Uchunguzi; Watanzania wengi hujisaidia haja ndogo kwenye makopo usiku

South Africa mpaka kunya wanakunya kwenye Mabeseni,Mnashangaa Bongo.
Hata huku Mikoani wapo wanaotumia /waliokuwa wanatumia ile mifuko ya plastic mieusi/myeusi (nisahihisheni kiswahili) iliyopigwa marufuku kwa haja kubwa halafu asubuhi na mapema wanawahi kuitupa. Anaeshangaa Namshangaa sana kwani hicho ni kitu cha kawaida mno.
 
Kama mwanaume huna kitu.,lazima la kusafisha kopo likuhusu.

Tutafute hela ndg zng,,tusije kususiwa kopo la mkojo,,,na kinyesi kila asubuhi..
 
Hivi kama mtu akishusha mzigo wa uharisho kwenye sufuria,

Na hizi nyumba zetu zisizo na Dari hivi hakuna usumbufu wowote kweli wa hewa?kwa vyumba vya jirani?

Nimewaza tu.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kitendo cha kujisaidia haja ndogo holela bila kujilinda na mikojo....! Bila kunawa.....!

Imeelezwa katika mafundisho ya kiislamu kuwa ni moja ya sababu zitakazomfanya maiti kuadhibiwa ndani ya kaburi lake

"Hii ni kwa mafundisho ya Quran na sunnah"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…