Unapotosha, wengi humo walijitoa 2014-2018 sasa mali zipi walizotaka? Walishaandikaga vitabu huko nyuma kueleza haya sasa unapodai wamesubiri amekufa ni ajabu kidogo unless wewe ndio umewasikia baada ya BBC kuwahoji majuzi.
Kuhusu kushtaki wameeleza humo fear waliokua nayo, na hata ungeshtaki hakuna angeamini zaidi ungepotezwa tu. Kama mwamposa tu watu walikufa hakuna alichofanywa ndio sembuse ukamshtaki si ungegeuziwa kibao wewe!!
Ni ajabu sana hutaki kuwaamini watu waliokua direct subordinates kwake ila unataka tukuamini wewe unayecomment ukiwa Tandale kwa Tumbo!! You can't be serious.
Unapotosha, wengi humo walijitoa 2014-2018 sasa mali zipi walizotaka? Walishaandikaga vitabu huko nyuma kueleza haya sasa unapodai wamesubiri amekufa ni ajabu kidogo unless wewe ndio umewasikia baada ya BBC kuwahoji majuzi.
Kuhusu kushtaki wameeleza humo fear waliokua nayo, na hata ungeshtaki hakuna angeamini zaidi ungepotezwa tu. Kama mwamposa tu watu walikufa hakuna alichofanywa ndio sembuse ukamshtaki si ungegeuziwa kibao wewe!!
Ni ajabu sana hutaki kuwaamini watu waliokua direct subordinates kwake ila unataka tukuamini wewe unayecomment ukiwa Tandale kwa Tumbo!! You can't be serious.
Asante kwa maelezo safi.
Waafuasi na Waumini Wengi(Apologist) wa TB Joshua,Hoja mojawapo ni hii ya Kwanini Wamesubiri Nabii TB Joshua Afe ndio Wanatoa tuhuma zao na Angali hai hawakujitokeza..??
Mosi,Wengi Hawajatazama Documentary Ya BBC.
Na kuhusu tuhuma,Malalamiko au Mashitaka Juu ya TB Joshua,Yalikuwepo muda Toka 90's huko,
Kuna Habari/stori Ya Mzee/Mr.Abiola- Lagos, ya 2019,Ambayo inasema TB Joshua Kunamuda alikaa kwa Mzee huyu na akapewa chumba Cha kukaa na huduma za hapa na pale,huku TB Joshua akiitwa Abdul-Fatai.
Kwa ufupi stori inasimulia njisi TB Joshua alivyoshindwa kumsaidia Mzee katika Hali ngumu ya kiuchumi na kiafya iliyomkuta Mr Abiola maana Mzee alikuwa mfanyabiashara wa Magari/Usafiri.
Lakini kilichotokea Mzee baada ya kufa Bwana Abdul-Fatai (TB Joshua) aliwachukua mabinti zake wawili kama kutaka kuwasaidia, kilichotokea alifanya uharibifu kwa Mabinti hao(Kuwanyanyasa kingono na kisaikolojia),Mke wa Abiola na kijana wake walifanya jitahada ya kupambana na Nabii TB Joshua lakini kama ujuavyo Nchi za dunia ya Tatum,Taasisi nyingi na vyombo vya usalama vimetawaliwa na Rushwa,ufisadi na Ukiritimba.. TB Joshua corrupt system ya Nigeria alikuwa kaikamata mkononi.
Stori nyingine au tuhuma za bwana huyu TB Joshua ni Ya Pastor Peter kayode ya Mwaka 2009,Huyu Peter alikuwa Disciple wa TB Joshua, Habari yske inahusu TB Joshua alivyochukua Mke wake,na hii nibaada ya huyu bwana na Mke kwenda kwa TB Joshua kupata baraka ya kupata mtoto,walikuwa hawana, TB Joshua baadaye akijinyakuliwa Mke wa jamaa.Kiufupi jamaa alipata changamoto Santa na matatizo kwa ndugu zake na jamaa zake,Kisha akaamua kujiondoa SCOAN,
Pia,Kuna Mwanamama Bisola Johnson,Ex-Disciple...Ametoa kitabu chake kiitwacho the TB Joshua I know, Mwaka 2018.ameelezea Mambo mengi kuhusu TB Joshua Nabii.
Hivyo tuhuma,malalamiko Yalikuwepo muda Sana na wahanga wachache wenye ujasili walikuwa wanaongea na kwenda kwa koti.
TB Joshua alikuwa unaushawishi Mkubwa Africa (Siasa), Episode ya Tatu BBC, Rais Jk kikwete anaonekana yupo na TB Joshua,bila kusahau Marais waliokuwa wapiga debe wa TB Joshua akina Joyce Banda-Malawi.
Jambo la Muhimu na kufahamu Nchi maskini Sana,Mtu mwenye Pesa,Power,... taasisi na mifumo mingi inakuwa haina kazi inabaki kama midoli machoni pake.
Mwisho TB Joshua alikuwa Opportunist/Msaka fursa..!Aliyetafuta Money, Power na Fame,Na hakika alivipata.
Paul Agomoh anasema TB Joshua alikuwa "Evil Genius".