Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BBC hawaandikagi mambo ambayo hawajayachunguza kwa kina. Unafahamu BBC Africa eye? tutulie mkuu. Tusijeonekana tunatetea uhalifu.Sasa mbona ni blah blah tu....hawa BBC kumbe pumbavu tu....
Tumia akili yako vizuriNi kweli haya makanisa yanayoibuka kila siku na watu kujiita manabii na mitume, kuna mengi nyuma ya pazia
haamini kama jamaa alikuwa mwovu.Wewe una uhakika kuliko waliokuwa ndani huko kwenyewe..
Kuna haja ya kutetea kanisa lakini sio mtu...
BBC Huwa wanafanya uchunguziKwanini wangoje mpaka amekufa ndio walalamike? Hizi no njama za kutaka kulichafua kanisa.
Hujawahi kusikia kuwa padre anakesi yakubaka au wewe ni kiziwi?Haya makanisa yanasiri kubwa sana. Nimesikia Leo asubuhi BBC nimrbaki kinywa wazi. Najivunia kusali kanisa moja takatifu katoliki na la mitume. Haya makanisa mengine ni utapeli na ujanja wa namna ya kuishi tu. Hata Hawa akina mwamposa, gwajima, gamanywa nk siku wakifa tutasikia mengi.
Unatumia akili kufikili au unatumia p.umbu,,hakujiita Bali ni watu ndo walikuwa wanamuita prophetBaki njia kuu CATHOLIC CHARCH FINISHED
Unatumia akili kufikili au unatumia p.umbu,,hakujiita Bali ni watu ndo walikuwa wanamuita prophetNimepitia comments za watu wengi hapa nimegundua kitu.
Watu bado wameshikwa na uwongo wa Joshua. Ni atari sana kwani hata baada ya kuona video watu wakisema yaliyowapata mtuu bado hutaki kuamini. Kwamba hawezi kuyafanya hayo? Kwani yeye ni mungu.
Mtu anajiita nabii [emoji1]. Afu bado tu unashindwa kujua kwamba ni mwongo.
Tubadilike
Sio Tuu jinga,,ni p.umbu kabisaUnatolewaje mimba mara tano uje ulalamike leo? jinga sana hili lidada
Nimekwambia nchi za dunia ya kwanza ikiwamo uingereza zinajali sana maslahi ya raia wao.Unaelewa chochote kuhusu "human trafficking" ambalao ni tatizo kubwa sana karne ya 21?
Umewahi kusikia Mwarabu yeyote huko Uarabuni amakamatwa kwa kuwatesa na kuwafungia wafanyakazi wa ndani wa mataifa mengine ? Unafikiri hao wafanyakazi nchi zao hawana balozi katika hizo nchi za Uarabuni??
Wanakuwaga na kesi lakini wanashinda which means wanawasingizia tu kama yule padre wa moshi mpaka dada mwenyewe alikiri kuwa alimsingiziaHujawahi kusikia kuwa padre anakesi yakubaka au wewe ni kiziwi?