Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Haya.ni taarifa tu mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya.ni taarifa tu mkuu
Ndio maana Kabudi aliita "jalala"PH.d ya UDSM hio.
Kumbe kuwatengenezea nyenzo za kuwarahishia kazi wakulima wadogo ni kitu kibaya eeh? Lingekuwa limeagizwa ubeeruni naona ndo mneshangilia sana!Nimekuja haraka nikijua ni trela la kuvutwa na treni kumbe ni yale kijijin wanasombea matofari na mahidi wakati wa mavuno
2+2-4=? 🤷Tunarudi nyuma hatua Mia tano, mbele twaenda hatua moja
unaijua VIEITE wewe ?Hivi hawa jamaa watatuchezea hivi hadi lini wakuu???
Ni kitu gan hichi???
Sijui kwa kweliunaijua VIEITE wewe ?
😆😆😆Sijui kwa kweli
Utopolo
Uzi wako umeuleta kinafkinafki,, sema twende tuishi..Mh Kitila Mkumbo amezindua tela bora lenye uwezo wa kubeba mizigo ya hadi tani 5 lilotengenezwa Nchini Tanzania .
Ubora wa tela hilo umethibishwa na Shirika la viwango nchini Tanzania TBS
View attachment 1846239
Hujanielewa tu , nilimaanisha kwamba maendeleo hayana chamaUzi wako umeuleta kinafkinafki,, sema twende tuishi..
Chadema mmezindua nini?Mataifa wanazindua roketi za kwenda anga za mbali
Sisi ndio kwanza wazir anazindua tela la ng'ombe
Taratibu tu tutafika vizuri sana
Nimekuelewa,,, ndio mana nikasema uzi wako umekaa kinafki,Hujanielewa tu , nilimaanisha kwamba maendeleo hayana chama
😆😆😆Chadema mmezindua nini?
USSR
Neno ng'ombe limetumika vizuri sana hapo.Mataifa wanazindua roketi za kwenda anga za mbali
Sisi ndio kwanza wazir anazindua tela la ng'ombe