Uchumi wa Kati: Waziri wa Viwanda, Kitila Mkumbo azindua tela la kubeba mizigo

Uchumi wa Kati: Waziri wa Viwanda, Kitila Mkumbo azindua tela la kubeba mizigo

'
Screenshot_20210709-042227.jpg
 
Ndio mjue Sasa Chadema hawana vision yeyote ya kuendesha nchi yetu.

Badala ya kupigania innovation wanachopigania nia mikutano ya kisiasa.
 
Hivi zile chopa zilitangazwa kuundwa nchini tena kwa fujo na mbwembwe mwanzoni mwa awamu ya 5 ziliishia wapi
 
Kumbe kuwatengenezea nyenzo za kuwarahishia kazi wakulima wadogo ni kitu kibaya eeh? Lingekuwa limeagizwa ubeeruni naona ndo mneshangilia sana!
Mawazo mgando ni janga la kitaifa 😢
Sijasema nikitu kibaya bali nimeshangaa kuona linazinduliwa na waziri kama vile ni lakwanza kutengenzwa nchini.
 
Mh Kitila Mkumbo amezindua tela bora lenye uwezo wa kubeba mizigo ya hadi tani 5 lilotengenezwa Nchini Tanzania ...
Mbona matrela ya semi's yanatengenezwa hapa hapa Tanzania? Arusha DSM hata ubunifu wa extended Tourists cars hawajaona kutuletea cheap politics kwa kiwango hichi. Tunaonekana mazuzu sana
 
Apo sido kitambo tu wanatengeneza Watu wanatengeneza Mpaka basi LA abiria wanakosa tu engine huyu wazir amepitiwa eti professor Ndomana msukuma anawasema Sana wasomi wetu
 
Waziri wa Viwanda na Biashara Prof. Kitila Mkumbo amezindua Tela la kubeba mizigo lililotengenezwa Tanzania na Kiwanda cha Kuzalisha vipuri na mashine (KMTC) kwa ushirikiano na Taasisi za NDC, CAMARTEC na TEMDO, lenye uwezo wa kubeba uzito wa tani tano za mizigo.

“Tela hili ni la kipekee, lina
uwezo wa kubeba tani tano za mizigo na lina ubora na ufanisi uliothibitishwa na Shirika la Viwango (TBS)” ———-Mkumbo

#MillardAyoUPDATES

My Take
Nimeshindwa kusema zaidi ya kuwashirikisha ndugu zangu ili msiseme sijawaambia.
 
Hilo tela ni kiwakilishi chetu kama nchi kuwa siku zote tutakuwa watu wa kuburuzwa tu. Asili ya tela ni kuvutwa na chombo kingine.
Na sisi kama Watanzania tuna kazi ya kuburuzwa tu, mafuta yanapanda bei pombe zinashuka. Leo tunaambiwa hakuna CORONA kesho tunaambiwa tuvae barokoa.

Kitila ana kila sababu ya kujivunia kiwakilishi chetu cha kitaifa na nahisi hilo tela lingewekwa kama mbadala wa ngao ya bibi na bwana.
 
... hata mafundi welding uswazi wanachomelea hiyo kitu sana tu. Universities zetu nyingine zina faculty sorry colleges of engineering kongwe kabisa wanashindwa japo ku-reverse engineer ka-engine ka boxer au king-lion tukatoka na version ya Tanzania? Kweli?
 
Back
Top Bottom