Uchumi wa Kati: Waziri wa Viwanda, Kitila Mkumbo azindua tela la kubeba mizigo

Uchumi wa Kati: Waziri wa Viwanda, Kitila Mkumbo azindua tela la kubeba mizigo

Nimekuja haraka nikijua ni trela la kuvutwa na treni kumbe ni yale kijijin wanasombea matofari na mahidi wakati wa mavuno
Kumbe kuwatengenezea nyenzo za kuwarahishia kazi wakulima wadogo ni kitu kibaya eeh? Lingekuwa limeagizwa ubeeruni naona ndo mneshangilia sana!
Mawazo mgando ni janga la kitaifa 😢
 
Tuangazie hapo Ghana.
Screenshot_20210709-040445.jpg
20210709_041020.jpg
20210709_041045.jpg
20210709_041106.jpg
 
Back
Top Bottom