Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Hujui lolote kuhusu uzalendo wala kinachoendelea kunduchi beach na ununi na kawe. Nakushauri ufike hapo ujionee. Unanishauri kitu ninachokipna na kukijua kila siku?huo ni unafiki tu gentleman, ambao ni wa kupuuzwa,
mindset yako ina mawenge ya kuibiwa usichokua nacho.
nadhan unaelekea pabaya saikolojikali 🐒