haiwekani wewe usome DS halafu ukapewa wizara nyeti kama ya viwanda na biashara(development studies?)watz hatuko serious kabisa ndo maana kila mahala tunapigwa.Mh Kitila Mkumbo amezindua tela bora lenye uwezo wa kubeba mizigo ya hadi tani 5 lilotengenezwa Nchini Tanzania .
Ubora wa tela hilo umethibishwa na Shirika la viwango nchini Tanzania TBS
View attachment 1846239
wakati wenzetu wanalaunch sateliti ss tunalaunch matela ambayo hata asiyejua abc anaweza kulitengeneza.shameful.
TBS wanafanya kazi kubwa sana katika nchi hii sema tu hawana mtetezi, wanawezesha madili makubwa lakini wanaishi kimasikini kama wapiga debeMh Kitila Mkumbo amezindua tela bora lenye uwezo wa kubeba mizigo ya hadi tani 5 lilotengenezwa Nchini Tanzania .
Ubora wa tela hilo umethibishwa na Shirika la viwango nchini Tanzania TBS
View attachment 1846239
usidanganye TBS wanakula shavu sana ktk wizara hiyo taasisi ambayo haina mtetezi ni SIDO.ukiwaona watumishi wake wanaishi kwa mikopo yenye riba kubwa kabisa za mabenki ya NMB na CRDBTBS wanafanya kazi kubwa sana katika nchi hii sema tu hawana mtetezi, wanawezesha madili makubwa lakini wanaishi kimasikini kama wapiga debe
Wangezindua hata UNGO tu aiseee, hii ni aibu sana sana
sijui nilipata nafasi ya kuongea nao, hali yao ni mbaya kutokana na majukumu mazito walionao na makusanyo yao kwa hazina pia. ni rahisi sana watu kama hawa kutowajibika vizuri, kulihujumu taifa au hata kula rushwa ili kukidhi mahitajiusidanganye TBS wanakula shavu sana ktk wizara hiyo taasisi ambayo haina mtetezi ni SIDO.ukiwaona watumishi wake wanaishi kwa mikopo yenye riba kubwa kabisa za mabenki ya NMB na CRDB
Hapa ndipo uone kuwa kuna tofauti..Mataifa wanazindua roketi za kwenda anga za mbali
Sisi ndio kwanza wazir anazindua tela la ng'ombe
Masikini π€£π€£π€£Taratibu tu tutafika vizuri sana
Vipaji havitakiw inji hii mkuuWale ambao huwa wanatengeneza magobore kwanini huwa wanakamatwa badala yakuwaweka pamoja kwenye viwanda vya ujuzi
Jamani, unajikuna pale mkono wako unapofikiaπ
Jamani sasa mkomkoteni tu huu hakana hata engine waziri mkubwa anaenda na makamera yote pale,ccm ni janga kwa taifaMh Kitila Mkumbo amezindua tela bora lenye uwezo wa kubeba mizigo ya hadi tani 5 lilotengenezwa Nchini Tanzania .
Ubora wa tela hilo umethibishwa na Shirika la viwango nchini Tanzania TBS
View attachment 1846239
View attachment 1846586View attachment 1846589
==========
Nimesoma hii Habari ;
"Waziri wa Viwanda na Biashara Prof. Kitila Mkumbo amezindua Tela la kubeba mizigo lililotengenezwa Tanzania na Kiwanda cha Kuzalisha vipuri na mashine (KMTC) kwa ushirikiano na Taasisi za NDC, CAMARTEC na TEMDO,lenye uwezo wa kubeba uzito wa tani 5 za mizigo."
Nilibaki najiuliza hivi bado sekta ya viwanda na biashara ipo serious?. Yaani waziri mzima anatengeneza headline ya kuzindua hilo Tela!. Bado tuko kulekule kwenye concept ya Tanzania ya Viwanda.
Hapo sasa anazindua nini?, ni kama innovation au invention imefanyika mpaka anakuja Waziri wa Viwana wa Tanzania nzima kuja kuzindua hiyo kitu.
Hata wenzetu walioendelea si ni aibu kwetu wakiona hizi habari. Hii ni atleast angekuja tu afisa biashara wa manispaa kuzindua (au ndo kuipiga promo bidhaa).
Nashauri dhana ya Viwanda na ubunifu ungekuja na creativity za ukweli ndipo waziri ama kiongozi mkubwa kabisa katika sekta kuja kumake headlines kama hizi.
Nyie wapinzani hamna jema kabisaJamani sasa mkomkoteni tu huu hakana hata engine waziri mkubwa anaenda na makamera yote pale,ccm ni janga kwa taifa