Mimi nilitazama video ya ushuhuda ya Binti was kinaijeria mwaka 2012,wakilazimishwa kushija nyeti za huyo jamaa!

Tangy hapo hadi leo sikumuamini tena!hadi leo ni ngumu kuwaamini Hawa watu has wa miujiza!
 
Hujawahi kusikia ulawiti wa watoto ndani ya Kanisa Katoliki??
 
Naona na tv yake imetolewa rasmi Dstv

Pia mkipata muda muwe mnamsikiliza mzee wa upako. Anafungua code nyingi sana kuhusiana na haya makanisa ya uyoga
Kanisa la mzee wa upako lenyewe ni la uyoga.
 
Sijaona huo ushahidi
Maelezo yanaaonesha km ni taarifa za kupanga.
Kuna kitu hapo katikati kimejificha.
NB: mimi sio muumini wa manabii na mitume
 
Sijaona huo ushahidi
Maelezo yanaaonesha km ni taarifa za kupanga.
Kuna kitu hapo katikati kimejificha.
NB: mimi sio muumini wa manabii na mitume
Ushahidi gani kwa mfano??
 
Ushahidi gani kwa mfano??
Nieleweshe wewe km umeelewa.
Yaani raia wa Uingereza wabakwe na kunajisiwa pamoja na kufungiwa tangu mwaka 2010. Serikali ya Uingereza ipate taarifa toka kwa aliyefanikiwa kutoroka na ikae kimya?
Hapa kidogo pagumu.
Labda km ingekuwa nchi zetu hizi zisizojali raia wake hilo lingewezekana.
 
Lakini ndo walioinua madudu ya markenzi pia wa Kenya na baadae ikaonekana ni kweli baada ya nyie kupinga
BBC hawawezi kukurupuka
Mpaka wanatoa hiyo taarifa, wamefanya uchunguzi na wamejiridhisha. Naunga mkono hoja. FUNZO. Kuwa makini na kujihadhari na manabii wa uongo. Hili alionya na kutahadharisha Bwana Yesu, mtume Paulo, Petro, nk. "Be carefull with false prophet"
 
Nimepitia comments za watu wengi hapa nimegundua kitu.

Watu bado wameshikwa na uwongo wa Joshua. Ni atari sana kwani hata baada ya kuona video watu wakisema yaliyowapata mtuu bado hutaki kuamini. Kwamba hawezi kuyafanya hayo? Kwani yeye ni mungu.

Mtu anajiita nabii [emoji1]. Afu bado tu unashindwa kujua kwamba ni mwongo.

Tubadilike
 
Waingereza ni watu madhalimu sana tu.

Udhalimu wao umetapakaa karibia mabara yote.

Naafiki na wengi wanao ona udhalimu huu.
Kinachotafutwa hapa ni kukosekana kwa imani dhidi ya kanisa katika jamii na hakuna lolote la maana.
Jimmygatete, umemaliza yote na hayo maneno Juu. Huo ndio huo udhalimu wenyewe.
 
Mm sijawahi kuwakubali Hawa wanaojiita wachungaji ila hicho walichotoa BBC hakiendani kabisa na hadhi yao, BBC sijui nini kimewakuta hawana tofauti na vyombo vya habari vya udaku.
wanataka kubalance mzani wa kashfa ya ushoga kwa kanisa la Roman.
 
Nakala ya uchanguzi BBC ya (BBC Eye) inamtaja TB JOSHUA kama mhalifu Kwa kipindi Cha miaka 20 hadi mauti yanamkuta alikuwa amesha baka ,kushikiria,kuuwa,kutesa,kubaka na miujiza ya uongo
.

Wengi wa waathirika ni raia wa kigeni na wachacha kutoka Nigeria,uozo huu umeanikwa na waaandishi wa uchanguzi.

Chanzo BBC

USSR

Sent from my Infinix X6511G using JamiiForums mobile app
 
Sawa kabisa
 
Unaelewa chochote kuhusu "human trafficking" ambalao ni tatizo kubwa sana karne ya 21?

Umewahi kusikia Mwarabu yeyote huko Uarabuni amakamatwa kwa kuwatesa na kuwafungia wafanyakazi wa ndani wa mataifa mengine ? Unafikiri hao wafanyakazi nchi zao hawana balozi katika hizo nchi za Uarabuni??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…