OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Serikali nayo itueleze ilikuwa wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hoja zinapoisha yanaanza matusi. Mtu mwenye busara husepa kimya kimyaWewe huna ujuacho humu duniani zaidi ya kumkatikia kiuno Mbowe.
Huu mtego ni mkali sana kwa Mwafrika3. Alitumia wazungu kuvuta akili za Waafrika wajinga wengi. Kwenye documentary wameongelea hili kwamba Muafrika mjinga mara nyingi hata kama hakuamini, akiona Mzungu kakuamini inakuwa rahisi sana kumkamata, anaona huyu mtu kama hata wazungu wanamkubali basi lazima atakuwa anasema kweli.
Wakati watu tuliona haya madudu tangu TB Joshua yupo hai, kuna watu mpaka leo wanamtetea.Huu mtego ni mkali sana kwa Mwafrika
Mmmh uthibitisho tafadhaliWakati watu tuliona haya madudu tangu TB Joshua yupo hai, kuna watu mpaka leo wanamtetea.
Siku zote nimekuwa nikisema hakuna Mungu, kabla TB Joshua hajafariki.Mmmh uthibitisho tafadhali
Unapotosha, wengi humo walijitoa 2014-2018 sasa mali zipi walizotaka? Walishaandikaga vitabu huko nyuma kueleza haya sasa unapodai wamesubiri amekufa ni ajabu kidogo unless wewe ndio umewasikia baada ya BBC kuwahoji majuzi.
Kuhusu kushtaki wameeleza humo fear waliokua nayo, na hata ungeshtaki hakuna angeamini zaidi ungepotezwa tu. Kama mwamposa tu watu walikufa hakuna alichofanywa ndio sembuse ukamshtaki si ungegeuziwa kibao wewe!!
Ni ajabu sana hutaki kuwaamini watu waliokua direct subordinates kwake ila unataka tukuamini wewe unayecomment ukiwa Tandale kwa Tumbo!! You can't be serious.
Asante kwa maelezo safi.Unapotosha, wengi humo walijitoa 2014-2018 sasa mali zipi walizotaka? Walishaandikaga vitabu huko nyuma kueleza haya sasa unapodai wamesubiri amekufa ni ajabu kidogo unless wewe ndio umewasikia baada ya BBC kuwahoji majuzi.
Kuhusu kushtaki wameeleza humo fear waliokua nayo, na hata ungeshtaki hakuna angeamini zaidi ungepotezwa tu. Kama mwamposa tu watu walikufa hakuna alichofanywa ndio sembuse ukamshtaki si ungegeuziwa kibao wewe!!
Ni ajabu sana hutaki kuwaamini watu waliokua direct subordinates kwake ila unataka tukuamini wewe unayecomment ukiwa Tandale kwa Tumbo!! You can't be serious.
Ushahidi wako?• Hakuna jehanam, Hakuna mbingu Nyingine, Ukifa ni chakula cha Wadudu.
• Mjinga akijileta we mgonge tu. 😎
• Ushahidi wangu wa 1, kwa sababu sijawahi kuona mtu ameenda mbinguni.Ushahidi wako?
Hii sio hoja sababu kuna sehemu nyingi hujawahi ona mtu akienda zikiwemo sayari kwenye galaxy nyingine.• Ushahidi wangu wa 1, kwa sababu sijawahi kuona mtu ameenda mbinguni.
Unapokuwa umelala ukaota upo chooni, mwili wako unakuwa wapi?• Ushahidi wangu wa 2, kuna baadhi ya maiti yamefukuliwa, lakini tumeishia kuona mifupa tu, nyama yote imeliwa na microorganisms.