Kachengcheng
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 1,551
- 979
Mapesa yote Yale yameenda wapi?,maana hata bili ya maji tulikuwa tunapewa control no na hela inanyookea hazina.Mama Rais, Suluhu Samia kasema wazi pesa hakuna tuchape kazi tuinuane uchumi wetu.
MATAGA bana!🤣 Kwa hiyo uchumi ukitetereka mwananchi haumii?
Cheki wwe Sasa ATI Bora kuliko Kenya Nini labda kuangaka sakafuniKushuka kwa uchumi Tanzania kutoka asilimia 6.9% hadi asilimia 4.7% ni bora kuliko Kenya, Uganda, Rwanda nk ambazo ziko chini ya asilimia 3.
Sijui umeandika ukiwa na lengo gani takataka kama hizi? Kwa hiyo unamaanisha Mh Rais Samia alichokisema ndio unakiamini kuliko alivyokuwa akisema hayati kwa sababu kama hizi?
Ndio maana mnaitwa nyumbu mnatumbukia popote hata ukiwaunaona kuna hatari ya kuliwa na mamba
Kifupi unachokitaka nchi iwekwe 'lockdown' ili uchumi upande ndio mantiki ya ya bango lako hapa lakini pia ni kuonesha chuki binafsi dhidi ya utwala wa hayati JPM kwa sababu za kisiasa maslahi binafsi.
Na aibu ikupate mwana usio na haya hiyo 6.9 ni Mbowe ndio alifikisha hapo!!!??Hayo yamefichuka leo baada ya hotuba ya Mh Rais Samia Suluhu alipokuwa anawahutubia Wafanyakazi wa Tanzania kwenye kilele cha siku ya wafanyakazi Duniani
Ameitaja Corona kama sababu kubwa ya kuanguka kwa uchumi wa Nchi yetu , ambapo amewaomba wafanyakazi kuvumilia hadi mwakani ili kuongezwa mshahara baada ya Uchumi wa nchi kuporomoka kutoka 6.9% hadi 4.7%
Ikumbukwe kwamba kwa miaka mingi viongozi wa Tanzania wakiwemo Rais wa zamani pamoja na Mawaziri kadhaa mmojawapo akiwa Mwigulu Nchemba hawakuamini uwepo wa corona wala athari zake .
Na aibu ikupate mwana usio na haya hiyo 6.9 ni Mbowe ndio alifikisha hapo!!!??Hayo yamefichuka leo baada ya hotuba ya Mh Rais Samia Suluhu alipokuwa anawahutubia Wafanyakazi wa Tanzania kwenye kilele cha siku ya wafanyakazi Duniani
Ameitaja Corona kama sababu kubwa ya kuanguka kwa uchumi wa Nchi yetu , ambapo amewaomba wafanyakazi kuvumilia hadi mwakani ili kuongezwa mshahara baada ya Uchumi wa nchi kuporomoka kutoka 6.9% hadi 4.7%
Ikumbukwe kwamba kwa miaka mingi viongozi wa Tanzania wakiwemo Rais wa zamani pamoja na Mawaziri kadhaa mmojawapo akiwa Mwigulu Nchemba hawakuamini uwepo wa corona wala athari zake .
Hilo genge litamkwamisha pakubwa mama.MWIGULU na genge lake wajiuzulu kwa kudanganya waTanzania kwa muda mrefu.
Eti hakuna Corona wala hakuna adhari za koona.
WTF
Mzee wa kupika takwimuNdo kusema uchumi ndogo wa kati, umeondoka na Mzee wa "hapa kazi tu"?
Korosho pia imeanguka kwa asilimia kubwa. KUKURUPUKA kwa mwendazake wakati ule wa msimu wa ununuzi wa mavuno.
Ivi tuliwezaje kuingia uchumi Wa kati , huku uchumi ukiwa umeshuka ?
Kumbe kila Siku tulikua tunaimbiwa mapambio uchumi unakua kumbe tulikua tunapigwa changa
Acha kujitoa ufaham, huu uchumi wetu kipindi cha jiwe tulikua tunapigwa changa la macho , hata leo kama angekuwepo lažima angesema uchumi unakua , huu uchumi Wa kati hauna uhalisia wowote na maisha Ya watu , Sasa kuna maana Gani Ya kujiita tajili wakati huna pesasasa uchumi ukishuka ndo mnashuka pia kwenye level ya uchumi wa kati? kwahio marekani pia naona wapo uchumi wa chini saaahv au sio? kwann msiache tabia ya kuiba kinywaji cha mbowe maaana mnakua mzigo sasa kwenye hii nchi
Lockdown ya mbowe sijui ingetuporomosha mpaka wapi?Hayo yamefichuka leo baada ya hotuba ya Mh Rais Samia Suluhu alipokuwa anawahutubia Wafanyakazi wa Tanzania kwenye kilele cha siku ya wafanyakazi Duniani
Ameitaja Corona kama sababu kubwa ya kuanguka kwa uchumi wa Nchi yetu , ambapo amewaomba wafanyakazi kuvumilia hadi mwakani ili kuongezwa mshahara baada ya Uchumi wa nchi kuporomoka kutoka 6.9% hadi 4.7%
Ikumbukwe kwamba kwa miaka mingi viongozi wa Tanzania wakiwemo Rais wa zamani pamoja na Mawaziri kadhaa mmojawapo akiwa Mwigulu Nchemba hawakuamini uwepo wa corona wala athari zake .
Mzee wa kukopi na kupaste mpaka umefikia hatua ya kujikopi na kujipaste mwenyewe!Cashew production hits 4-year low, sales drop to Sh475bn
Cashewnut farmers earned low in the ending season as both production and prices slowed during the period.www.thecitizen.co.tz
Kuna watu wanaamini Uchumi unahusu miti na wanyama...MATAGA bana!🤣 Kwa hiyo uchumi ukitetereka mwananchi haumii?