Uchunguzi: TB Joshua aliwanyanyasa na kuwabaka wafuasi wake
Wangem blast akiwa hai ingekua vizuri zaidi apate hukumu yake.

Keshajifia hasikii,haoni,kama bata keshakula,sadaka keshaiba,mbususu za hiyari na za kubaka keshatafuna na hakuna hukumu atapata tena, ndo imetoka hiyo.
 
Kwahiyo Serikali ya uingereza imelishwa pesa na nabii wa kiafrika mpaka ikakaa kimya?au mimi ndio sielewi...
 
Hivi kwann siku zote mzungu ndio anajua sana matatizo ya mwafrika kuliko hata mwafrika mwenyewe na akija huwa anashambulia mwanaume mwenye nguvu na mamlaka?

Hawa wazungu mimi siwaamini hata kidogo.
 
Haya makanisa yanasiri kubwa sana. Nimesikia Leo asubuhi BBC nimrbaki kinywa wazi. Najivunia kusali kanisa moja takatifu katoliki na la mitume. Haya makanisa mengine ni utapeli na ujanja wa namna ya kuishi tu. Hata Hawa akina mwamposa, gwajima, gamanywa nk siku wakifa tutasikia mengi.
Hujawahi kusikia kuwa padre anakesi yakubaka au wewe ni kiziwi?
 
Mbwa kabisa hawa. Watakuwa walitumwa wakamchafue wakashindwa. Mbona wamesubiri amekufa. Na si ajabu ndo yamemuua ili yakaharibu kanisa lake.
Mbona wasifanye documentary ya watu waliopona au kusaidiwa wanatafuta mabaya? BBC ni chombo cha Watu wakubwa wanaosambaza one world government na ni Antichrist.
 
Baki njia kuu CATHOLIC CHARCH FINISHED
Unatumia akili kufikili au unatumia p.umbu,,hakujiita Bali ni watu ndo walikuwa wanamuita prophet
Nimepitia comments za watu wengi hapa nimegundua kitu.

Watu bado wameshikwa na uwongo wa Joshua. Ni atari sana kwani hata baada ya kuona video watu wakisema yaliyowapata mtuu bado hutaki kuamini. Kwamba hawezi kuyafanya hayo? Kwani yeye ni mungu.

Mtu anajiita nabii [emoji1]. Afu bado tu unashindwa kujua kwamba ni mwongo.

Tubadilike
Unatumia akili kufikili au unatumia p.umbu,,hakujiita Bali ni watu ndo walikuwa wanamuita prophet
 
Wazungu walivyo serious na Raia wao wakati TB Joshua akiwa hai wasingeruhusu hili lipite,tena Raia wa UK
 
Unaelewa chochote kuhusu "human trafficking" ambalao ni tatizo kubwa sana karne ya 21?

Umewahi kusikia Mwarabu yeyote huko Uarabuni amakamatwa kwa kuwatesa na kuwafungia wafanyakazi wa ndani wa mataifa mengine ? Unafikiri hao wafanyakazi nchi zao hawana balozi katika hizo nchi za Uarabuni??
Nimekwambia nchi za dunia ya kwanza ikiwamo uingereza zinajali sana maslahi ya raia wao.
Ni ngumu kwao kutochukua hatua maslahi ya raia wao yanapoguswa.
Wewe unanipa mfano wa waarabu na watumwa wao blacks.
Asante na kwaheri!
 
Nlkua naangalia apa BBC ao wakiojiwa naona wana Act kabsa [emoji28][emoji28] wanao sema wame abort mala 3 sasa hawana uzuri wowote wa kushawishi kabsaa
 
Hujawahi kusikia kuwa padre anakesi yakubaka au wewe ni kiziwi?
Wanakuwaga na kesi lakini wanashinda which means wanawasingizia tu kama yule padre wa moshi mpaka dada mwenyewe alikiri kuwa alimsingizia
 
Back
Top Bottom