Uchunguzi; Watanzania wengi hujisaidia haja ndogo kwenye makopo usiku

Uchunguzi; Watanzania wengi hujisaidia haja ndogo kwenye makopo usiku

kwema Wakuu!

Tuachane na mambo ya Ukraine na Urusi.
Leo sitaki kupotezea muda watu.

Moja ya mambo yaliyonishangaza tangu nilipotoka nyumbani miaka 10 iliyopita ni kuona wakazi wengi kuwa na tabia ya kukojolea kwenye makopo au ndoo nyakati za usiku.

Hivi inakuwaje mtu alale na Mikojo wakati haumwi?
Ni uvivu wa kutoka nje usiku au ni Woga?

Kinachoshangaza zaidi ni kuona tabia hii ipo mpaka Kwa wanaume. Hivi mwanaume mzima unakojolea kwenye kopo au ndoo kweli badala ya kutoka nje na kujisaidia chooni.

Unakuta mtu kaoa kabisa alafu yeye na Mke wake wanakojolea kwenye ndoo au kopo. Kwa kweli hili sio uungwana Kabisa.

Halafu ndoo hiyo hiyo ati mtu anaogea au kufuliašŸ˜€šŸ˜€ hii kuna uchafu zaidi ya huu? Ukimuuliza atakwambia ati ndoo ameiosha, upuuzi mtupu.

Uchunguzi huu unawahusu zaidi Wale wenye nyumba za kupanga ambazo sio Self-container, isipokuwa Choo kipo Kwa nje kimejitenga.

Pia baadhi ya wenye nyumba ambao vyoo vyao vipo Kwa nje.

Ushauri wangu, unapoenda ugenini kusalimia uwe Makini sana, unaweza ukadhani unaoga kumbe unajipaka mikojo ya watu japokuwa watakuambia wanaisafisha hiyo ndoo.

Mikojo na mavi no uchafu, ni najisi, watu lazima muwe wasafi bhana sio muwe Kama majini.

Wito: wenye tabia hii nawasihi mubadilike, acheni kukojolea kwenye makopo au ndoo, alafu ndoo hizohizo mnaogea na kufulia nguo. Huo ni UCHAFU.

Jumapili njema.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Buza, Dar es salaam
Mikojo na mavi ni uchafu, ni najisi, watu lazima muwe wasafi bhana sio muwe Kama majini.
Mkuu; Unajisi unaanzia wapi? Ndani au Nje ya mwili wako? Mbona hivyo vitu unatembea navyo kutwa nzima? Naomba fafanuzi hapo. Ukizingatia Definition ya Uchafu ni kitu gani, Mm naona wanaofanya ivo hawajakosea lolote. Lakini, eti nikuulize; kinachokupeleka ww kwenye nyumba za watu hata ukayajue hayo ni nn? Acha Wafu wazike wafu wao.
 
Wale wa kukojoa kwenye chupa muwe mnafungua vizibo mkizitupa Ili mikojo yenu isibakie chupani
 
Wale wa kukojoa kwenye chupa muwe mnafungua vizibo mkizitupa Ili mikojo yenu isibakie chupani
Mh, sikubaliani na hilo kwani watoto huziokota na kuweka maji humo ama ni ya kupeleka shuleni kumwagilia maua au kuchezea - lakini mwisho wa siku hufikishwa kinywani! Nashauri mwenye chupa hiyo awe mtaarabu na kuitupa kwenye mapipa ya taka au mahali panapofaa au aiharibu kwa kuitoboa-toboa.
 
Kama kukaa na haja ni ugonjwa wa akili basi wote tu wagonjwa wa akili! We mbona unatembea na Mah.Vee full time umeyabebebelea kwenye utumbo mkuušŸ˜…šŸ˜…šŸ˜… af unajiona una akili sana?
Hebu tofautisha kati ya kutembea nayo tumboni,na kulala nayo chumbani kwenye makopo,seeeh! we man naona umevimbiwa biriyani😁
 
Mh, sikubaliani na hilo kwani watoto huziokota na kuweka maji humo ama ni ya kupeleka shuleni kumwagilia maua au kuchezea - lakini mwisho wa siku hufikishwa kinywani! Nashauri mwenye chupa hiyo awe mtaarabu na kuitupa kwenye mapipa ya taka au mahali panapofaa au aiharibu kwa kuitoboa-toboa.
Vipi kuhusu zile juisi zinazouzwa kwa kutumia chupa za plastic zilizookotwa,kuna usalama humo?
 
Mh, sikubaliani na hilo kwani watoto huziokota na kuweka maji humo ama ni ya kupeleka shuleni kumwagilia maua au kuchezea - lakini mwisho wa siku hufikishwa kinywani! Nashauri mwenye chupa hiyo awe mtaarabu na kuitupa kwenye mapipa ya taka au mahali panapofaa au aiharibu kwa kuitoboa-toboa.
Kwanza aliyestaarabika hawezi jisaidia kwenye chupa wote ni uncivilized people.
 
Mikojo na mavi ni uchafu, ni najisi, watu lazima muwe wasafi bhana sio muwe Kama majini.
Mkuu; Unajisi unaanzia wapi? Ndani au Nje ya mwili wako? Mbona hivyo vitu unatembea navyo kutwa nzima? Naomba fafanuzi hapo. Ukizingatia Definition ya Uchafu ni kitu gani, Mm naona wanaofanya ivo hawajakosea lolote. Lakini, eti nikuulize; kinachokupeleka ww kwenye nyumba za watu hata ukayajue hayo ni nn? Acha Wafu wazike wafu wao.

Uchafu ni kitu kilichotoka mwilini
 
Vipi kuhusu zile juisi zinazouzwa kwa kutumia chupa za plastic zilizookotwa,kuna usalama humo?
Ni hatari mno-mno. Hakuna Usalama kabisa. Kama hazichemshwi(Hizo chupa) na kusafishwa kwa umakini wa hali ya juu, tusishangae kushamiri kwa magonjwa e.g. Typhoid, UTI, Kuhara & Kuhara damu, Minyoo, TB. n.k. kwani hujui hali ya Ki-Afya ya mtu aliyeitumia kwa mara ya mwisho.
 
Uchafu ni kitu kilichotoka mwilini
Sidhani kama ni sahihi sana Mkuu. Mbona yale malundo yanayosombwa kwa magari kando ya barabara hayatoki mwilini? Mm nadhani Uchafu ni kitu chochote kilicho mahali paipokuwa sahihi na kinakera au hakipendezi macho na kinatia kinyaa. (Wapo Wataalam wa Afya na wadau watafafanua zaidi maana ya Uchafu).
Kwa mantiki hiyo, ww unaweza kuwa ni Uchafu ukikaa mahali pasipo sahihi na hupendezi na Watu wakapata kinyaa na kukereka wanapokuona. e.g. Unakwenda kuketi ndani ya sufuria ya chakula wakati huo watu waliopo wanasubiri hicho chakula kipakuliwe ili wakile kwa afya zao ā˜¹ļø. Unaweza kuchezea kichapo.
 
kwema Wakuu!

Tuachane na mambo ya Ukraine na Urusi.
Leo sitaki kupotezea muda watu.

Moja ya mambo yaliyonishangaza tangu nilipotoka nyumbani miaka 10 iliyopita ni kuona wakazi wengi kuwa na tabia ya kukojolea kwenye makopo au ndoo nyakati za usiku.

Hivi inakuwaje mtu alale na Mikojo wakati haumwi?
Ni uvivu wa kutoka nje usiku au ni Woga?

Kinachoshangaza zaidi ni kuona tabia hii ipo mpaka Kwa wanaume. Hivi mwanaume mzima unakojolea kwenye kopo au ndoo kweli badala ya kutoka nje na kujisaidia chooni.

Unakuta mtu kaoa kabisa alafu yeye na Mke wake wanakojolea kwenye ndoo au kopo. Kwa kweli hili sio uungwana Kabisa.

Halafu ndoo hiyo hiyo ati mtu anaogea au kufuliašŸ˜€šŸ˜€ hii kuna uchafu zaidi ya huu? Ukimuuliza atakwambia ati ndoo ameiosha, upuuzi mtupu.

Uchunguzi huu unawahusu zaidi Wale wenye nyumba za kupanga ambazo sio Self-container, isipokuwa Choo kipo Kwa nje kimejitenga.

Pia baadhi ya wenye nyumba ambao vyoo vyao vipo Kwa nje.

Ushauri wangu, unapoenda ugenini kusalimia uwe Makini sana, unaweza ukadhani unaoga kumbe unajipaka mikojo ya watu japokuwa watakuambia wanaisafisha hiyo ndoo.

Mikojo na mavi no uchafu, ni najisi, watu lazima muwe wasafi bhana sio muwe Kama majini.

Wito: wenye tabia hii nawasihi mubadilike, acheni kukojolea kwenye makopo au ndoo, alafu ndoo hizohizo mnaogea na kufulia nguo. Huo ni UCHAFU.

Jumapili njema.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Buza, Dar es salaam
Au washauri wanunue jaba special kwa ajili hiyo tu
 
Mnaishi maisha ya kimasikini sana lakini mtu akikuta uko sehemu umekaa umechongoa mdomo kuwasema watu utafikili umejitosheleza kwa kila kitu.....
Nimepitia hayo maisha mkuu,kwa sasa sipo huko. Halafu hii tabia haina uhusiano wowote na umasikini.
 
South Africa mpaka kunya wanakunya kwenye Mabeseni,Mnashangaa Bongo.
 
Mh, sikubaliani na hilo kwani watoto huziokota na kuweka maji humo ama ni ya kupeleka shuleni kumwagilia maua au kuchezea - lakini mwisho wa siku hufikishwa kinywani! Nashauri mwenye chupa hiyo awe mtaarabu na kuitupa kwenye mapipa ya taka au mahali panapofaa au aiharibu kwa kuitoboa-toboa.
Vipi kuhusu zile juisi zinazouzwa kwa kutumia chupa za plastic zilizookotwa,kuna usalama humo?
Ni hatari mno-mno. Hakuna Usalama kabisa. Kama hazichemshwi(Hizo chupa) na kusafishwa kwa umakini wa hali ya juu, tusishangae kushamiri kwa magonjwa e.g. Typhoid, UTI, Kuhara & Kuhara damu, Minyoo, TB. n.k. kwani hujui hali ya Ki-Afya ya mtu aliyeitumia kwa mara ya mwisho.
Ni hatare na nusu!
 
Back
Top Bottom