Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #141
South Africa mpaka kunya wanakunya kwenye Mabeseni,Mnashangaa Bongo.
🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
South Africa mpaka kunya wanakunya kwenye Mabeseni,Mnashangaa Bongo.
Hata huku Mikoani wapo wanaotumia /waliokuwa wanatumia ile mifuko ya plastic mieusi/myeusi (nisahihisheni kiswahili) iliyopigwa marufuku kwa haja kubwa halafu asubuhi na mapema wanawahi kuitupa. Anaeshangaa Namshangaa sana kwani hicho ni kitu cha kawaida mno.South Africa mpaka kunya wanakunya kwenye Mabeseni,Mnashangaa Bongo.
Wacha uongoSouth Africa mpaka kunya wanakunya kwenye Mabeseni,Mnashangaa Bongo.
Kama mwanaume huna kitu.,lazima la kusafisha kopo likuhusu.
Tutafute hela ndg zng,,tusije kususiwa kopo la mkojo,,,na kinyesi kila asubuhi..
Pesa ni tatizoUkienda ugenini lala guest kuwapunguzia watu usumbufu na wewe kuepukana na kuogea ndoo za mikojo.
Kitendo cha kujisaidia haja ndogo holela bila kujilinda na mikojo....! Bila kunawa.....!kwema Wakuu!
Tuachane na mambo ya Ukraine na Urusi.
Leo sitaki kupotezea muda watu.
Moja ya mambo yaliyonishangaza tangu nilipotoka nyumbani miaka 10 iliyopita ni kuona wakazi wengi kuwa na tabia ya kukojolea kwenye makopo au ndoo nyakati za usiku.
Hivi inakuwaje mtu alale na Mikojo wakati haumwi?
Ni uvivu wa kutoka nje usiku au ni Woga?
Kinachoshangaza zaidi ni kuona tabia hii ipo mpaka Kwa wanaume. Hivi mwanaume mzima unakojolea kwenye kopo au ndoo kweli badala ya kutoka nje na kujisaidia chooni.
Unakuta mtu kaoa kabisa alafu yeye na Mke wake wanakojolea kwenye ndoo au kopo. Kwa kweli hili sio uungwana Kabisa.
Halafu ndoo hiyo hiyo ati mtu anaogea au kufulia[emoji3][emoji3] hii kuna uchafu zaidi ya huu? Ukimuuliza atakwambia ati ndoo ameiosha, upuuzi mtupu.
Uchunguzi huu unawahusu zaidi Wale wenye nyumba za kupanga ambazo sio Self-container, isipokuwa Choo kipo Kwa nje kimejitenga.
Pia baadhi ya wenye nyumba ambao vyoo vyao vipo Kwa nje.
Ushauri wangu, unapoenda ugenini kusalimia uwe Makini sana, unaweza ukadhani unaoga kumbe unajipaka mikojo ya watu japokuwa watakuambia wanaisafisha hiyo ndoo.
Mikojo na mavi no uchafu, ni najisi, watu lazima muwe wasafi bhana sio muwe Kama majini.
Wito: wenye tabia hii nawasihi mubadilike, acheni kukojolea kwenye makopo au ndoo, alafu ndoo hizohizo mnaogea na kufulia nguo. Huo ni UCHAFU.
Jumapili njema.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Buza, Dar es salaam
Tembea uoneWacha uongo