Ufafanuzi na Mchanganuo Kuhusu Biashara ya Vipodozi na Urembo

Ndugu nami nahitaji sana kupata sehem ntapata bidhas kwa bei nzuri, naifanya hii biashara kwa zaidi ya miezi sita ila tatizo sijapata sehem nayoweza kupata mzigo kwa bei nzuri, pls assist ..[emoji120][emoji120][emoji120]
Vipi kwa uzoefu wako hiyo miezi 6 umeionaje changamoto,faida,hasara nk

unaweza kushare na sisi tukajifunza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…