Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #101
Mnaishi maisha ya kimasikini sana lakini mtu akikuta uko sehemu umekaa umechongoa mdomo kuwasema watu utafikili umejitosheleza kwa kila kitu.....
😀😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnaishi maisha ya kimasikini sana lakini mtu akikuta uko sehemu umekaa umechongoa mdomo kuwasema watu utafikili umejitosheleza kwa kila kitu.....
Tatizo nyumba moja ina vyumba 7+vibanda vya uani 5,choo kimoja hapo unategemea nini?Tatizo kubwa ni upatikanaji wa maji tiririka ndiyo kunafanya wengi wasijenge nyumba self contained.
Choo mita 100?ni uvivu
unakuta ni 'banda la uani', choo kipo mita 100 uko
mi nilikua natumia chupa za 'sayona', siyo kopo
Hizi nyumba za “you face me I face you” zilitakiwa kuwa na Indian Toilets tatu na shower rooms tatu au nne. Yake maisha ni zaidi ya maisha ya hostel.Tatizo nyumba moja ina vyumba 7+vibanda vya uani 5,choo kimoja hapo unategemea nini?
Je mtu akishikwa na tumbo
Ova
Asante kwa kusema 'contained' wengi wetu humu wamelemaa sana wanasema 'container'. Kinge kinatutesa Watanzania wengi.Tatizo kubwa ni upatikanaji wa maji tiririka ndiyo kunafanya wengi wasijenge nyumba self contained.
Walipojenga zamani idadi ya watu haikuwa kubwa,sasa sahv familia nzima inalala kwenye chumba kimojaHizi nyumba za “you face me I face you” zilitakiwa kuwa na Indian Toilets tatu na shower rooms tatu au nne. Yake maisha ni zaidi ya maisha ya hostel.
We jamaa nimekumaindi ya leo kali kunguru kanyea ugali😅kwema Wakuu!
Tuachane na mambo ya Ukraine na Urusi.
Leo sitaki kupotezea muda watu.
Moja ya mambo yaliyonishangaza tangu nilipotoka nyumbani miaka 10 iliyopita ni kuona wakazi wengi kuwa na tabia ya kukojolea kwenye makopo au ndoo nyakati za usiku.
Hivi inakuwaje mtu alale na Mikojo wakati haumwi?
Ni uvivu wa kutoka nje usiku au ni Woga?
Kinachoshangaza zaidi ni kuona tabia hii ipo mpaka Kwa wanaume. Hivi mwanaume mzima unakojolea kwenye kopo au ndoo kweli badala ya kutoka nje na kujisaidia chooni.
Unakuta mtu kaoa kabisa alafu yeye na Mke wake wanakojolea kwenye ndoo au kopo. Kwa kweli hili sio uungwana Kabisa.
Halafu ndoo hiyo hiyo ati mtu anaogea au kufulia😀😀 hii kuna uchafu zaidi ya huu? Ukimuuliza atakwambia ati ndoo ameiosha, upuuzi mtupu.
Uchunguzi huu unawahusu zaidi Wale wenye nyumba za kupanga ambazo sio Self-container, isipokuwa Choo kipo Kwa nje kimejitenga.
Pia baadhi ya wenye nyumba ambao vyoo vyao vipo Kwa nje.
Ushauri wangu, unapoenda ugenini kusalimia uwe Makini sana, unaweza ukadhani unaoga kumbe unajipaka mikojo ya watu japokuwa watakuambia wanaisafisha hiyo ndoo.
Mikojo na mavi no uchafu, ni najisi, watu lazima muwe wasafi bhana sio muwe Kama majini.
Wito: wenye tabia hii nawasihi mubadilike, acheni kukojolea kwenye makopo au ndoo, alafu ndoo hizohizo mnaogea na kufulia nguo. Huo ni UCHAFU.
Jumapili njema.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Buza, Dar es salaam
Chupa za Uhai, Hill water na Pangani zimetumika sana kumsitiri mwamba😅 muda naolala sipendagi tabu ndogo ndogo!haha ilikua kitambo,
chupa kadhaa ivi, ikijaa hii, unahamie ile
Kama kukaa na haja ni ugonjwa wa akili basi wote tu wagonjwa wa akili! We mbona unatembea na Mah.Vee full time umeyabebebelea kwenye utumbo mkuu😅😅😅 af unajiona una akili sana?Huo ni moja ya magonjwa ya akili,mtu aliyetimamu hawezi kukojoa kwenye kopo au ndoo,halafu akae na huo uchafu mpaka asubuhi aende kuumwaga,kuwa na ugonjwa wa akili siyo kuokota vitu jalalani tu au kukimbia ovyo barabarani bila nguo,
La hasha,yapo matatizo mengine yanaweza yakamkuta mtu yanayosababishwa na akili kuwa ngonjwa,moja wapo ni hili la kujisaidia kwenye makopo na ndoo.
hahahaha noma sana, zinasev kinomaChupa za Uhai, Hill water na Pangani zimetumika sana kumsitiri mwamba😅 muda naolala sipendagi tabu ndogo ndogo!
Hii kumbe siko mwenyewe😅hahahaha noma sana, zinasev kinoma
Hahahahahah ni noma yani! Matundu mawili ya choo wapangaji 12😂 af vyoo vya kupangiana zamu kuosha!Tatizo nyumba moja ina vyumba 7+vibanda vya uani 5,choo kimoja hapo unategemea nini?
Je mtu akishikwa na tumbo
Ova
kasahau kwamba bladder ya mkojo anatembea nayo imejaa ammoniaKama kukaa na haja ni ugonjwa wa akili basi wote tu wagonjwa wa akili! We mbona unatembea na Mah.Vee full time umeyabebebelea kwenye utumbo mkuu😅😅😅 af unajiona una akili sana?
Halafu anataka kujifanya yeye Genius wanaohifadhi haja wapuuzi!😅kasahau kwamba bladder ya mkojo anatembea nayo imejaa ammonia
colon nzima limejaa 'nya' na anatembea nayo
Tatizo kubwa ni upatikanaji wa maji tiririka ndiyo kunafanya wengi wasijenge nyumba self contained.
Long time enzi za ubeach boy nlipanga chumba moja national housing zile mara nying kujisaidia kuoga nlikuwa nakwenda nyumba za jiraniHizi nyumba za “you face me I face you” zilitakiwa kuwa na Indian Toilets tatu na shower rooms tatu au nne. Yake maisha ni zaidi ya maisha ya hostel.
Ni kweli, ni ujinga sana.Alafu sasa cha ajabu ni kwamba sio kwamba choo kilipo labda ni nje kabisa kwamba mtu anaogopa,, yaan unakuta nyumba imezungushiwa ukuta choo kipo uwani tu mtu anakojoa ndani alafu ni mwanume!!
Hii tabia ni ya kijinga mno
Hahahahahah ni noma yani! Matundu mawili ya choo wapangaji 12😂 af vyoo vya kupangiana zamu kuosha!