuhim wa allegations zenu,ikawa kila mwaka ukifika tunaambukizana ile hali na hadi leo tumeuacha utamaduni huo katika shule kama ile,,
Sio kweli kwamba waislam hawazingatii shule,yapo mengi sana watu tunafanyiwa na tumefanyiwa,tunazungumza tunazungumza kwa mantiki ya kukemea na kujenga tanzania bora kwa kizazi kijacho,sasa kama watu hawataki ukweli usemwe ni juu yao..
Ukweli utasemwa tuh..