Ufafanuzi kuhusu shambulio la gari la watumishi wa TRA eneo la Tegeta, Dar es Salaam

Nadhani Tuishie Hapa
 
Hatari, watu wameanza kuhamka kujitetea, hatari kubwa inakuja mbeleni
 
Poleni sana watumishi wa umma
Kazi za ku enforce compliance ya sheria zina madhira yake. Kikubwa ni kuwa na tahadhari wakati wote mnapoteleleza jukumu hilo
 
Unajua watu wengi wanajua TRA ni makadirio tu ya biashara, saa 12 jioni wamefunga ofisi.

Kumbe kuna upande mwingine wana deal hadi na magendo na wanakesha, ila kwa escort ya vyombo vya usalama. Kama hawakuwa na polisi basi wamejitakia, pole yao.
Magendo yapo kibao hapa Nyamisati na mpaka Mkuu wa TRA wa Mkoa na Wilaya nilishawapa taarifa,na hata dii.es.oo anajua hiki,ila hakuna kitu kimefanyika.
 
Flexible and anti smuggling unit hao... FAST

Wana operate kama Askari kamili na wana maeneo yao ya kushikilia watu/vitu. Ni kitengo kipo ndani ya TRA.
 
Yaani hawa watu wa serikali are not coordinated.Mi nilijua gari halina usajili ,kumbe linalo tena namba D haya tuseme hiyo namba sio ,je kulikuwa hakuna namna nyingine ya kumkamata huyo mtu au gari mbona Trafic wanatukamata kiulaini tu ,tunabananishwa mataa hapo hufurukuti.Vijana wa watu wanashindwa kutumia busara ingawa sheria inaruhusu TRA kufanya hizo kazi but kwa kushirikiana na vyombo vya usalama.Rais si alisema akuna "task force " ya kodo eee au ninachoona kwa sasa nchi imekosa mwelekea kwenye usalama na soon "investor wataanza kuweka kama risky ya ku invest Tanzania .
 
Pole Sana Kwa ndugu zetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…