Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

WC,

Watoto wa Kiislam na Waislam.

Mara ya mwisho kuangalia matokeo ya Mitihani ilikuwa lini? Sijui unaposema watoto wenu hawafaurishwi una ushahidi gani

Mwaka 2011 matokeo ya kidato cha nne kwa baaadhi ya shule zenye watoto wengi wa Kiislamu na wa Kikristu

St. Mary Mbeya

[h=3]DIV-I = 0 DIV-II = 0 DIV-III = 0 DIV-IV = 317 FLD = 277(watoto wa Kikristu na Kiislamu wamefeli vibaya)[/h]
[h=3]P3621 POPE JOHN PAUL II CENTRE

[/h]
[h=3]DIV-I = 0 DIV-II = 0 DIV-III = 0 DIV-IV = 13 FLD = 30 [/h]

[h=3]S0298 FEZA GIRLS' SECONDARY SCHOOL

[/h][h=3]DIV-I = 23 DIV-II = 7 DIV-III = 5 DIV-IV = 1 FLD = 0(chungulia uone majina ya mabinti wa Kiislamu wakifaulu na kupitishwa na NECTA kama ugomvi...)[/h]

[h=3]TAQWA SECONDARY SCHOOL

[/h]
[h=3][/h][h=3]DIV-I = 8 DIV-II = 24 DIV-III = 58 DIV-IV = 167 FLD = 4 [/h]
Naomba nikutajie wale wenye division 1 kutoka hii shule; ni muhimu kwangu kwani mdogo wangu (mkristu) alisoma hapa na hakufaulu (sijui ni kwa sababu ya dini yake???)

Evelyn Turab
Neema Danny
Revina Respiqus
Cathbert Shija
Deusdedit Daud
Festo Mathias
Leonard Sheka Justin
Mustapher Amani


Sasa hapo unaweza ukabaki na maswali mengine mengi tu...

Sasa hawa watoto wa Kiislamu wenye kufaulu katika shule mbalimbali hata zile za Wakristu; wanapita vipi kwenye NECTA hiyo hiyo? Je ni wakati gani baraza la mitihani litapata baraka ya kuweza kufelisha watoto wa Kiislamu na Wakristu bila kuonekana inaangalia dini? Je wanaruusiwa kuangalia matokeo tu?




 
Ameua kuzidi hawa Wakatoliki safi Adolf Hitler, Pol Pot, au Tito.
Hawa walikuwa watawala wa nchi zao. waliua raia wao, wa dini zao. Halafu Josip Bros Tito unamwonea. Osama alikuwa anaua "In the Name of God"!
 
Hawa walikuwa watawala wa nchi zao. waliua raia wao, wa dini zao. Halafu Josip Bros Tito unamwonea. Osama alikuwa anaua "In the Name of God"!

......

Ha haa ha! Kwa hiyo wakiuwa raia wao hakuna tatizo kwenye Ukirsto.

Na Leopold II Mkatoliki safi aliwauwa wa Congo zaidi ya milioni 8 walikuwa raia wake.
 
Mbona hauko karibu na Mufti, Sheikh Shabaan bin Simba, au Alhad Musa Salum, Sheikh wa mkoa wako wa Dar Es Salaam!

........

Hao ndiyo wanafiki na mawakala wa mfumo kirsto.
 
1.Hili ndilo tunalolifanya hapa kutetea hadhi ya wanaukombozi wetu wa kiislamu na kufichua waliotaka kuwadhulumu.
2.Kumbe hii kwenu mnaona kama ni kuzima maasi ya waislamu mliotaka wakae kimya kikondoo huku mkiwakandamiza hata historoa yao!.Ikiwa ni hivyo basi hiyo safari wala haitofikia mwisho.
3.Hili jukwaa wala si sehemu muwafaka kujua historia ya Tanzania.Nani atakayetoa historia hiyo kwa usahihi.Akina Mwnanakijiji na Yerico wenyewe hawajielewi sembuse kutoa historia ya Tanzania.
Historia itakayokuwa ya maana ni ile ya Mohammed Saidi iliyofanyiwa utafiti na kuchapishwa kama kitabu.
4.Moyo huo kama unao basi ungeanza kwa baba yako halisi kwanza kwa kumhoji mambo ya msingi yanayolalamikiwa kwake na waislamu.
Mkuu kila anaeandika kitabu huwa amefanya utafiti?
 
Mara ya mwisho kuangalia matokeo ya Mitihani ilikuwa lini? Sijui unaposema watoto wenu hawafaurishwi una ushahidi gani

Mwaka 2011 matokeo ya kidato cha nne kwa baaadhi ya shule zenye watoto wengi wa Kiislamu na wa Kikristu

St. Mary Mbeya

DIV-I = 0 DIV-II = 0 DIV-III = 0 DIV-IV = 317 FLD = 277(watoto wa Kikristu na Kiislamu wamefeli vibaya)


P3621 POPE JOHN PAUL II CENTRE



DIV-I = 0 DIV-II = 0 DIV-III = 0 DIV-IV = 13 FLD = 30



S0298 FEZA GIRLS' SECONDARY SCHOOL



DIV-I = 23 DIV-II = 7 DIV-III = 5 DIV-IV = 1 FLD = 0(chungulia uone majina ya mabinti wa Kiislamu wakifaulu na kupitishwa na NECTA kama ugomvi...)



TAQWA SECONDARY SCHOOL



DIV-I = 8 DIV-II = 24 DIV-III = 58 DIV-IV = 167 FLD = 4


Naomba nikutajie wale wenye division 1 kutoka hii shule; ni muhimu kwangu kwani mdogo wangu (mkristu) alisoma hapa na hakufaulu (sijui ni kwa sababu ya dini yake???)

Evelyn Turab
Neema Danny
Revina Respiqus
Cathbert Shija
Deusdedit Daud
Festo Mathias
Leonard Sheka Justin
Mustapher Amani


Sasa hapo unaweza ukabaki na maswali mengine mengi tu...

Sasa hawa watoto wa Kiislamu wenye kufaulu katika shule mbalimbali hata zile za Wakristu; wanapita vipi kwenye NECTA hiyo hiyo? Je ni wakati gani baraza la mitihani litapata baraka ya kuweza kufelisha watoto wa Kiislamu na Wakristu bila kuonekana inaangalia dini? Je wanaruusiwa kuangalia matokeo tu?





MM,

Sina ugomvi na hayo uloweka hapo juu.
Yapo mengi na serikali iko kimya.
 
WildCard,
Vipi Benito Mussolini, alikuwa anapenda kuvaa msalaba alikuwa Mkatoliki sana?
 
Last edited by a moderator:
Nguruvi.. unadhani hata hayajulikani yaliyojiri mle? Mbona yanajulikana sana. Mzee mmoja ambaye sasa ni marehemu aliwahi kunisimulia (yeye alikuwa anatoka Tanga) kuwa baada ya Waikela kujaribu kutoa hotuba yake hiyo, Nyerere alisimama na kumuuliza swali moja tu: Sisi sote tumepigania uhuru kama Watanganyika tukisisita usawa wa utu wa kila mtu bila kujali kabila na dini kwanini leo unataka kuleta mambo ya dini? Inasemekana Waikela aliinamisha kichwa chini na hakuna mtu yeyote aliyesimama kumuunga mkono kama alivyotarajia.

Ni baada ya kutoka hapo ndio tetesi zikaanza kusema ati Waikela kambwatukia Nyerere na hivyo watu wakamchukulia kama shujaa. Inasemekana Nyerere aliviagiza vyombo vya usalama vimuache Waikela aende anakokwenda na kupokelewa anavyopokelewa miongoni mwa makundi ya Waislamu. Kundi kubwa la Waislamu waliokuwa wanajua ile fitna ambayo Waikela alitaka kuileta walimuacha apotee katika historia.

Kwi kwi kwi teh teh teh, kumbe ilikuwa si "one man show"!
 
Mara ya mwisho kuangalia matokeo ya Mitihani ilikuwa lini? Sijui unaposema watoto wenu hawafaurishwi una ushahidi gani

Mwaka 2011 matokeo ya kidato cha nne kwa baaadhi ya shule zenye watoto wengi wa Kiislamu na wa Kikristu

St. Mary Mbeya

DIV-I = 0 DIV-II = 0 DIV-III = 0 DIV-IV = 317 FLD = 277(watoto wa Kikristu na Kiislamu wamefeli vibaya)


P3621 POPE JOHN PAUL II CENTRE



DIV-I = 0 DIV-II = 0 DIV-III = 0 DIV-IV = 13 FLD = 30



S0298 FEZA GIRLS' SECONDARY SCHOOL



DIV-I = 23 DIV-II = 7 DIV-III = 5 DIV-IV = 1 FLD = 0(chungulia uone majina ya mabinti wa Kiislamu wakifaulu na kupitishwa na NECTA kama ugomvi...)



TAQWA SECONDARY SCHOOL



DIV-I = 8 DIV-II = 24 DIV-III = 58 DIV-IV = 167 FLD = 4


Naomba nikutajie wale wenye division 1 kutoka hii shule; ni muhimu kwangu kwani mdogo wangu (mkristu) alisoma hapa na hakufaulu (sijui ni kwa sababu ya dini yake???)

Evelyn Turab
Neema Danny
Revina Respiqus
Cathbert Shija
Deusdedit Daud
Festo Mathias
Leonard Sheka Justin
Mustapher Amani


Sasa hapo unaweza ukabaki na maswali mengine mengi tu...

Sasa hawa watoto wa Kiislamu wenye kufaulu katika shule mbalimbali hata zile za Wakristu; wanapita vipi kwenye NECTA hiyo hiyo? Je ni wakati gani baraza la mitihani litapata baraka ya kuweza kufelisha watoto wa Kiislamu na Wakristu bila kuonekana inaangalia dini? Je wanaruusiwa kuangalia matokeo tu?







So,kwa takwimu hizo ndizo zatosha kwako kuzifanyia justification na conclusion ili kuuaminisha ummah?

yapo mengi sana yaliyofichwa..
 
Ritz,
Mke wangu wa pili ni Muislam. Sina chuki na Uislam hata kidogo. Mwenye chuki na Uislam ni mzee Mohamed ambaye ameutumia vibaya kwenye kitabu chake na mahubiri ya ajabu anayoendelea nayo sasa misikitini. Uliona virungu na mikong'oto ya jana?

Mke wangu ananieleza vizuri juu ya utii wa Muislam kwa Allah, wazazi na mamlaka za nchi. Muislam safi kabisa hawezi kuilazimisha serikali impe dhamana Sheikh Ponda kwa njia kama ile ya jana. Kuna haja ya kuwaangalia upya watu kama Mzee Mohamed. Serikali isibaki kukimbizana mabarabarani na hawa vijana wadogo ambao hata hawajui walifanyalo.


Mwanamke wa kiislam hawez kuolewa na mwanaume ambaye si muislam..
Ila mwanaume wa kiislam kwa hekima anaweza kumuoa mwanamke ambae si muislam kwa sharti ya kwamba huyo mwanamke awe anamuamini mungu mmoja tuh,nae ni yule muumba wa mbingu na ardhi.,i.e huyo mwanamke awe ni mfuasi wa ibrahimic religions which belives in monotheithsm of god,
we huna wa kumwongopea hapa,wewe kama si muislam na huyo mkeo bila shaka hafit kwenye principles za uislam,lazima utakua ushamtoa kwenye mstari ulionyooka..
 
Yalete hapa hayo mengine yakudhihirisha hujuma za NECTA kwa watoto wa kiislamu

Anza kwanza wewe kututhibitishia uhalali wa kumwita nyerere baba yako mzazi ili hali wana familia kama kina Adrew nyerere wanakukana waz waz,twende ngazi kwa ngazi,
haya anza basi kuutoa huo uthibitisho kwa manufaa ya jukwaa hili na mada hii..
 
Back
Top Bottom