Uchumi wetu unaweza kuanza kuanguka mwishoni mwa 2023: Rais Samia anahitaji "National Security Advisor" aliyebobea sana

Uchumi wetu unaweza kuanza kuanguka mwishoni mwa 2023: Rais Samia anahitaji "National Security Advisor" aliyebobea sana

Miaka 5 itaishia hivyo hivyo, ubelgiji, ufaransa, uingereza, marekani, canada, denmark, urusi, china .....n the list goes on huku nyie mnapigiwa story za madarasa tu😅 mama katoa bil. Flani kwa ajili ya shule mara kwa ajili ya darasa😅

Term ikiisha deni ni 150 trillion! Huku kilo ya nyama ni 20,000/= ndo mtajua hamjui😅😅😅
haha aya banah, kwani nani alituongezea deni kuliko wengine? pia miaka mitano ipi maana kaanzia njiani tu mbn, shusha facts basi bro au ndo juu kwa juu?
 
lkn mi nlikua najibu hoja yako kuhusu inflation tu brother, km haya uliosema hapo ndo yamesababisha hii inflation ya sasa sawa, naona umeshanitafutia upande tayari dah!
Mimi nikiona mtu anajitolea kuwajibia serikali basi najua ni mmoja wao, sasa kama wewe unajitolea kuwajibia bila kuwa mmoja wao utanisamehe bure, tatizo la kupanda gharama za maisha mf. bei ya nyama kwa mambo yaliyo ndani ya uwezo wetu ni udhaifu wa uongozi.
 
Kama Kuna Rais atafanya vibaya kuliko Marais wote ni huyu mama ,inaonekana hakujipanga kurithi kitu cha boss wake kama kweli ilivyoainishwa kwenye katiba ikitokea ya kutokea kama ilivyotokea ,alikuwa liraksi na kuridhika alipo
Kwani hairuhusiwi rais kujiuzulu?? Masikini nchi yangu Tanzania
 
Asante Fatma kwa maoni haya mazuri sana.

Kwa kweli suala la mabadiliko ya tabia nchi ni tishio kubwa sana, na sijawahi elewa kwanini serikali inang'ang'ana na njia za miaka yote za makongamano ya kimataifa na kupoteza fedha nyingi za Rais kusafiri, badala ya sisi wenyewe kuchukua hatua za ndani hasa upandaji miti na utunzaji wa vyanzo vya maji. Leo unasoma RC anasema suala la maji tusubiri huruma ya Mungu, vijana wanakomaa na mashoga eti wanasababisha joto. Pathetic. Tupandeni miti jamani. Hali ya nchi yetu sio nzuri kabisa. Mimi ni mkulima na mfanyabiashara ya mazao, uelekeo wa kilimo mwaka huu ni tete sana. Mwakani Tunaweza nunua kilo ya mahindi buku na mchele buku 3, hali ikiendelea hivi. Ningeshauri kwa sasa, uuzaji wa vyakula nje upigwe stop, kama hatua ya dharura.
 
Miaka 5 itaishia hivyo hivyo, ubelgiji, ufaransa, uingereza, marekani, canada, denmark, urusi, china .....n the list goes on huku nyie mnapigiwa story za madarasa tu😅 mama katoa bil. Flani kwa ajili ya shule mara kwa ajili ya darasa😅

Term ikiisha deni ni 150 trillion! Huku kilo ya nyama ni 20,000/= ndo mtajua hamjui😅😅😅
Hakuna kitu kama hicho mkuu
 
Tuna bandari ya bagamoyo itatutoa kwenye hii njaa[emoji1787][emoji1787]
 
Shikamoo mama. Pole na majukumu. Bado ninaamini kuwa wewe una utu. Endelea kuwa na utu na siyo ulegevu. Majizi ni mengi kuliko idadi za pikipiki zilizoko mkoa wa Katavi. I love you. Naomba nikupe ushauri.

Data zinaonyesha mambo yafuatayo:

1. Mwaka 2022 yawezekana kukawa na njaa Kali sana nchini.
2. Maisha yamepanda sana kwa sasa. Kwa sasa wafanyabiashara wanapandisha bei ya vitu namna wanavyotaka na wanavyojisikia.
3. Biashara nyingi ambazo ni formal zinasinyaa lakini taratibu sana tena sana.
4. Jitihada za kuipunguza na kui-manage informal sector hazipo tena. Kumbuka hii informal sector yetu ina athari mbaya zaidi kwenye uchumi, hasa mapato.
5. "Covid ya 2022" imekaribia.
6. Kodi zinaushambulia uchumi wakati uzalishaji umepungua.

Tusipotafuta majawabu ya hizi hatari sita hapo juu, kuna hatari ya uchumi wetu kuanza kuanguka mwanzoni mwa October 2023 na inaweza kutuchukua muda mrefu kurudi katika hali ya kawaida. Naomba nikupe tips zitakazokusaidia katika majadiliano ya kutafuta solutions. Ninaweza kuwa niko wrong pia.

1. Food security ni neno pana sana. Food security ni usalama wa taifa. Kama ningekuwa mkurugenzi wa usalama wa taifa let's say 2005, ningekuwa na mpango wa ku-forestate taifa kwa angalau miti bilion moja kwa miaka 16. Ningetengeneza misitu mikubwa sana ya kitaifa na maziwa makubwa (siyo ya kwangu. Namaanisha lakes) ambayo ni artificial. Ningetafuta masoko ya kudumu ya chakula nje ya nchi kwa miaka 16 kwa bei ambayo ni nafuu sana. Leo tungekuwa na "investors wa kati na wakubwa" wenye production capacity kubwa ya mazao ya kilimo. Ingawa tumechelewa, njia ya haraka ni investment ya serikali kwa wakulima wakubwa na wa kati wanaoweza kuzalisha chakula. Majeshi yetu yangeweza kufanya hii kazi kwa kuanza na vijana wa JKT na wale wanaozurura mijini bila kazi.

2. Kama usipoweka policy na sheria pamoja na mikakati madhubuti ya kupunguza gharama za maisha hasa bei za vitu, tutajuta kama taifa muda si mrefu.

3. Tuweke mfumo mpya wa kutambua transactions na ku-document supply chain kwenye uchumi wetu.

4. Pesa zetu za ndani zisitumike kwenye mbinu za covid zilizofail. Pesa za ndani ni pamoja na mikopo kutoka kwa wazungu. Usije ukafunga uchumi hata kidogo kisa covid. Taifa litasinyaa. Usalama wa nchi yetu utayumba kabisa au kuanguka.

5. Sina uhakika kama nchi yetu ina mtu anayeitwa "National Security Advisor". Kama yupo, kuna haja ya kumfukuza kazi. Ila kama hayupo, teua haraka. Yeye ata-design mpango wa muda mfupi kwa ajili ya 2022 to 2024 akilenga kutatua hizi changamoto zilizofungamana na masuala ya usalama wa nchi. Lakini atatengeneza mpango wa muda mrefu, yaani wenye phase mbili za utekelezaji wa miaka minane minane. Hata hivyo, njia pekee ya kumpata mtu wa namna hiyo, ni lazima iwe ya uwazi na isiyo na upendeleo wa aina yeyote.

Siku njema. Ngoja nipate kwanza breakfast.
Nonsense
 
Shikamoo mama. Pole na majukumu. Bado ninaamini kuwa wewe una utu. Endelea kuwa na utu na siyo ulegevu. Majizi ni mengi kuliko idadi za pikipiki zilizoko mkoa wa Katavi. I love you. Naomba nikupe ushauri.

Data zinaonyesha mambo yafuatayo:

1. Mwaka 2022 yawezekana kukawa na njaa Kali sana nchini.
2. Maisha yamepanda sana kwa sasa. Kwa sasa wafanyabiashara wanapandisha bei ya vitu namna wanavyotaka na wanavyojisikia.
3. Biashara nyingi ambazo ni formal zinasinyaa lakini taratibu sana tena sana.
4. Jitihada za kuipunguza na kui-manage informal sector hazipo tena. Kumbuka hii informal sector yetu ina athari mbaya zaidi kwenye uchumi, hasa mapato.
5. "Covid ya 2022" imekaribia.
6. Kodi zinaushambulia uchumi wakati uzalishaji umepungua.

Tusipotafuta majawabu ya hizi hatari sita hapo juu, kuna hatari ya uchumi wetu kuanza kuanguka mwanzoni mwa October 2023 na inaweza kutuchukua muda mrefu kurudi katika hali ya kawaida. Naomba nikupe tips zitakazokusaidia katika majadiliano ya kutafuta solutions. Ninaweza kuwa niko wrong pia.

1. Food security ni neno pana sana. Food security ni usalama wa taifa. Kama ningekuwa mkurugenzi wa usalama wa taifa let's say 2005, ningekuwa na mpango wa ku-forestate taifa kwa angalau miti bilion moja kwa miaka 16. Ningetengeneza misitu mikubwa sana ya kitaifa na maziwa makubwa (siyo ya kwangu. Namaanisha lakes) ambayo ni artificial. Ningetafuta masoko ya kudumu ya chakula nje ya nchi kwa miaka 16 kwa bei ambayo ni nafuu sana. Leo tungekuwa na "investors wa kati na wakubwa" wenye production capacity kubwa ya mazao ya kilimo. Ingawa tumechelewa, njia ya haraka ni investment ya serikali kwa wakulima wakubwa na wa kati wanaoweza kuzalisha chakula. Majeshi yetu yangeweza kufanya hii kazi kwa kuanza na vijana wa JKT na wale wanaozurura mijini bila kazi.

2. Kama usipoweka policy na sheria pamoja na mikakati madhubuti ya kupunguza gharama za maisha hasa bei za vitu, tutajuta kama taifa muda si mrefu.

3. Tuweke mfumo mpya wa kutambua transactions na ku-document supply chain kwenye uchumi wetu.

4. Pesa zetu za ndani zisitumike kwenye mbinu za covid zilizofail. Pesa za ndani ni pamoja na mikopo kutoka kwa wazungu. Usije ukafunga uchumi hata kidogo kisa covid. Taifa litasinyaa. Usalama wa nchi yetu utayumba kabisa au kuanguka.

5. Sina uhakika kama nchi yetu ina mtu anayeitwa "National Security Advisor". Kama yupo, kuna haja ya kumfukuza kazi. Ila kama hayupo, teua haraka. Yeye ata-design mpango wa muda mfupi kwa ajili ya 2022 to 2024 akilenga kutatua hizi changamoto zilizofungamana na masuala ya usalama wa nchi. Lakini atatengeneza mpango wa muda mrefu, yaani wenye phase mbili za utekelezaji wa miaka minane minane. Hata hivyo, njia pekee ya kumpata mtu wa namna hiyo, ni lazima iwe ya uwazi na isiyo na upendeleo wa aina yeyote.

Siku njema. Ngoja nipate kwanza breakfast.
Tunatafuta kwanza Political advisor namna ya kuchomoka 2025. Hayo mengine wewe kaa nayo.
 
Mimi nikiona mtu anajitolea kuwajibia serikali basi najua ni mmoja wao, sasa kama wewe unajitolea kuwajibia bila kuwa mmoja wao utanisamehe bure, tatizo la kupanda gharama za maisha mf. bei ya nyama kwa mambo yaliyo ndani ya uwezo wetu ni udhaifu wa uongozi.
sawa kiongozi
 
Hizo ndio data au wewe ndio unaombea huo uchuro ambao kamwe hauwezi kuja kutokea hapa Tzn 😄😄..

Tafuta kiki nyingine,hatari pekee iliyokuwepo ilikuwa ni mafuta nayo yamedhibitiwa ,pili alikuta forex imeshuka kwa mda mfupi imeongezeka kutokana na exports kuongezeka na mwisho investors wanamiminika ..

Hicho unachotaka kitokee kitatokea ufipa huko sio Tzn ya Samia,never,labda wapumbavu wenzio ndio watakuunga mguu.Banks kwa mda mfupi zimepata faida kubwa na zimeongeza ukopeshaji..

Kwa taarifa yako official statistics kutoka Serikalini na Mashirika ya kimataifa yanatoa positive trend na rebound kwenye uchumi..Na ukame mlioombea imekula kwenu mvua zimeanza kunuesha kote na kilimo kinaendelea sasa.Kama ndoto zako hazikutimia lala uote tena.

Uchumi haukuanguka kwenye nchi hizi hapa sembuse Tanzania?🤣🤣

View attachment 2022982

View attachment 2022983
Wakati wenzako wanataka mikakati ya kuzuia hayo ya nchi zingine yasije kutokea wewe umelala usingizi na kuvimbiwa kwamba Tanzania hayawezi kuja. Hivi nyie mkishakuwa huko ccm vichwa vyenu huwa mnajaza nini? Mawe?
 
Kwenye national security advisor, muundo wa taasisi ya ujasusi na usalama Tanzania, ni wa siri. Na majukumu mahsusi ya mtu sio lazima yatajwe huko. Lakini kuna watu ambao majukumu yao yanafanana na hilo la nationa security advisor. Lkn pia ni swala la miundo katika nchi za Jumuiya ya Madola na nchi ndogi zetu hizi ambazo sio kubwa kama USA au China au Canada.
your point?
 
Shikamoo mama. Pole na majukumu. Bado ninaamini kuwa wewe una utu. Endelea kuwa na utu na siyo ulegevu. Majizi ni mengi kuliko idadi za pikipiki zilizoko mkoa wa Katavi. I love you. Naomba nikupe ushauri.

Data zinaonyesha mambo yafuatayo:

1. Mwaka 2022 yawezekana kukawa na njaa Kali sana nchini.
2. Maisha yamepanda sana kwa sasa. Kwa sasa wafanyabiashara wanapandisha bei ya vitu namna wanavyotaka na wanavyojisikia.
3. Biashara nyingi ambazo ni formal zinasinyaa lakini taratibu sana tena sana.
4. Jitihada za kuipunguza na kui-manage informal sector hazipo tena. Kumbuka hii informal sector yetu ina athari mbaya zaidi kwenye uchumi, hasa mapato.
5. "Covid ya 2022" imekaribia.
6. Kodi zinaushambulia uchumi wakati uzalishaji umepungua.

Tusipotafuta majawabu ya hizi hatari sita hapo juu, kuna hatari ya uchumi wetu kuanza kuanguka mwanzoni mwa October 2023 na inaweza kutuchukua muda mrefu kurudi katika hali ya kawaida. Naomba nikupe tips zitakazokusaidia katika majadiliano ya kutafuta solutions. Ninaweza kuwa niko wrong pia.

1. Food security ni neno pana sana. Food security ni usalama wa taifa. Kama ningekuwa mkurugenzi wa usalama wa taifa let's say 2005, ningekuwa na mpango wa ku-forestate taifa kwa angalau miti bilion moja kwa miaka 16. Ningetengeneza misitu mikubwa sana ya kitaifa na maziwa makubwa (siyo ya kwangu. Namaanisha lakes) ambayo ni artificial. Ningetafuta masoko ya kudumu ya chakula nje ya nchi kwa miaka 16 kwa bei ambayo ni nafuu sana. Leo tungekuwa na "investors wa kati na wakubwa" wenye production capacity kubwa ya mazao ya kilimo. Ingawa tumechelewa, njia ya haraka ni investment ya serikali kwa wakulima wakubwa na wa kati wanaoweza kuzalisha chakula. Majeshi yetu yangeweza kufanya hii kazi kwa kuanza na vijana wa JKT na wale wanaozurura mijini bila kazi.

2. Kama usipoweka policy na sheria pamoja na mikakati madhubuti ya kupunguza gharama za maisha hasa bei za vitu, tutajuta kama taifa muda si mrefu.

3. Tuweke mfumo mpya wa kutambua transactions na ku-document supply chain kwenye uchumi wetu.

4. Pesa zetu za ndani zisitumike kwenye mbinu za covid zilizofail. Pesa za ndani ni pamoja na mikopo kutoka kwa wazungu. Usije ukafunga uchumi hata kidogo kisa covid. Taifa litasinyaa. Usalama wa nchi yetu utayumba kabisa au kuanguka.

5. Sina uhakika kama nchi yetu ina mtu anayeitwa "National Security Advisor". Kama yupo, kuna haja ya kumfukuza kazi. Ila kama hayupo, teua haraka. Yeye ata-design mpango wa muda mfupi kwa ajili ya 2022 to 2024 akilenga kutatua hizi changamoto zilizofungamana na masuala ya usalama wa nchi. Lakini atatengeneza mpango wa muda mrefu, yaani wenye phase mbili za utekelezaji wa miaka minane minane. Hata hivyo, njia pekee ya kumpata mtu wa namna hiyo, ni lazima iwe ya uwazi na isiyo na upendeleo wa aina yeyote.

Siku njema. Ngoja nipate kwanza breakfast.
Mnamtafutia Sababu Bwana Fidodido
 
Mimi huwa watu nawaambia magufuri licha ya ukorofi wake alijaribu vitu vipya na vikumu na kuvisimamia..sasa wasasa anasikiliza wanomzunguka wanaotaka kupiga hera anadhani kwa kuwafurahisha ndo kupenda wakati uchumi wa nchi unaangamia


Inashangaza sana pale ambapo kupanda kwa bei za vitu kunahusishwa na kufungua nchi, mfano; mazao kuuzwa nje ya nchi kulilenga kuongeza pato kwa mkulima, lakini ajabu bei ya mbolea nayo inapanda kila siku, sasa hapa kuna haja gani ya kuhangaika kuzunguka dunia yote kwa kisingizio cha kufungua nchi wakati hapa ndani mambo ndio kwanza yanazidi kujifunga?

Namshauri Rais aache kufanya kazi kwa kukariri, habari ya kufungua nchi sasa imeshafeli; kuna tatizo kubwa sana la ukosefu wa ajira, halafu on top of that gharama za maisha zinazidi kupanda, atulie chini na wataalamu wa uchumi wamuoneshe namna mambo yanavyotakiwa kwenda, kuliko kuendelea kupanda ndege kila siku wakati impact ya hizo safari zake kwa mtanzania wa kawaida ni zero.

Kikwete licha ya kupanda ndege miaka yake yote bado uchumi wa nchi ulikuwa mbaya na nchi ikageuzwa shamba la bibi, huu ushauri anaopewa ni vyema sasa atulie chini achanganye na zake, atuoneshe yeye kama yeye ana kitu gani kwenye kichwa chake, anataka kuiona Tanzania inaelekea wapi kwa mipango mipya ipi, sio hii ya kufungua nchi kila siku na kuhutubia kila aendako huku mambo yetu ndani yanazidi kuwa magumu.
 
Ushauri toka kwa mama kwenda kwa mama. Mi ninachojua hata njaa ipige kiasi gani ukiwa na pesa hakuna matata. Somalia ni jangwa lakini kupitia utekaji wa meli watu wanashiba. Muhimu kila mtu atafute pesa kwa bidii zaidi ya jana na leo, serikali ni mimi na wewe.

Madam Fetty, so far umeotesha miti mingapi wewe kama wewe? Au mpaka tukupe Li V8
Sio kweli, Somalia watu hawashibi ndio maana unaona hakuna serikali. Somalia ni failed state, unataka tanzania tufikie huko?
 
Inashangaza sana pale ambapo kupanda kwa bei za vitu kunahusishwa na kufungua nchi, mfano; mazao kuuzwa nje ya nchi kulilenga kuongeza pato kwa mkulima, lakini ajabu bei ya mbolea nayo inapanda kila siku, sasa hapa kuna haja gani ya kuhangaika kuzunguka dunia yote kwa kisingizio cha kufungua nchi wakati hapa ndani mambo ndio kwanza yanazidi kujifunga?

Namshauri Rais aache kufanya kazi kwa kukariri, habari ya kufungua nchi sasa imeshafeli; kuna tatizo kubwa sana la ukosefu wa ajira, halafu on top of that gharama za maisha zinazidi kupanda, atulie chini na wataalamu wa uchumi wamuoneshe namna mambo yanavyotakiwa kwenda, kuliko kuendelea kupanda ndege kila siku wakati impact ya hizo safari zake kwa mtanzania wa kawaida ni zero.

Kikwete licha ya kupanda ndege miaka yake yote bado uchumi wa nchi ulikuwa mbaya na nchi ikageuzwa shamba la bibi, huu ushauri anaopewa ni vyema sasa atulie chini achanganye na zake, atuoneshe yeye kama yeye ana kitu gani kwenye kichwa chake, anataka kuiona Tanzania inaelekea wapi kwa mipango mipya ipi, sio hii ya kufungua nchi kila siku na kuhutubia kila aendako huku mambo yetu ndani yanazidi kuwa magumu.
Angalau umeliona ilo, yupo jamaa mmoja apa jamvin KILA akiona uzi wa mfumuko wa bei KAZI yake nikusema vitashuka uchumi unakua , ndo washauri eti , mpuuzi Sana Hali ni mbaya,
Shikamoo mama. Pole na majukumu. Bado ninaamini kuwa wewe una utu. Endelea kuwa na utu na siyo ulegevu. Majizi ni mengi kuliko idadi za pikipiki zilizoko mkoa wa Katavi. I love you. Naomba nikupe ushauri.

Data zinaonyesha mambo yafuatayo:

1. Mwaka 2022 yawezekana kukawa na njaa Kali sana nchini.
2. Maisha yamepanda sana kwa sasa. Kwa sasa wafanyabiashara wanapandisha bei ya vitu namna wanavyotaka na wanavyojisikia.
3. Biashara nyingi ambazo ni formal zinasinyaa lakini taratibu sana tena sana.
4. Jitihada za kuipunguza na kui-manage informal sector hazipo tena. Kumbuka hii informal sector yetu ina athari mbaya zaidi kwenye uchumi, hasa mapato.
5. "Covid ya 2022" imekaribia.
6. Kodi zinaushambulia uchumi wakati uzalishaji umepungua.

Tusipotafuta majawabu ya hizi hatari sita hapo juu, kuna hatari ya uchumi wetu kuanza kuanguka mwanzoni mwa October 2023 na inaweza kutuchukua muda mrefu kurudi katika hali ya kawaida. Naomba nikupe tips zitakazokusaidia katika majadiliano ya kutafuta solutions. Ninaweza kuwa niko wrong pia.

1. Food security ni neno pana sana. Food security ni usalama wa taifa. Kama ningekuwa mkurugenzi wa usalama wa taifa let's say 2005, ningekuwa na mpango wa ku-forestate taifa kwa angalau miti bilion moja kwa miaka 16. Ningetengeneza misitu mikubwa sana ya kitaifa na maziwa makubwa (siyo ya kwangu. Namaanisha lakes) ambayo ni artificial. Ningetafuta masoko ya kudumu ya chakula nje ya nchi kwa miaka 16 kwa bei ambayo ni nafuu sana. Leo tungekuwa na "investors wa kati na wakubwa" wenye production capacity kubwa ya mazao ya kilimo. Ingawa tumechelewa, njia ya haraka ni investment ya serikali kwa wakulima wakubwa na wa kati wanaoweza kuzalisha chakula. Majeshi yetu yangeweza kufanya hii kazi kwa kuanza na vijana wa JKT na wale wanaozurura mijini bila kazi.

2. Kama usipoweka policy na sheria pamoja na mikakati madhubuti ya kupunguza gharama za maisha hasa bei za vitu, tutajuta kama taifa muda si mrefu.

3. Tuweke mfumo mpya wa kutambua transactions na ku-document supply chain kwenye uchumi wetu.

4. Pesa zetu za ndani zisitumike kwenye mbinu za covid zilizofail. Pesa za ndani ni pamoja na mikopo kutoka kwa wazungu. Usije ukafunga uchumi hata kidogo kisa covid. Taifa litasinyaa. Usalama wa nchi yetu utayumba kabisa au kuanguka.

5. Sina uhakika kama nchi yetu ina mtu anayeitwa "National Security Advisor". Kama yupo, kuna haja ya kumfukuza kazi. Ila kama hayupo, teua haraka. Yeye ata-design mpango wa muda mfupi kwa ajili ya 2022 to 2024 akilenga kutatua hizi changamoto zilizofungamana na masuala ya usalama wa nchi. Lakini atatengeneza mpango wa muda mrefu, yaani wenye phase mbili za utekelezaji wa miaka minane minane. Hata hivyo, njia pekee ya kumpata mtu wa namna hiyo, ni lazima iwe ya uwazi na isiyo na upendeleo wa aina yeyote.

Siku njema. Ngoja nipate kwanza breakfast.
 
Kama Kuna Rais atafanya vibaya kuliko Marais wote ni huyu mama ,inaonekana hakujipanga kurithi kitu cha boss wake kama kweli ilivyoainishwa kwenye katiba ikitokea ya kutokea kama ilivyotokea ,alikuwa liraksi na kuridhika alipo
Kuna kipindi alitaka kujiuzulu kabla mzee Baba haja R. I. P?
 
Back
Top Bottom