Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Yericko Nyerere,

Hujui Nyerere alivyoishi na Wazee wa Dar es Salaam na hisani walizomfanyia

Nenda kamuulize Mama Maria Nyerere kuliko kuropoka ovyo humu na kuidhalilisha familia ya Nyerere.

Wewe unajua kama Wazee wa Kariakoo walimpa duka Mama Maria Nyerere pale mtaa wa Mchikichi na alikuwa anauza mafuta ya taa nenda Butiama kamuulize jinsi walivyokuwa wapendwa na Wazee wa Kariakoo.

Nyerere alikuwa anaishi kwa Abdulwahid Skyes kama ndugu zake.

Wazee walikuwa na mahaba makubwa na Nyerere.

Ritz,
Yericko hawezi kuyajua haya.
 
jipambanue je una nasaba na JK Nyerere? maana hapa naona umejinasibisha na familia hiyo.


Barubaru,

Julius Kambarage Nyerere amefariki ameacha watoto 7 tu kwa mujibu wa familia yake.

1) Andrew Nyerere

2) Anna Nyerere

3) Magige Nyerere

4) John Nyerere

5) Makongoro Nyerere

6) Madaraka Nyerere

7) Rosemary Nyerere

Ndiyo maana siku ile Andrew alisema amfahamu.
 
Last edited by a moderator:
miez mitano mnakashani,wameshindwa kuuthibitisha uchochezi wa Moh Said,
walichofanikiwa ni kumpa wasaa wa kuzid kumwaga darsa na ilm bure bure...!
Ni wakti muafaka sasa kuitia moto Historia fake ya kivukoni..

Boko Haram,
Hapana haja ya kuitia moto historia ya TANU ya Kivukoni ambayo ndiyo
historia ya Nyerere.

Mimi binafsi nachukulia kuwa ile ndiyo historia ya TANU ya Nyerere na ipo
historia ya TANU ya akina Abdu Sykes ambayo ndiyo hii ambayo nimeieleza
hapa historia inayomuhusu na Nyerere mwenyewe.

Historia hizi zote mbili zinaweza zikasomeshwa bila moja kubughudhi nyingine.
 
Al Akhiy Mohd said.

Kweli wewe ni bahr ya ilmu kwani tunajifunza mengi kutoka Kwako na Allah atakubarik kwa darsa lako hili.

Nimefurahi sana kiswa hichi kwani niliwahi kuhadithiwa na rafiki wa baba yangu Al marhum Ali Mpina (watoto zake akina Zarara, Nuru) wa mkunguni na livingstone.

hakika alivyonihadithia ni sawa kabisa na ulivyokieleza hichi kisa ya Abdu.

Allah akubarik sana Mohamed Said uzidi kutupa darsa hili kubwa na lenye manufaa kwetu kujua ukweli halisai wa historia hizi.

Ni kweli Barubaru mzee MS anamengi na sio mchoyo mungu ampe maisha yenye kheri, mengi tumeyajua kupitia kwake ni bahati ilioje kukutana na mtu kama huyu hapa jf.
 
Yericko Nyerere,

Hujui Nyerere alivyoishi na Wazee wa Dar es Salaam na hisani walizomfanyia

Nenda kamuulize Mama Maria Nyerere kuliko kuropoka ovyo humu na kuidhalilisha familia ya Nyerere.

Wewe unajua kama Wazee wa Kariakoo walimpa duka Mama Maria Nyerere pale mtaa wa Mchikichi na alikuwa anauza mafuta ya taa nenda Butiama kamuulize jinsi walivyokuwa wapendwa na Wazee wa Kariakoo.

Nyerere alikuwa anaishi kwa Abdulwahid Skyes kama ndugu zake.

Wazee walikuwa na mahaba makubwa na Nyerere.

Nini kikinza juu ya hilo?

Hiyo si historia ya Tanganyika bali ni ya Mwalimu Nyerere!

Hata kama ni hisani lakini hisani inayogeuka kesho kuwa masimango si hisani bali ni dhihaka!
 
Yericko,
Jifunze basi kuandika kwa adabu.

Hizo lugha zako za ''bondia'' ukikusudia kumuadhiri Abdu Sykes hazikufai.
Abdu alikuwa rafiki ya baba yako kwa hiyo ni baba yako.

Mfanyie staha.

Bibi yako Bi. Muyugwa alikuwa shoga wa mama yake Abdu Sykes Bi. Mluguru
wakipika na kupakua pale Kirk Street.

Unaweza ukanipinga kwa lugha ya kiungwana.

Hayo maneno ya kifedhuli unawatukanisha wazee wako kuwa hawakufunza
adabu.

Na wengine utawapa mwanya wa kukutukana.

Kwa bahati mbaya sana Mohamed Said tangu tuanze mjadala huu ukiona sehemu mtu amekuhoji kwa hoja mujarabu basi wewe hutaijibu kama ilivyo bali utakimbilia kwenye kulilia heshima ya tenge!

Hii ni aibu kwako na kwawakuaminio mkuu!

Mimi ni muumini wa ukweli!


Kama ni ng'ombe huwa na sema wazi kuwa yule ni Ng'ombe,

Kama ni mmbwa huwa nanyosha kuwa yule ni mmbwa!

Sina tabia ya kinafiki ya kufifisha ubaya kuwa uzuri kidogo na uzuri kuwa ubaya kidogo!

Wewe Mohamed Said ni MUONGO hivyo nitatamka hivyo kuwa wewe ni MUONGO!

Kutaja majina ya mitaa ya kariakoo na vibaraza vyake siokujua historia mkuu!

Simama kwenye ukweli!

Yani wewe kila aliyekusimilia kitu ilimradi awe ni wa kariakoo basi ulimwamini kwa 100% bila kutafiti!

Eti Shariff Attas awe mlinzi wa Mwalimu Nyerere katika kipindi cha 1952-1961 kisha atoswe na miezi/miaka michache Julius Nyerere akiwa rais wakuta na Nyerere huyohuyo amsahau Attas?

Hii kawachukue watoto wadogo wakule facebook kisha wasimulie watakupa like nyingi sana!

Mohamed Said wewe ni Muongo tena unaetishia usalama wa taifa hili!

Sijui dola inafikiria nini kukudhibiti mtu mchochezi kama wewe!

Tuwe wawazi, tunaposimulia historia ya nchi yetu tusiwapotoshe wale ambao hawakupata kuijua!

Watatulaumu kesho!
 
Boko Haram,
Hapana haja ya kuitia moto historia ya TANU ya Kivukoni ambayo ndiyo
historia ya Nyerere.

Mimi binafsi nachukulia kuwa ile ndiyo historia ya TANU ya Nyerere na ipo
historia ya TANU ya akina Abdu Sykes ambayo ndiyo hii ambayo nimeieleza
hapa historia inayomuhusu na Nyerere mwenyewe.

Historia hizi zote mbili zinaweza zikasomeshwe bila moja kubughudhi nyingine.



Rai yako ni njema sana...
insha allah jalah jalali akulipe kheri sana...
Sisi hatutathubutu kubanduka hapa ikiwa wewe upo na unamwaga darsa huru bila ushuru wala tozo al akhiy...
 
Kwa bahati mbaya sana Mohamed Said tangu tuanze mjadala huu ukiona sehemu mtu amekuhoji kwa hoja mujarabu basi wewe hutaijibu kama ilivyo bali utakimbilia kwenye kulilia heshima ya tenge!

Hii ni aibu kwako na kwawakuaminio mkuu!

Mimi ni muumini wa ukweli!


Kama ni ng'ombe huwa na sema wazi kuwa yule ni Ng'ombe,

Kama ni mmbwa huwa nanyosha kuwa yule ni mmbwa!

Sina tabia ya kinafiki ya kufifisha ubaya kuwa uzuri kidogo na uzuri kuwa ubaya kidogo!

Wewe Mohamed Said ni MUONGO hivyo nitatamka hivyo kuwa wewe ni MUONGO!

Kutaja majina ya mitaa ya kariakoo na vibaraza vyake siokujua historia mkuu!

Simama kwenye ukweli!

Yani wewe kila aliyekusimilia kitu ilimradi awe ni wa kariakoo basi ulimwamini kwa 100% bila kutafiti!

Eti Shariff Attas awe mlinzi wa Mwalimu Nyerere katika kipindi cha 1952-1961 kisha atoswe na miezi/miaka michache Julius Nyerere akiwa rais wakuta na Nyerere huyohuyo amsahau Attas?

Hii kawachukue watoto wadogo wakule facebook kisha wasimulie watakupa like nyingi sana!

Mohamed Said wewe ni Muongo tena unaetishia usalama wa taifa hili!

Sijui dola inafikiria nini kukudhibiti mtu mchochezi kama wewe!

Tuwe wawazi, tunaposimulia historia ya nchi yetu tusiwapotoshe wale ambao hawakupata kuijua!

Watatulaumu kesho!

Yericko,
Umeingia katika ile list yangu.

Hutonisikia tena.
 
Rai yako ni njema sana...
insha allah jalah jalali akulipe kheri sana...
Sisi hatutathubutu kubanduka hapa ikiwa wewe upo na unamwaga darsa huru bila ushuru wala tozo al akhiy...

The Big Show,

Marehemu Sheikh Mohamed Ayub alikuwa akisema ilm na amana.

Basi kama ni amana mwenyewe akijaitaka huna budi kumkabidhi.
Haya niliyojaliwa kuyajua ni amana na hidaya kutoka kwa Allah.

Nina wajibu wa kufikisha kwa wenyewe wanapotaka kujua.

Hakika historia ya uhuru wa Tanganyika ni historia inayopendeza
sana ila kwa yule mwenye choyo na hasad katika nafsi yake.
 
Kwa bahati mbaya sana Mohamed Said tangu tuanze mjadala huu ukiona sehemu mtu amekuhoji kwa hoja mujarabu basi wewe hutaijibu kama ilivyo bali utakimbilia kwenye kulilia heshima ya tenge!

Hii ni aibu kwako na kwawakuaminio mkuu!

Mimi ni muumini wa ukweli!


Kama ni ng'ombe huwa na sema wazi kuwa yule ni Ng'ombe,

Kama ni mmbwa huwa nanyosha kuwa yule ni mmbwa!

Sina tabia ya kinafiki ya kufifisha ubaya kuwa uzuri kidogo na uzuri kuwa ubaya kidogo!

Wewe Mohamed Said ni MUONGO hivyo nitatamka hivyo kuwa wewe ni MUONGO!

Kutaja majina ya mitaa ya kariakoo na vibaraza vyake siokujua historia mkuu!

Simama kwenye ukweli!

Yani wewe kila aliyekusimilia kitu ilimradi awe ni wa kariakoo basi ulimwamini kwa 100% bila kutafiti!

Eti Shariff Attas awe mlinzi wa Mwalimu Nyerere katika kipindi cha 1952-1961 kisha atoswe na miezi/miaka michache Julius Nyerere akiwa rais wakuta na Nyerere huyohuyo amsahau Attas?

Hii kawachukue watoto wadogo wakule facebook kisha wasimulie watakupa like nyingi sana!

Mohamed Said wewe ni Muongo tena unaetishia usalama wa taifa hili!

Sijui dola inafikiria nini kukudhibiti mtu mchochezi kama wewe!

Tuwe wawazi, tunaposimulia historia ya nchi yetu tusiwapotoshe wale ambao hawakupata kuijua!

Watatulaumu kesho!

Inafikia kipindi BiGJI huwa tamu inapotafunwa lakini mwishowe huisha utamu wake na hulazim kutemwa tuh,hiki ndicho kilichokusibu yericko,
umeishiwa,huna la maana tena unalosimamia,
umeshindwa japo kujipambanua na nasaba ya nyerere ukabakia na uchakubimbi wa kudandia nasaba isiyo kuhusu,hata historia ya huyo unaemsema mzee wako huijui,unazid kujidharaulisha sana...
Pole sana...
 
Yericko,
Umeingia katika ile list yangu.

Hutonisikia tena.

Mohamed Said

Hapa upo na watu wazima wezio, hakuna watoto wakuwalazimisha wakusikilize!

List ni yako na haimsaidii mwerevu yoyote hapa bali wafuata upepo watasikitika ukiwaambia kuwa umewaingiza huko!

Ukiwa Muongo na mchochezi kuwa tayari kukabiliana na werevu!

Pole sana ndugu yangu uliwabeba wajinga kwa miaka yote lakini umehamaki sana kukutana na zuio la kweli!
 
Haya wale wafia dini

Habari na Khamis Amani, Zanzibar -- BAADA ya mahakama ya mkoa Vuga kumwachilia huru mwalimu wa madrasat Qadiria iliyopo Amani wilaya ya Mjini Unguja, aliyekuwa akikabiliwa na kesi ya kumlawiti mwanafunzi wake wa kiume wa miaka 11, hatimaye mahakama kuu ya Zanzibar imemfunga jela miaka 15.

Uamuzi huo wa mahakama umekuja kufuatia rufaa iliyowasilishwa mahakamani hapo na Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP), kupinga hukumu iliyotolewa na mahakama ya Mkoa.

Mahakama hiyo, chini ya Jaji Abdulhakim Ameir Issa imelazimika kutoa adhabu hiyo baada ya kuridhika na sababu za rufaa zilizowasilishwa na DPP, ambazo zilidai kuwa Mahakama ya Mkoa wa Vuga imekosea kisheria katika utoaji wa hukumu. Hivyo, baada ya kusikiliza kwa kina hoja za pande mbili hizo juu ya rufaa hiyo pamoja na kuangalia vielelezo vya ushahidi vilivyotolewa katika mahakama ya mkoa wakati wa usikilizwaji wa kesi ya msingi, Jaji Abdulhakim alisema:



Mahakama inatengua uamuzi wa mahakama ya mkoa kwa sababu ilikosea kisheria katika utoaji wake wa hukumu, hivyo mahakama hii inaamuru kutumikia chuo cha mafunzo kwa muda wa miaka 15, haki ya rufaa ipo wazi kwa upande ambao haukuridhika na uamuzi huu

Pamoja na adhabu hiyo, Jaji Abdulhakim alimtaka Ustaadh huyo kulipa fidia ya shilingi 500,000 kwa mtoto huyo aliyemfanyia kitendo hicho.

Soma zaidi habari hii kwenye: ZanziNews blog


Haya kisa hicho kwa upande wa Shilingi!





Kanisa Katoliki Jimbo la Moshi limeingia katika kashfa nzito baada ya padri wake, Father Urbanus Ngowi wa moja ya parokia zake kudaiwa kufumaniwa na mwanamke anayesemekana ni mke wa mtu.
Sakata la fumanizi hilo linadaiwa kutokea Jumatatu ya wiki iliyopita chumbani kwa padri huyo, Marangu Wilaya ya Moshi Vijijini ambako Father Ngowi inasemekana alikutwa ‘laivu’ akiwa na mwanamke huyo aliyejulikana kwa jina la kijamii la Mama P.

Pamoja na kunaswa huko, vyanzo havijaeleza humo chumbani wawili hao walikuwa wakifanya nini!
Habari zinadai siku ya tukio, mwanamke huyo aliingia nyumbani kwa padri huyo ambapo baadhi ya ndugu wa mumewe walikuwa wakimfuatilia baada ya madai yaliyokuwepo kwamba ana ukaribu wenye maswali mengi na mtumishi huyo wa Mungu.
“Unajua siku nyingi ilivuma kwamba Mama P na Father Ngowi wana ukaribu wenye maswali mengi, mume wake alifuatilia na kubaini ni kweli lakini akashindwa kuutenganisha ukaribu wao,” kilidai chanzo.
Chanzo kikaendelea kudai kwamba baada ya kuona mkewe amejikita kwa mtumishi wa Mungu, mumewe alinyoosha mikono juu na kumwachia Mungu.
Chanzo: Sasa siku hiyo baada ya ndugu wa mume kumfuatilia mpaka anaingia kwa Father Ngowi, wakaona ni bora watafute mpigapicha ili kupata picha za tukio ambazo zitakuwa ushahidi siku za mbele.
“Walipompata wakazama ndani, sekeseke likaanzia hapo. Walimkuta mwanamke huyo na mtumishi wa Mungu wapo kitandani.”
Habari zinadai kwamba kufuatia tukio hilo, tayari Kanisa Katoliki limemweka kitimoto padri huyo ambaye alikuwa akihudumu katika Parokia ya Korongoni, Moshi Vijijini kabla ya kuhamishwa na kupelekwa Parokia ya Makomu, Marangu ambako inadaiwa ameshushwa cheo.
Inadaiwa kuwa baada ya tukio hilo, Father Ngowi alikana kukutwa na mke wa mtu chumbani kwake lakini alipobanwa sana na mabosi wa Jimbo Kuu la Kanisa Katoliki Moshi, alikiri na kudai ibilisi alimpitia na kuomba kanisa limsamehe na kutompa adhabu kali ambayo itamuathiri kisaikolojia.
Hili ni tukio kubwa na la aina yake kuwahi kulikumba Kanisa Katoliki nchini kwa padri wake kudaiwa kukutwa na mke wa mtu chumbani
Kuna madai kwamba mwaka jana (2012), Father Ngowi, mbele ya waumini wake alisoma barua yenye kukana shutuma zote zilizoelekezwa kwake kwamba amekuwa na ukaribu wenye maswali mengi na wake za watu.
Taarifa zilidai kuwa padri huyo aliweka wazi akisema si kweli kwamba amekuwa na ukaribu unaotajwa, akawataka waumini wake wapuuze tuhuma hizo alizosema zina mwelekeo wa kuchafua sifa yake na taswira ya Kanisa Katoliki kwa jumla.
Hayo ni madai ya vyanzo vyetu ambavyo viliambatanisha na picha mbalimbali za tukio hilo lenye kushtua waumini sambamba na namba za simu za padri huyo kwa ajili ya mawasiliano ili kujiridhisha.




 
Kwa bahati mbaya sana Mohamed Said tangu tuanze mjadala huu ukiona sehemu mtu amekuhoji kwa hoja mujarabu basi wewe hutaijibu kama ilivyo bali utakimbilia kwenye kulilia heshima ya tenge!

Hii ni aibu kwako na kwawakuaminio mkuu!

Mimi ni muumini wa ukweli!


Kama ni ng'ombe huwa na sema wazi kuwa yule ni Ng'ombe,

Kama ni mmbwa huwa nanyosha kuwa yule ni mmbwa!

Sina tabia ya kinafiki ya kufifisha ubaya kuwa uzuri kidogo na uzuri kuwa ubaya kidogo!

Wewe Mohamed Said ni MUONGO hivyo nitatamka hivyo kuwa wewe ni MUONGO!

Kutaja majina ya mitaa ya kariakoo na vibaraza vyake siokujua historia mkuu!

Simama kwenye ukweli!

Yani wewe kila aliyekusimilia kitu ilimradi awe ni wa kariakoo basi ulimwamini kwa 100% bila kutafiti!

Eti Shariff Attas awe mlinzi wa Mwalimu Nyerere katika kipindi cha 1952-1961 kisha atoswe na miezi/miaka michache Julius Nyerere akiwa rais wakuta na Nyerere huyohuyo amsahau Attas?

Hii kawachukue watoto wadogo wakule facebook kisha wasimulie watakupa like nyingi sana!

Mohamed Said wewe ni Muongo tena unaetishia usalama wa taifa hili!

Sijui dola inafikiria nini kukudhibiti mtu mchochezi kama wewe!

Tuwe wawazi, tunaposimulia historia ya nchi yetu tusiwapotoshe wale ambao hawakupata kuijua!

Watatulaumu kesho!

Hahahahaha eti majina ya vibaraza.. napenda ujasiri huu penye ukweli tuseme ukweli majaraab komred!
 
hakika ndie yeye huyo.

hata mimi nina nyumba mtaa huo wa Alikhan ambayo naimiliki mpaka leo wanakaa ndugu zangu.

Ahsante kwa kunijuza na kunikumbusha Almarhum Bulengero ambaye nilipoandoka tz familia yangu nilimwaachia yeye aiangalie mpaka nilipoiondoa.

Allah Akubarik.

Barubaru,
Leo nimeswali Maamur.

Msikiti umekuwa Sikiti.
Maana umejengwa upya na unavutia sana.

Muda mrefu nilikuwa sijafika pale.

Mzee Islam ni mzee wangu pia na nyumbani
kwake nabisha hodi nitakavyo.

Siku ukija Dar utafurahi kuuona msikiti huu.
Na Mfungo ndiyo huo.

Allah atufikishe.
Amin.
 
Yericko,
Naona shida kukuita muongo.

Hivi unajua itifaki za ubalozi?
Mbona unataka kujifedhehesha bure bila sababu?

Watazamaji wa uzi "Uchochezi wa Mohamed Said..." wanaongezeka
kila uchao jihadhari wasikutie katika list...ya vikaragosi.
Mohamed, wewe ungekuwa unafaham itifaki ungaliweza kusimama katika JF na kusema balozi kahutubia bunge! Kama Yericko ataingia katika list ya vikaragosi nadhani atakukuta ukiwa umeshatangulia
 
Haya wale wafia dini

Habari na Khamis Amani, Zanzibar -- BAADA ya mahakama ya mkoa Vuga kumwachilia huru mwalimu wa madrasat Qadiria iliyopo Amani wilaya ya Mjini Unguja, aliyekuwa akikabiliwa na kesi ya kumlawiti mwanafunzi wake wa kiume wa miaka 11, hatimaye mahakama kuu ya Zanzibar imemfunga jela miaka 15.

Uamuzi huo wa mahakama umekuja kufuatia rufaa iliyowasilishwa mahakamani hapo na Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP), kupinga hukumu iliyotolewa na mahakama ya Mkoa.

Mahakama hiyo, chini ya Jaji Abdulhakim Ameir Issa imelazimika kutoa adhabu hiyo baada ya kuridhika na sababu za rufaa zilizowasilishwa na DPP, ambazo zilidai kuwa Mahakama ya Mkoa wa Vuga imekosea kisheria katika utoaji wa hukumu. Hivyo, baada ya kusikiliza kwa kina hoja za pande mbili hizo juu ya rufaa hiyo pamoja na kuangalia vielelezo vya ushahidi vilivyotolewa katika mahakama ya mkoa wakati wa usikilizwaji wa kesi ya msingi, Jaji Abdulhakim alisema:



Mahakama inatengua uamuzi wa mahakama ya mkoa kwa sababu ilikosea kisheria katika utoaji wake wa hukumu, hivyo mahakama hii inaamuru kutumikia chuo cha mafunzo kwa muda wa miaka 15, haki ya rufaa ipo wazi kwa upande ambao haukuridhika na uamuzi huu

Pamoja na adhabu hiyo, Jaji Abdulhakim alimtaka Ustaadh huyo kulipa fidia ya shilingi 500,000 kwa mtoto huyo aliyemfanyia kitendo hicho.

Soma zaidi habari hii kwenye: ZanziNews blog


Haya kisa hicho kwa upande wa Shilingi!


Ustadhi hana mamlaka ya kusamehe watu dhambi , jee huyo padri amejisamehesha mwenyewe ??
 
Mohamed, wewe ungekuwa unafaham itifaki ungaliweza kusimama katika JF na kusema balozi kahutubia bunge! Kama Yericko ataingia katika list ya vikaragosi nadhani atakukuta ukiwa umeshatangulia


Wallahi lile la balozi limekukaa kooni sana.!
Haya basi tufanye Nguruvi3 ndie aliekahutubia bunge...!
Mbona lilishatolewa clarification?ajabu bado unalo tuh?punguza hamaki na jazba,umejificha kwenye nyumba dhaifu ya buibui ona sasa ulivyokosa kusitirika,hadi jamaa zako wanajiuliza kipi kimekusibu masiku ya hivi karibun...
Umekuwa mufilisi wa hoja kabisa,
sisi tunasema ''victory won''...
Hakuna uchochezi,kuna facts tu ambazo nyinyi mnastahili kuzipokea na kuwasimulia wajukuu zenu...
 
Kwa bahati mbaya sana Mohamed Said tangu tuanze mjadala huu ukiona sehemu mtu amekuhoji kwa hoja mujarabu basi wewe hutaijibu kama ilivyo bali utakimbilia kwenye kulilia heshima ya tenge!

Hii ni aibu kwako na kwawakuaminio mkuu!

Mimi ni muumini wa ukweli!


Kama ni ng'ombe huwa na sema wazi kuwa yule ni Ng'ombe,

Kama ni mmbwa huwa nanyosha kuwa yule ni mmbwa!

Sina tabia ya kinafiki ya kufifisha ubaya kuwa uzuri kidogo na uzuri kuwa ubaya kidogo!

Wewe Mohamed Said ni MUONGO hivyo nitatamka hivyo kuwa wewe ni MUONGO!

Kutaja majina ya mitaa ya kariakoo na vibaraza vyake siokujua historia mkuu!

Simama kwenye ukweli!

Yani wewe kila aliyekusimilia kitu ilimradi awe ni wa kariakoo basi ulimwamini kwa 100% bila kutafiti!

Eti Shariff Attas awe mlinzi wa Mwalimu Nyerere katika kipindi cha 1952-1961 kisha atoswe na miezi/miaka michache Julius Nyerere akiwa rais wakuta na Nyerere huyohuyo amsahau Attas?

Hii kawachukue watoto wadogo wakule facebook kisha wasimulie watakupa like nyingi sana!

Mohamed Said wewe ni Muongo tena unaetishia usalama wa taifa hili!

Sijui dola inafikiria nini kukudhibiti mtu mchochezi kama wewe!

Tuwe wawazi, tunaposimulia historia ya nchi yetu tusiwapotoshe wale ambao hawakupata kuijua!

Watatulaumu kesho!

Zungumza kwa hoja. Usitishie maisha ya watu ukadhani dola ni yako peke yako. Wakati wa kutumia dola kuzima hoja za watu umepita. Hata nchi za magharibi zilishindwa kutetea vibaraka wao wakati wananchi walipoamua kwamba sasa basi. Fuatilia yaliyotokea Egypt utaelewa.
 

The Big Show,

Marehemu Sheikh Mohamed Ayub alikuwa akisema ilm na amana.

Basi kama ni amana mwenyewe akijaitaka huna budi kumkabidhi.
Haya niliyojaliwa kuyajua ni amana na hidaya kutoka kwa Allah.

Nina wajibu wa kufikisha kwa wenyewe wanapotaka kujua.

Hakika historia ya uhuru wa Tanganyika ni historia inayopendeza
sana ila kwa yule mwenye choyo na hasad katika nafsi yake.


Naaam...!
Swadakta kabisa Al akhiy...!
 
Haya wale wafia dini

Habari na Khamis Amani, Zanzibar -- BAADA ya mahakama ya mkoa Vuga kumwachilia huru mwalimu wa madrasat Qadiria iliyopo Amani wilaya ya Mjini Unguja, aliyekuwa akikabiliwa na kesi ya kumlawiti mwanafunzi wake wa kiume wa miaka 11, hatimaye mahakama kuu ya Zanzibar imemfunga jela miaka 15.

Uamuzi huo wa mahakama umekuja kufuatia rufaa iliyowasilishwa mahakamani hapo na Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP), kupinga hukumu iliyotolewa na mahakama ya Mkoa.

Mahakama hiyo, chini ya Jaji Abdulhakim Ameir Issa imelazimika kutoa adhabu hiyo baada ya kuridhika na sababu za rufaa zilizowasilishwa na DPP, ambazo zilidai kuwa Mahakama ya Mkoa wa Vuga imekosea kisheria katika utoaji wa hukumu. Hivyo, baada ya kusikiliza kwa kina hoja za pande mbili hizo juu ya rufaa hiyo pamoja na kuangalia vielelezo vya ushahidi vilivyotolewa katika mahakama ya mkoa wakati wa usikilizwaji wa kesi ya msingi, Jaji Abdulhakim alisema:



Mahakama inatengua uamuzi wa mahakama ya mkoa kwa sababu ilikosea kisheria katika utoaji wake wa hukumu, hivyo mahakama hii inaamuru kutumikia chuo cha mafunzo kwa muda wa miaka 15, haki ya rufaa ipo wazi kwa upande ambao haukuridhika na uamuzi huu

Pamoja na adhabu hiyo, Jaji Abdulhakim alimtaka Ustaadh huyo kulipa fidia ya shilingi 500,000 kwa mtoto huyo aliyemfanyia kitendo hicho.

Soma zaidi habari hii kwenye: ZanziNews blog


Haya kisa hicho kwa upande wa Shilingi!

Mwalimu wa madrasa kama amepatikana na hatiya anastahili kwenda jela. Ndivyo inavyotakiwa kuwa hivyo kwa sababu viongozi wa dini wengine huwa wanazidiwa na shetani. Sasa turudi kwenye upande wa pili. Kanisa Katoliki lina shutuma kubwa ya kulawiti wana kondoo wao na inasemekana ndio sababu iliyomfanya Papa aliyepita aamue kujiuzulu ili kukimbia dhahma hii. Je hili la kulawiti wana kondoo Kanisa Katoliki linazungumzaje? Tuje hapa kwetu. Mgombea Urais kupitia CHADEMA Slaa ambaye anapata support kubwa ya Kanisa Katoliki kwenye kinyang'anyiro chake tangu uchaguzi uliopita amemuiba mke wa mtu kwa nguvu na kumuacha mke wake wa ndoa. Je hili nalo limekaaje?

Kumbuka hapa tunazungumzia kati ya mwalimu wa madrasa na suala la Kanisa Katoliki kwenye ngazi kuu kabisa ya Papa na kwa Slaa tunazungumzia kwenye ngazi ya mgombea urais mtarajiwa wa Tanzania.
 
Back
Top Bottom