Uchumi wetu unaweza kuanza kuanguka mwishoni mwa 2023: Rais Samia anahitaji "National Security Advisor" aliyebobea sana

haha aya banah, kwani nani alituongezea deni kuliko wengine? pia miaka mitano ipi maana kaanzia njiani tu mbn, shusha facts basi bro au ndo juu kwa juu?
 
lkn mi nlikua najibu hoja yako kuhusu inflation tu brother, km haya uliosema hapo ndo yamesababisha hii inflation ya sasa sawa, naona umeshanitafutia upande tayari dah!
Mimi nikiona mtu anajitolea kuwajibia serikali basi najua ni mmoja wao, sasa kama wewe unajitolea kuwajibia bila kuwa mmoja wao utanisamehe bure, tatizo la kupanda gharama za maisha mf. bei ya nyama kwa mambo yaliyo ndani ya uwezo wetu ni udhaifu wa uongozi.
 
Kama Kuna Rais atafanya vibaya kuliko Marais wote ni huyu mama ,inaonekana hakujipanga kurithi kitu cha boss wake kama kweli ilivyoainishwa kwenye katiba ikitokea ya kutokea kama ilivyotokea ,alikuwa liraksi na kuridhika alipo
Kwani hairuhusiwi rais kujiuzulu?? Masikini nchi yangu Tanzania
 
Asante Fatma kwa maoni haya mazuri sana.

Kwa kweli suala la mabadiliko ya tabia nchi ni tishio kubwa sana, na sijawahi elewa kwanini serikali inang'ang'ana na njia za miaka yote za makongamano ya kimataifa na kupoteza fedha nyingi za Rais kusafiri, badala ya sisi wenyewe kuchukua hatua za ndani hasa upandaji miti na utunzaji wa vyanzo vya maji. Leo unasoma RC anasema suala la maji tusubiri huruma ya Mungu, vijana wanakomaa na mashoga eti wanasababisha joto. Pathetic. Tupandeni miti jamani. Hali ya nchi yetu sio nzuri kabisa. Mimi ni mkulima na mfanyabiashara ya mazao, uelekeo wa kilimo mwaka huu ni tete sana. Mwakani Tunaweza nunua kilo ya mahindi buku na mchele buku 3, hali ikiendelea hivi. Ningeshauri kwa sasa, uuzaji wa vyakula nje upigwe stop, kama hatua ya dharura.
 
Hakuna kitu kama hicho mkuu
 
Tuna bandari ya bagamoyo itatutoa kwenye hii njaa[emoji1787][emoji1787]
 
Nonsense
 
Tunatafuta kwanza Political advisor namna ya kuchomoka 2025. Hayo mengine wewe kaa nayo.
 
sawa kiongozi
 
Wakati wenzako wanataka mikakati ya kuzuia hayo ya nchi zingine yasije kutokea wewe umelala usingizi na kuvimbiwa kwamba Tanzania hayawezi kuja. Hivi nyie mkishakuwa huko ccm vichwa vyenu huwa mnajaza nini? Mawe?
 
your point?
 
Mnamtafutia Sababu Bwana Fidodido
 
Mimi huwa watu nawaambia magufuri licha ya ukorofi wake alijaribu vitu vipya na vikumu na kuvisimamia..sasa wasasa anasikiliza wanomzunguka wanaotaka kupiga hera anadhani kwa kuwafurahisha ndo kupenda wakati uchumi wa nchi unaangamia


 
Sio kweli, Somalia watu hawashibi ndio maana unaona hakuna serikali. Somalia ni failed state, unataka tanzania tufikie huko?
 
Angalau umeliona ilo, yupo jamaa mmoja apa jamvin KILA akiona uzi wa mfumuko wa bei KAZI yake nikusema vitashuka uchumi unakua , ndo washauri eti , mpuuzi Sana Hali ni mbaya,
 
Kama Kuna Rais atafanya vibaya kuliko Marais wote ni huyu mama ,inaonekana hakujipanga kurithi kitu cha boss wake kama kweli ilivyoainishwa kwenye katiba ikitokea ya kutokea kama ilivyotokea ,alikuwa liraksi na kuridhika alipo
Kuna kipindi alitaka kujiuzulu kabla mzee Baba haja R. I. P?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…