JumaKilumbi
JF-Expert Member
- Sep 7, 2022
- 432
- 507
- Thread starter
-
- #61
Pole kwa kukwazika, ila sikuwa na neno zuri zaidi kueleza upumbavu ulio kwenye maswali yako yale.Rais haendi kusali wala kuswali. Anapokuwa na dini tayari Huyo ni Samia. Mbali ya lugha yako mbovu lakini umeshindwa kufafanua ulimaakisha nini.
kanisa ni sehem ya kufanyia hafla ? mnafanyiaga hafla msikitin ? tangu nmekua sijawao ona hafla kanisaniNaona binafsi hakuna tatizo coz kwanza ijumaa hyo sio siku ya ibada kama sijakosea !!(kama ni wrong mniambie) basi kukaa hapo hakuna tatizo lolote maana imekuwa kama siku ya hafla kama siku ya kufungisha ndoa tu hutumika kama emergency na occasional events ,ingekuwa siku ya ibada kama kawaida ingekuwa tofauti.
Hata sisi swala ya maiti tunaswali random sio katika utaratibu wa kawaida ,hata ishu ya kufungisha ndoa ndo maana siku iyo mtu yeyote anaweza kuingia hata mpiga picha.
Vizuri sana mkuu, sasa ni hiviHaina mantiki hii.
Nilikuwa na sali ST Peter's Oyster Bay J2 na kila siku ya wiki na Mwl. Julius Kambarage. Katu sikuwahi kuona akiwa na kiti chake ila ilikuwa inatengwa benchi mbili za mbele ndio anakaa na mlizi wake Nyumba.
Hii ya Sasa ni hadithi !!
duh hii ccm ya akina kikwete na kinana na huyu mpaka wanja wameingia ccm , enz za mkapa ?wavaa kobaz mna ttzo la kiakil ndo mlikuwa mnasema nchi inaendeshwa kikafir wkt rais alikuwa kikwete [emoji16]Samahani mkuu kwa kujua hili! Sina maana mbaya ila tambua lazima nyerere aenziwe kanisani kwa vile ndie aliyeupigania vita ukatoliki hapa Tanzania mpaka ukasambaa kila kona ..sina maana mbaya ila nakupa sababu tu..
Sijaongelea kwa chuki naona una chuki kweny kifua chakoduh hii ccm ya akina kikwete na kinana na huyu mpaka wanja wameingia ccm , enz za mkapa ?wavaa kobaz mna ttzo la kiakil ndo mlikuwa mnasema nchi inaendeshwa kikafir wkt rais alikuwa kikwete [emoji16]
Kile kiti si cha Samia, ni cha Rais.kwann aingie na kiti kanisan ndo kebehi ? je siku rais mkristu akiingia na kapeti yake msikitin akaa pekee yake , je waislam mtamuelewaj ?
DHARAU NDO HOJA , WAVAA KOBAZ WANAFURAI ILA HAWAJUI KESHO ITAKUWA ZAMU YAO , BADALA YA KUKEMEA TABIA HII WAO WANAFURAI., NAKUMBUKA HUKO.AFRIKA YA KATI TOFAUT ZAO ZILIANZA HV HV VITU VDG ILA VINAZAA TOFAUT KUBWANi dharau tu, na mbwembwe za sisi Wakristo. Upande wa pili, likifika suala la imani, wote huwa sawa.
Nakumbuka mwili wa Hayati, DR Omari Juma (Makamu wa Rais) ulipofika Zanzibar, uliingizwa msikitini ukiwa kwenye (sjui jina lake kamili) lile kama machela, lililokuwa linatumiwa na watu wengine. Likafunikwa na kama shuka hivi, likiwa limechakaa, na limetoboka toboka
Hapa, nimetolea mfano wa wenzetu Waislamu, kwenye ibada hawana ubaguzi, wala cheo chako!
😂😂😂😂Ndoa na kumuombea maiti hufanyika wapi? Kipaimara sijui nn yapo mambo kibao yanfanyika punguza chuki njoo kweny logic tutaelewana ..mpaka sherehe za mwka mpya mkesha unafanyika kanisani ninapokaa Kuna makanisa matatu najua yote, haya bishakanisa ni sehem ya kufanyia hafla ? mnafanyiaga hafla msikitin ? tangu nmekua sijawao ona hafla kanisani
Mkuu ungejibu swali kwanzaunahisi kanisan ni sehem ya kuhutunia taifa au kupiga kampen ? wazee wa buku 2 za lumumb akil zenu ni kisoda , swala la kuingia kanisan / msikitin hupasw kuleta taratib zako za kidunia lzm uheshimu taratib za nyumba husika ya ibada
Umesema kitu ambacho ni cha uongo, raisi kuingia na kiti au kukalia bench ni uamuzi wake wala hakuna mahusiano na unayosema. Na sioni issue aingie na kiti au akalie bench. Ameshawahi kuingia kanisani na kukaa kwenye mabenchNdiyo, sote tunajua athari za kuvunja taratibu za kidini
Fikiria, Rais Samia si ni Muislam? Vipi angeamuru kanisa libadili utaratibu kwa siku moja badala ya viti wamuwekee kapeti yeye akae.
Ila kwa kuheshimu hilo kiti hakikuharibu chochote Mkuu.
Tofauti ya viti vilivyokuwepo na cha Rais ni ile nembo na heshima inachobeba.
Binafsi sikutaka mjadala kama haujaridhia basi Haina kubishana 🙏🙏Nmaona hakuna haja ya kuendelea na mjadala katika muelekeo huu, nikuache kama ulivyo, nitoe nafasi kwa wengine kutoa maoni yao kwa kulingana na kiini cha uzi. Uwe na wakati mwema.
Naona kama unahisi mi nataka mjadala kasome historia ya ukatoliki Tanzania utajua.Utueleze hapa, amepambania kwa namna gani kabla ya kipindi hicho kiasi cha kupelekea ukatoliki kuenea kila kona kama ulivoainisha hapo juu.
Umetoka nje ya Muktadha, Kiti kimeharibu utaratibu gani wa kanisa?dah kuna watu shule hazijawakomboa kbs , ndan ya kanisa au msiki lzm ufuate taratib za sehem husika maana kanisan ni sehem ya ibada tu , narudia tena ni sehem ya ibada tu , HAKUNA SIASA KULE , kuingiza uraisi ni kuingiza SIASA ndan ya nyumba ya ibada , hao viongoz wa kanisa wanaogopa ila wakipewa fursa wanamchana vzr tu SHS kuwa kazingua , SIASA NI UONGO/UDANGANYI /UNYANG'ANYI etc huez ingiza siasa kweny nyumba za dini , unaeza karibishwa ila ukaingia km mtu wa kawaida na ukipewa fursa ndo unaongea
Kama ni msemaji wa raisi jitambulishe, vinginevyo huna mamlaka ya kufanya haya unayoyafanya.Na Jumakilumbi,
15.10.2022
Kile kilichotokea siku ya tarehe 14/10/2022, huko Kagera siku kumbukizi ya miaka 23 tangu alipotutoka Mzee wetu na Mkombozi wetu Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kimezua mjadala mzito kwa waumini wa dini ya kikristo na wakosoaji wa serikali na Rais Samia, hapa nimekusudia kutoa ufafanuzi mfupi wa kitendo kile.
UFAFANUZI
Kiti cha rais ni nembo ya mamlaka ya Rais, mahali popote nchini awapo kwa shughuli rasmi ya kiserikali kiti chake huwepo kuashiria urasmi wa shughuli hiyo.
Kabla ya yote jambo mambo kadhaa lazima tuyaelewe na tuyakubali
* Rais Samia ni Muislam, lakini ni rais wa waTanzania wote.
* Rais huvaa kofia nyingi, ni M/kiti wa CCM, Rais wa Nchi, Muislam (binafsi yake), ni Mke (kwa mumewe) na ni Mama (kwa wanawe).
Shughuli ile ilimlalizimu kuingia kanisani katika ibada ambapo yeye kama Muislam kanisani si mahala pake pa ibada, ila yeye aliingia kwa kofia ya KIONGOZI WA NCHI, na hili lilibainishwa wazi kwa uwepo wa kiti chenye nembo ya bibi na Bwana.
Hivyo kuingia kwake na kiti chake kanisani haikuwa dharau kwa dini ya kikristo kama inavyotafsriwa na wakosoaji wake, bali ni ishara ya kofia aliyoingia nayo - Kofia ya Urais.
Maswali yaulizwayo mara kwa mara
1) Mbona Magufuli hakuingia na kiti Msikitini?
Misikitini hakuna viti, ila kuna makapeti… na kama kungekuwa na kapeti rasmi la Rais (lenye nembo ya bibi na bwana) nina hakika angeingia nalo kuonesha kofia aliyoingia nayo
2) Mbona Magufuli hakuingia na kiti Kanisani?
Hayati alikuwa Mkristo, hivyo aliingia kanisani kwa kofia yake binafsi kama Mkristo na si kama Rais.
3) Mbona Rais Samia hakuingia na kiti Msikitini?
Kwakuwa yeye ni Muislam, aliingia Msikitini kwa kofia ya Uislamu wake.
Pia Misikitini hakuna viti, ila kuna makapeti. Kama kungekuwa na kapeti rasmi ya Rais bila shaka angeingia nalo.
3) Mbona Makamu wa Rais Dr. Mpango hakukalia kiti kama cha Rais?
Kiprotokali hatuna kiti rasmi chenye nembo ya kimamlaka kwaajili ya Makamu wa Rais, ila kingekuwepo angeingia nacho.
Pia Dr. Mpango ni Mkristo, ameingia kwa kofia ya Ukristo wake.
NB: Haya ni maoni yangu Binafsi na ninawajibika kwayo.
View attachment 2387854
misikit ndo inaanza kuingia huko bara ndan ndan ila babu yangu mkubwa kwa Nyerere alikuwa rc na ukoo wao wote walikuwa rc , waislam misikitin mnadanganya sana , mlikuwa hamjasoma na mlitaka muwepo kwenye serikali , tena Nyerere ndo kawalea sana waislam na ndio kawaingiza sana kwenye system ili atawale kwa muda mrefu maana waislam wengi km akina Kawawa walikuwa kichwan zero darasa la 3 huku mtu pekee mbantu kbs mwenye rank ya Sir George Kahama na wasomi wengine wakristu km akina Kambona ( nimepata bahat ya kuongea na huyu mzee , mjukuu wake nmekua nae ) wakipelekwa ubalozin nje wasiwepo nchin wasije pata ushawish wakamtoa Nyerere madarakan , WAVAA KOBAZ MUHESHIMUN SANA NYERERE MAANA SOKOINE / KAMBONA HAKUWA ANA SHOBO NA WAVAA KOBAZ , KIPO KIPIND WALILALAMIKA KAMA WW AKAWAOMBA WAFANYE SENSA YA WAFANYAKAZ WA NGAZ YA JUU WALIKUKA KUMKUTA YEYE NA SIR GEORGE KAHAMA NDO RC WENGINE WOTE DINI NA MADHEHEB MENGINENyerere amepambania ukatoliki kabla ya hapo elewe hiyo inatambulika na mchango wake ni mkubwa sana huku kuenziwa Haina shida .
kwahiyo ishakuwa rasmi kuingia na viti hata msikitin kisa yapo magar yanabeba hiko kiti , si ndio ?Huwa kuna gari maalum la kubeba viti na carpets
Vizuri mkuu, kwakuwa aliwahi ingia na kukaa kwenye benchi je inatosha kusema safari hii kafanya dharau?Umesema kitu ambacho ni cha uongo, raisi kuingia na kiti au kukalia bench ni uamuzi wake wala hakuna mahusiano na unayosema. Na sioni issue aingie na kiti au akalie bench. Ameshawahi kuingia kanisani na kukaa kwenye mabench
Picha chini hapa akiwa kanisani kwenye bench
View attachment 2388219
Chuki za nn ?😂😂😂uliulizwa babu yako kakudanganya kabisa hakuna kitu kma hata mfumo wa namba kwa nn uliletwa na kigoma malima mlikuwa mnafelisha waislamu ...na mitihani yenu ya kuiba mpaka leo nchi haijaendelea unajua kwa nn nyie hamna elimu Sema mmekaririmisikit ndo inaanza kuingia huko bara ndan ndan ila babu yangu mkubwa kwa Nyerere alikuwa rc na ukoo wao wote walikuwa rc , waislam misikitin mnadanganya sana , mlikuwa hamjasoma na mlitaka muwepo kwenye serikali , tena Nyerere ndo kawalea sana waislam na ndio kawaingiza sana kwenye system ili atawale kwa muda mrefu maana waislam wengi km akina Kawawa walikuwa kichwan zero darasa la 3 huku mtu pekee mbantu kbs mwenye rank ya Sir George Kahama na wasomi wengine wakristu km akina Kambona ( nimepata bahat ya kuongea na huyu mzee , mjukuu wake nmekua nae ) wakipelekwa ubalozin nje wasiwepo nchin wasije pata ushawish wakamtoa Nyerere madarakan , WAVAA KOBAZ MUHESHIMUN SANA NYERERE MAANA SOKOINE / KAMBONA HAKUWA ANA SHOBO NA WAVAA KOBAZ , KIPO KIPIND WALILALAMIKA KAMA WW AKAWAOMBA WAFANYE SENSA YA WAFANYAKAZ WA NGAZ YA JUU WALIKUKA KUMKUTA YEYE NA SIR GEORGE KAHAMA NDO RC WENGINE WOTE DINI NA MADHEHEB MENGINE
Unafahamu nini kuhusu Uhuru wa kujieleza bila kuvunja sheria?Kama ni msemaji wa raisi jitambulishe, vinginevyo huna mamlaka ya kufanya haya unayoyafanya.
Umeelewa nilichoandika? Mimi kwangu sioni issue yoyote aingie na kiti au akalie bench. Ila ninakataa hizi sababu zako kwa kuwa ameshawahi kuingia kanisani na kukalia bench Kama hapo nilivyokuonyesha kwenye picha.Vizuri mkuu, kwakuwa aliwahi ingia na kukaa kwenye benchi je inatosha kusema safari hii kafanya dharau?
Au unaielezeaje tafsiri ya kufanya hivyo?