Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 6,346
- 14,546
Kuna kazi kule kigezo ungenge Vincenzo Jr alikutag😃😃😃Mimi jobless pro max 🤒
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna kazi kule kigezo ungenge Vincenzo Jr alikutag😃😃😃Mimi jobless pro max 🤒
Bayern uzoefu wa mashindano utawabeba sana, tusijisahaulishe hilo na bayern bado ni timu bora na tishio kwa arsenal. Kwenye hatua hii kinachohitajika ni matokeo mazuri tu hayo maswala ya kuuchezea mpira alafu utoke hayana maana.Mimi nawataka Bayern kwasababu naamini hawa watatupa Arsenal nafasi ya kuucheza mpira wetu, hapatakuwa na fouls nyingi, game mbili zitakuwa tamu balaa...
Tutaona mengi siku ya game mkuu🤣Uto. Bhana😃😃kila nikiangalia ile clip ya mwaisa ni kucheka tuu
Kwel kabisaa na akipigwa dar imeisha hiyo kule down hawa jamaa hawafaiTutaona mengi siku ya game mkuu🤣
msimu huu arsenal asipochukua ndoo, basi tusubiri baada ya yesu kurudi labda.Arsenal hakuna timu ya kututisha sasa hivi, yeyote aje tu.
kwa kauli yako hii ya kusema Arsenal hii ni balaa kuliko Arsenal ya kina Denis Bergkamp na Viera ilyobeba ubigwa wa ligi 2003/2004 bila shaka wew kijana mdogo sanaHii Arsenal ya sasa hivi inacheza kitimu sana, haimtegemei individual kama enzi hizo za kina Henry, kwa maana hiyo hii Arsenal ya sasa ndio balaa zaidi, kama ikitokea wakabeba hiyo ndoo sitashangaa..
Unaizungumzia Bayern ya miaka iliyopita, simply Bayern ya msimu huu sio wazuri hata wao wanajua hilo, na mpira sio historia.. mpira ni current form, kama utazungumzia current form Arsenal yuko juu ya Bayern, top of EPL, wakati Bayern kaachwa ten points na Beyer Leverkusen.Bayern uzoefu wa mashindano utawabeba sana, tusijisahaulishe hilo na bayern bado ni timu bora na tishio kwa arsenal. Kwenye hatua hii kinachohitajika ni matokeo mazuri tu hayo maswala ya kuuchezea mpira alafu utoke hayana maana.
Arsenal ya sasa inaupiga mwingi, huu ndio ukweli, hata suala la unbeaten kwa sasa usilete kwasababu ushindani ni mkubwa tofauti na miaka ile, leo hii hata timu ya mwisho kwenye msimamo inaweza pata magoli Anfield, Etihad au Emirates.kwa kauli yako hii ya kusema Arsenal hii ni balaa kuliko Arsenal ya kina Denis Bergkamp na Viera ilyobeba ubigwa wa ligi 2003/2004 bila shaka wew kijana mdogo sana
Mimi na ungenge wapi na wapi 🤓🤓Kuna kazi kule kigezo ungenge Vincenzo Jr alikutag😃😃😃
Mkuu usinichekeshe, nafasi aliyopo bayern kwa ligi yao sio ya kubeza kabisa. Sisi nafasi tuliyopo tunatofautiana point ngapi na anaetufuatia? Msimu uliopita ilikuaje kwetu?Unaizungumzia Bayern ya miaka iliyopita, simply Bayern ya msimu huu sio wazuri hata wao wanajua hilo, na mpira sio historia.. mpira ni current form, kama utazungumzia current form Arsenal yuko juu ya Bayern, top of EPL, wakati Bayern kaachwa ten points na Beyer Leverkusen.
Heshima unayowapa Bayern ni kwasababu ya miaka ya nyuma, mfano pale walipotutoa mara mbili mfululizo tukiwa wabovu kabisa enzi za Wenger.
Mkuu hujapatia hata mojaBarcelona vs Arsenal
Manchester city vs PSG
Bayern Munich vs Atletico Madrid
Borussia vs Real Madrid
Safari Man City hachomokiCity akikutana na Madrid kwenye raundi hii itapendeza sana
Kile kile cha movie kaka 😃Mimi na ungenge wapi na wapi 🤓🤓
Natamani sana PSG ichukue uefaFinal itakuwa PSG na Madrid
Ukizingatia wakati huo Kingsley Coman na Serge Jinabry watakuwa wameshapona.Mkuu usinichekeshe, nafasi aliyopo bayern kwa ligi yao sio ya kubeza kabisa. Sisi nafasi tuliyopo tunatofautiana point ngapi na anaetufuatia? Msimu uliopita ilikuaje kwetu?
Bayern kwenye ligi ameshajikatia tamaa ila sio huku kwenye UEFA, timu ambayo aggregate iliwahi kusoma 10 goals sio ya kuichukulia poa ata kama inapitia kipindi kigumu.
Arsenal tuna mlima wa kupanda kuitoa bayern, kwangu uwezi nishawishi niamini kuwa atletico ni mgumu kuliko bayern.
Labda kama wewe sio mtu wa mpira ndio utashangaa hilo. Hata Yanga iliyokuwa bora, haikamatiki ilifungwa na Ihefu.porto tu kakutoa jasho sembuse hao wengine 😂😂
Sidhani jinsi walivyocheza na liver wakadraw primier league wameshuka sanaCity bingwa