Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
Habari bila ushahidi ni majungu tu.Imetumikaje.. ??
BBC ni wana habari. Sisi tumezoea wanahabari wa kuunga mkono kila kitu!!!
ANAEPASWA KUKANUSHA NI SCOAN. SIO WADAU WENGINE..
Lete Ushahidi usio na mashaka.
BBC ya sasa majungu kuhusu Afrika na Waafrika ndio ajenda Yao.