Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Sasa Mzee wangu Mohamed, hivi vyeo unavyotaja wazee wako wamewahi kuvishika vilitokana na nini kama sio KATIBA hizo? Au walikuwa wanagawana vyeo na madaraka haya kama njugu au vikombe vya kahawa? Na haya ya ku-copy na ku-paste toka kwenye katiba ya Nkrumah uliyaona wapi au na yenyewe ulisimuliwa na wazee wako?

Dosari nyingine kubwa ya simulizi zako hizi ni hii ya kutozihusisha KATIBA hizi. Mzee Ally Sykes bado yupo. Tuombee kwake. Atakuwa nazo document hizi muhimu. Inawezekana wewe kuna mambo yanakusuta mle.

WC,

Kila ulisomalo katika kitabu changu pamoja na hilo la katiba.
Kauli ya wazee wangu.

Narudia yote niliyoandika ni kauli toka kwa wazee wangu.

Hilo swali la katiba mimi halinishughulishi.

Ikiwa wewe unaona hilo ni jambo muhimu tafuta hizo katiba
na tuandikie utakayokuta humo ya manufaa.
 
Kilipokuja kitabu nakala ya Kiingereza mwaka 1998 kanifata mtu kuniuliza kama kweli
kitabu hiki nimeandika mimi.

Kisha akaniuliza kama niliandika kwa Kiswahili halafu kikafanyiwa tafasiri.

Hawa ndiyo wenzetu wanavyotuona.

Kila jambo zuri likiwa kwetu watahoji.

Je nina ID ya Library of Congress?
Nilifanya ''lecture'' au ''public talk Northwestern University?''

Kitabu kimeingia kwenye ''journal'' zenye hadhi duniani...
Hawakubali...

Sharti wachokonoe...

Vyeti katika jalada la kazi haamini anaona vimegushiwa...
Mzee Mohamed,
Ni lini utaitiwa angalau Udaktari wa Heshima kutoka vyuo hivi vinavyokuheshimu sana? Wanapewa watu wa hovyo kabisa hapa akina Mrema, Jakaya, Mengi, Mzindakaya, Nagu,...., halafu mtu muhimu kama wewe wanakuacha na maandishi yako wanayatumia na kukualika kila mara ukatoe mihadhara ya kisomi!
 
Mkuu yaani ile ya kutoa mihadhara vyuoni au una jingine? Na kuhusu tusi ni kawaida ukileta tusi unapewa tusi. ok tuendelee!!

Hivi hujui kwamba hata wale Bithers wanaosema Obama hakuzaliwa Marekani huwa wanaitwa kutoa mihadhara kwenye vyuo? Hata Julius Malema pia amewahi kuitwa kutoa mihadhara vyuoni unachokiwa kufahamu Kutoa muhadhara chuo kikuu si kutoa lecture, you are always entitled to ur facts and words. Haimaanishi usomi, ujuzi wala ujuvi.

An individual kutoka vyuo hivyo anaweza akakualika hata wewe Zomba kwenda kuzungumza chuoni audience ikiwa yeye mwenyewe na hata na mkewe.

Lakini pia kuna mihadhara unayoalikwa na chuo au department au faculty ikiwa ni sehemu ya kujifunza ziada kutoka kwa mtunzi, inventor, exceptional scholar on that particular subject etc. Hii mara nyingi huwa na kipindi cha maswali na majibu pia. Presentation yako huwa inatumwa well in advance kwa ajili ya kutoa nafasi ya watu kuipitia na kufanya utafiti kuhusu hoja zako. Hii ni mihadhara ya kisomi na fact chcking huwa ni very important.

Mihadhara hiyo hata ya zamani inawekwa mtandaoni for public consumption Sasa kwa simulizi za mwalimu wako I betcha si aina hii ya mihadhara aliyokuwa akifanya. Muulizie akupe link yeyote ya muhadhara aliotoa chuoni ulioko mtandaoni ukionyesha presentation yake na pia maswali na majibu yake.


Kwa kukumbusha tu mfano hoja ambayo ameshindwa kuiletea ushahidi usio na mashaka mpaka leo. Pg 6 katika kitabu chake "The Rise of Muslim Militancy in Tanzania 1970 - 2000"



Narudia tena ni mpaka pale watu watakapojifunza kuwa responsible for their actions kutapatikana suluhisho la hicho kinachodaiwa dhulma. Hii tabiwa ya kutafuta wachawi mtaendelea kuburudishana tu humu jamvini.

Mimi sialikwi nabembelezwa, kama ulikuwa hujui.

Unaongea pumba ambazo hazina tija kwenye huu mjadala. Wewe ni wakuwachwa tu kama ulivyo, huna la maana hata moja. Hivi una miaka mingapi weye? hivi wewe chuo gani umeshaalikwa? sidhani hata mtaani kwenu kukiwa kuna jambo kama unaalikwa kuongea seuse ya kuongea vyuoni.

Nakubaliana na Ritz alivyoku "describe".
 
Mzee Mohamed,
Ni lini utaitiwa angalau Udaktari wa Heshima kutoka vyuo hivi vinavyokuheshimu sana? Wanapewa watu wa hovyo kabisa hapa akina Mrema, Jakaya, Mengi, Mzindakaya, Nagu,...., halafu mtu muhimu kama wewe wanakuacha na maandishi yako wanayatumia na kukualika kila mara ukatoe mihadhara ya kisomi!

Kuna wa hovyo zaidi ya dikteta? nae kishapewa.
 
1. Mkuu sina tatizo kabisa na kitabu cha Mohamed Said kutumika kama reference, au kutolewa editions zaidi ya moja. Tatizo ni baadhi ya anazooziita facts ndani ya kitabu chake si kweli mfano

Pg 80 A

"After the removal of Prof. Malima from the ministry the ministry reverted back into marking examination using names of candidates instead of numbers. Muslim student admission to secondary school once again dwindled"

Hoja kama hizi ambazo si kweli na hajaweza kuzisubstantiate ni sehemu ya kitabu chake.

2. Asili ya tulichokuwa tukijadili katika kurasa hizi mbili ni pale MS aliposema kwamba kitabu chake kimefika mpaka library of congress which is true na si kimoja nimethibitisha hilo, unaweza bofya hapa for reference. Au hapa Library of Congress online Catalog, type jina kwenye search la Mohamed Said utaona vitabu vyake. Hilo sina tatizo, lakini hoja yangu ni kuwa kuwa na kitabu mle si evidence ya facts ndani ya kitabu chako au umahiri, ujuzi na ujuvi wa mwandishi. Hizi dilly dallying nyingine zimekuja baada.

Chako kimo? Hata Tanganyika library sijui kuna hata kijikaratasi chako mule wacha kitabu.

Uliingia kwenda kutafuta huko ulikoweka link ukatahayari.
 
1. Mkuu sina tatizo kabisa na kitabu cha Mohamed Said kutumika kama reference, au kutolewa editions zaidi ya moja. Tatizo ni baadhi ya anazooziita facts ndani ya kitabu chake si kweli mfano

Pg 80 A

"After the removal of Prof. Malima from the ministry the ministry reverted back into marking examination using names of candidates instead of numbers. Muslim student admission to secondary school once again dwindled"

Hoja kama hizi ambazo si kweli na hajaweza kuzisubstantiate ni sehemu ya kitabu chake.

2. Asili ya tulichokuwa tukijadili katika kurasa hizi mbili ni pale MS aliposema kwamba kitabu chake kimefika mpaka library of congress which is true na si kimoja nimethibitisha hilo, unaweza bofya hapa for reference. Au hapa Library of Congress online Catalog, type jina kwenye search la Mohamed Said utaona vitabu vyake. Hilo sina tatizo, lakini hoja yangu ni kuwa kuwa na kitabu mle si evidence ya facts ndani ya kitabu chako au umahiri, ujuzi na ujuvi wa mwandishi. Hizi dilly dallying nyingine zimekuja baada.

N,

Ahsante sana kwa hiyo catalogue ya Library of Congress.

Hakika kitabu changu sasa hakipo katika catalogue.

Wala sitakwambia kuwa kilikuwapo maana tusiingie katika
mvutano mwingine.

Sasa na mimi nakupa ''title'' uiangalie kama ipo.

''Feats and Riot'' (1995) cha Jonathon Glassman.
Huyu ni mwalimu wa historia Northwestern University Chicago.

Kitabu chake kilikuwapo na sasa nimekitafuta hakipo.

Tunaweza Insha Allah kuendelea kuvitafuta na vitabu vingine
ambavyo mimi ninavyo katika maktaba yangu.

Hilo la ''facts'' mimi nishasema sina ugomvi na mtu si lazima
mtu aniamini.

Mimi Alhmdulilah lengo langu lilikuwa kuonyesha mchango wa
wazee wangu katika historia ya uhuru wa Tanganyika na
kwa kwa kweli nimefanikiwa pakubwa kuliko mategemeo yangu.

Tumo hapa JF wiki ya pili mnasikiza darsa yangu.
Dogo hilo?
 
Sasa Mzee wangu Mohamed, hivi vyeo unavyotaja wazee wako wamewahi kuvishika vilitokana na nini kama sio KATIBA hizo? Au walikuwa wanagawana vyeo na madaraka haya kama njugu au vikombe vya kahawa? Na haya ya ku-copy na ku-paste toka kwenye katiba ya Nkrumah uliyaona wapi au na yenyewe ulisimuliwa na wazee wako?

Dosari nyingine kubwa ya simulizi zako hizi ni hii ya kutozihusisha KATIBA hizi. Mzee Ally Sykes bado yupo. Tuombee kwake. Atakuwa nazo document hizi muhimu. Inawezekana wewe kuna mambo yanakusuta mle.

Kwanini huzileti wewe ukamsuta kama kinachokuweka humu ni kusutana? wewe ndiye unaerusha tuhuma halafu unataka ushahidi aulete yeye? what a way of thinking.
 
Mzee Mohamed Said unaweza kutupatia historia fupi ya Mwl Cecil Motola
 
Last edited by a moderator:
N,

Ahsante sana kwa hiyo catalogue ya Library of Congress.

Hakika kitabu changu sasa hakipo katika catalogue.

Wala sitakwambia kuwa kilikuwapo maana tusiingie katika
mvutano mwingine.

Sasa na mimi nakupa ''title'' uiangalie kama ipo.

''Feats and Riot'' (1995) cha Jonathon Glassman.
Huyu ni mwalimu wa historia Northwestern University Chicago.

Kitabu chake kilikuwapo na sasa nimekitafuta hakipo.

Tunaweza Insha Allah kuendelea kuvitafuta na vitabu vingine
ambavyo mimi ninavyo katika maktaba yangu.

Hilo la ''facts'' mimi nishasema sina ugomvi na mtu si lazima
mtu aniamini.

Mimi Alhmdulilah lengo langu lilikuwa kuonyesha mchango wa
wazee wangu katika historia ya uhuru wa Tanganyika na
kwa kwa kweli nimefanikiwa pakubwa kuliko mategemeo yangu.

Tumo hapa JF wiki ya pili mnasikiza darsa yangu.
Dogo hilo?

Kipo kwa jina hilo hapo chini:

Feasts and riot : revelry, rebellion, and popular consciousness on the Swahili Coast, 1856-1888 / Jonathon Glassman.

Kuhusu suala zima la facts ni very simple facts are just facts, huwezi kuwa na facts zako, zangu na za atu tofauti katika kitu hicho hicho kimoja.

Mfano. Pg 126, kwenye kiabu chako kuhusu uchaguzi 1995.
"Nyerere as head of the powerful Christian lobby was campaigning for CCM candidate Mkapa. The Catholic Church supported Mkapa's campaign through Nyerere. In campaign tours up country Nyerere was hosted by the Catholic Church."
Utawezaje kuiita hiyo niliyo-highlight ni fact??????
 
Kuhusu Dr. Mwanjisi, ni kweli huyu alitofautiana na Mwalimu; Huyu Dr alisoma na Mwalimu Makerere na alikuwa mtu wake wa karibu kuliko watanganyika wote pale Makerere akifahamu kila jambo la Mwalimu kwani pia alikuwa ni mshauri mkuu wa Mwalimu kuhusu Tanganyika ya baadae; Baada ya Tanganyika huru, siasa kwake zikawa ngumu, na baadae akateuliwa kuwa Medical Officer wa Jimbo la mikoa ya huko kusini, lakini bado alizidi kupata misuko suko na baadae akaamua kuachana na kazi za serikali na kujifungulia hospital binafsi au kuajiriwa sekta binafsi maeneo ya dodoma/morogoro; huko nako akaja kupata msuko suko mwingine baada ya kumtoa mwanafuzi mimba kama sehemu ya shughuli zake za udaktari, taarifa zika leak, akakamatwa ba kufunguliwa mashitaka na kuhukumiwa kifungo; baadae aliweza kutoroka na kukimbilia Kenya ambapo kutokana na uwezo wake (elimu na uzoefu), Kenyatta akampa cheo cha provincial medical officer - Coastal Province; alikuja kufa huko huko baadae;

M,

Sheikh Hassan bin Amir alifukuzwa nchi kwa shutuma za kutaka kupindua
serikali.

Halikadhalika wengi tu waliwekwa ndani kwa tuhuma hizo.

Kwa Dk. Mwanjisi lipi lilitangulia la ''kutoa mimba'' au ugomvi na Nyerere?
Kafungwa katoroka jela kakimbilia Kenya na asirudishwe Tanzania...

Kassanga Tumbo alikimbilia Mombasa na alirejeshwa.
Lakini haya yeshapita.
 
WC,

Kila ulisomalo katika kitabu changu pamoja na hilo la katiba.
Kauli ya wazee wangu.

Narudia yote niliyoandika ni kauli toka kwa wazee wangu.

Hilo swali la katiba mimi halinishughulishi.

Ikiwa wewe unaona hilo ni jambo muhimu tafuta hizo katiba
na tuandikie utakayokuta humo ya manufaa.
NCHI inaweza isiwe na katiba iliyoandikwa lakini sio CHAMA chochote kile hata hivi vya hiari lazima viwenayo. Na hakuna lisilo na manufaa ndani ya katiba. Hivi mtaongozana vipi? Mtachaguana vipi? Mtafanyaje vikao bila KATIBA?
Chimbuko na asili ya HISTORIA ya chama chochote kile ni KATIBA yake. Watu mkishakutana kwa madhumuni ya kuunda CHAMA ni lazima muanze na KATIBA. Usajili wenu ni lazima katiba iwepo. Uhalali wenu kukutana na kudai kitu chochote kile utatokana na katiba.
Anajitokeza mtu hapa anadai kuandika HISTORIA iliyosahaulika haigusi KATIBA. Anaandika UISLAM ambao haumo kwenye KATIBA! Aibu.
 
Kipo kwa jina hilo hapo chini:

Feasts and riot : revelry, rebellion, and popular consciousness on the Swahili Coast, 1856-1888 / Jonathon Glassman.

Kuhusu suala zima la facts ni very simple facts are just facts, huwezi kuwa na facts zako, zangu na za atu tofauti katika kitu hicho hicho kimoja.

Mfano. Pg 126, kwenye kiabu chako kuhusu uchaguzi 1995.

Utawezaje kuiita hiyo niliyo-highlight ni fact??????

Ahsante kitabu nimekiona.

Kuwa Nyerere alikuwa mgeni wa Kanisa Katoliki mbona hilo dogo sana?
Hukuona mengine aliposema damu itamwagika?

Hii naomba uweke uzi mpya tujadili.
 
Kuna wa hovyo zaidi ya dikteta? nae kishapewa.
Yule alieachia madaraka kwa hiari yake? Huyo kapata nyingi tu sio moja. Kwa nini mzee wetu huyu anatutajia tu vyuo hivi halafu vyenyewe havionyeshi kumtambua?
 
M,

Sheikh Hassan bin Amir alifukuzwa nchi kwa shutuma za kutaka kupindua
serikali.

Halikadhalika wengi tu waliwekwa ndani kwa tuhuma hizo.

Kwa Dk. Mwanjisi lipi lilitangulia la ''kutoa mimba'' au ugomvi na Nyerere?
Kafungwa katoroka jela kakimbilia Kenya na asirudishwe Tanzania...

Kassanga Tumbo alikimbilia Mombasa na alirejeshwa.
Lakini haya yeshapita.
Sema ugomvi na RAIS. Ugomvi na Mwalimu usingemfikisha hapo. Huyo Sheikh wako alirudishwa kwao. Hata akina Sykes wangejiingiza kwenye UDINI wangerudishwa kwao vilevile. Mwalimu hakuwa na mchezo na watu waliokuwa wakichezea KATIBA na SHERIA za NCHI. Hakujali DINI yako wala KABILA yako. Wala nafasi yako, hadhi yako katika jamii haikumsumbua Mwalimu.
 
Yule alieachia madaraka kwa hiari yake? Huyo kapata nyingi tu sio moja. Kwa nini mzee wetu huyu anatutajia tu vyuo hivi halafu vyenyewe havionyeshi kumtambua?

Kwa hiyari yake, kweli kabisa. Katuwacha kwenye tukiwa katika neema kubwa sana, barabara safi, chakula kingi, mafuta ya kumwaga, shule kibao, hospitali za kimataifa, elimu tuko juu katika afrika mashariki, uchumi tulikuwa tun reserve ya miaka 6 bot, katuwachia na BOT mpya nzuri, wizara ya mambo ya ndani mpya inang'aa.

Baada ya kututimizia hayo yote ndiyo akaamuwa kustaafu kwa hiyari yake.
 
MM,

Maswali yako kwa kweli sijui nisemeje...

Hebu soma hapa chini ujionee mwenyewe.

Inatoka katika kitabu changu:

''Baada ya kifo cha Mbuwane, Ally, kaka yake mkubwa Kleist alirudishwa Msumbiji
mwaka 1902 akifuatana na baba yake mdogo, Kattini Mbuwane ambae alikuwa kipofu.''

Huyu Ally alikuja pamoja na Weissman kutoka Msumbiji ni mtoto wa Sykes Mbuwane.
Hilo jina la ''Ally'' kapewa na baba yake toka wako kwao.

Jina la Ally ni jina la dini gani?

Kumbe hawa waislam akina Ally (wakiwa mamluki) walikuwa wanamsaidia Mjerumani kwenye ukoloni wao wa kumkandamiza mtu mweusi? Je unasemaje kuhusu madai yako ya kuwa miaka hiyo, wakristo walikuwa wana-side na wakoloni, ila waislam walikuwa wanapinga ukoloni? Hapa umeonesha kuwa wazazi wa Sykes kumbe tayari walikuwa waislam wakati wakiwa mamluki... Of course, najua hii ume-reveal accidentally, you never intended to.
 
Kwa hiyari yake, kweli kabisa. Katuwacha kwenye tukiwa katika neema kubwa sana, barabara safi, chakula kingi, mafuta ya kumwaga, shule kibao, hospitali za kimataifa, elimu tuko juu katika afrika mashariki, uchumi tulikuwa tun reserve ya miaka 6 bot, katuwachia na BOT mpya nzuri, wizara ya mambo ya ndani mpya inang'aa.

Baada ya kututimizia hayo yote ndiyo akaamuwa kustaafu kwa hiyari yake.
Kaacha madini yote ardhini, kaacha gas, kaacha wanyama wote mbugani, kaacha nchi imeenea misitu ya asili kila mahali, kaacha viwanda vingi vya umma, kaacha mabenki yote ya umma, kaacha kila kitu mikononi mwetu. Tukaanza kuvitafuna na kuvigombea kama mpira wa kona. Alijenga vyuo vikuu vya umma viwili, akajenga na vyuo vingine kama IDM, IFM, CBE, vyuo mifugo, waganga wasaidizi, walimu,....

Tutaanza kutafunana wenyewe hivi karibuni tu. Vuta subira.
 
Na kwa kukumbushia tu, ametuahidi atatuletea ushahidi mwingine kutoka kwa Chifu Mkwawa na akaahidi atatuletea historia ya Abushiri. Mpaka leo ana madeni kibao ya ahadi.

Naomba ajitokeze mtu ampe darsa la alama za unafik.

cc Yericko Nyerere

Alama za mnafiq tatu!

Moja wapo ni ile "akiweka ahadi hatimizi"

Prove us otherwise
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom