Ufaransa: Serikali yazuia Wanafunzi kuvaa mavazi ya Abaya shuleni

Weka hizo aya za biblia bila kuongezea maneno yako.

Na wataoipinga ni Wafaransa Waislam na wapenda maadili. Usifikiri wafaransa wote wanapendezewa na ujinga wa serikali yao.
Serikali WAKIAMUA WAKATWE NYWELE, basi ni sahihi Kibiblia mi sina shida nao, WAKIAMUA waachie nywele, ni maamuzi Yao maana Maandiko yanasema Shetani ndo mkuu wa mfumo wote wa Ulimwengu huu, so sio shida zangu.

I think Muslims are minority pale Ufaransa, so nafikiri Wafaransa asilimia kubwa watakubali kwasababu ya tishio la Kigaidi kutoka kwa IS. Kama isingekuwa IS wanaotumia jina la "Mwenyezi Mungu" basi wasingeweka sheria hiyo, wanaihusisha Uislamu na Ugaidi. Nadhani wameangalia Kwa kigezo cha Usalama na kuogopa kwa Islamic radicalism inayoanza kuenea miongoni wa Islamic communities.
 
Kumbe hata biblia haiwataki mkae vichwa wazi, sasa mnawashadadia nini hao wanaopinga Ukristo na Uislam?
 
Hawa watu ni ajabu sana.

Saudi Arabia kule kusema habari za Ukristo waziwazi ni kosa ila hapo Ufaransa azana inapigwa wanaswali bila kificho.

Alafu Ufaransa Ina sovereignty yake, waache waamue mambo Yao wenyewe. Kila kitu udini.
Uislamu unataka kutawala dunia.
 
Kumbe hata biblia haiwataki mkae vichwa wazi, sasa mnawashadadia nini hao wanaopinga Ukristo na Uislam?
Ukitaka kukaa kichwa wazi kata nywele.
Unaleta hoja zako finyu unadhani Mimi ni Mkristo mjinga mjinga tu?
Nimesoma Maandiko kwa miaka mingi na kuirudiarudia mara kwa mara, yaani Mimi Muislamu yeyote akijaribu kuichafua Maandiko namvaa maana nafahamu Maandiko matakatifu, hayupo wa kunidanganya.
 
Wewe punguani hiyo hoja yangu finyu iko wapi?

Wewe una ujinga tu wa kuzaliwa nao. Hoja yangu hii, umeipinga nini sasa au imekukera nini:

Wapi biblia ilikufundisha ukae nusu uchi? Licha ya hijab kwa mwanamke, hata mwanamme biblia inamtaka avae kofia.

Bisha.
 
Wewe punguani sasa hapo unachokibishia nini katika nilichokiandika?

Ujinga ulete wewe ukurupuke kuita wenzako wajinga.

PPunguwani wahed.
 
Hapa ndio naamini uslam ni dini ya mapumbavu na waislam wote na majinga kama uislam ndio unafundisha hivi
Huo ujinga wa Uislam ni upi na unaulinganisha na ujanja upi?

Uislam ni mwema sana na ndiyo dini ya pekee kwa Mwenyezi Mungu.
 
Jinga kabisa .
Baada ya kuonyesha kuwa Biblia inaruhusu mwanamke kuwa na kichwa wazi Kwa kukatwa nywele zake umeshindwa hoja.

Unajifanya unajua maandiko kumbe ni jinga, akili yako ndogo na ubishi usiokuwa na sababu ila kwakuwa Yesu wa Biblia sio Isa bin Mariam haina haja ya kubishana na wewe na Kwa kuwa Mungu wa Biblia sio yule wa Qur'an, ni miungu miwili tofauti, hakuna haja ya kubishana na wewe. ELIYA, Musa , Daudi hawajawahi kutamka jina la Allah ila YHWH, so haina haja ya kubishana na wewe.


We serve two different Gods, The Islamic God is different from the God of Abraham, Isaac and Jacob.
 
Angalia hilo jinga la kiislam lilivyoandika hapo na wewe oia unasapoti?
Wewe punguani, hakuna ujinga wa Kiislam, huo ujinga unaulinganisha na ujanja upi? Huo wa kuandika na kuongea bila staha?

Uislam umekukosea nini?
 
There is Only one true God, YHWH, and Jesus Christ is His Last Messenger and The Way, The Truth and the Life, The Beloved Son Of God.

Christians don't need guns, bullets or pangas to fight for their faith because their God will avenge for them.
 
Wewe mpumbavu hiyo hoja niipinge mimi Muislam? Hiyo umeileta baada ya hoja yangu ya kwanza, wapi nilikwambia mwanamke awache kichwa wazi, pumbavu kabisa wewe.

Una akili wewe? Au unakurupuka huelewi unachokisoma? Nimekurudisha kwenye hooja yangu ya kwanza uliyokurupuka na kukukuuliza unachokipinga nini?

Sasa unabadili tena unaleta ya kichwa wazi, wapi nilipinga au nilisema mwanamke anaryhusiwa kukaa kichwa wazi?

Punguwani wahed.
 
Hahahaha Umekasirika baada ya kusema Mungu wa Musa ni tofauti na Mungu wa Qur'an?
Ni kweli, Mungu wa Musa, Yoshua, ELIYA na Yesu ni tofauti kabisa na Mungu wa Qur'an.

Yesu Kristo ni tofauti kabisa na Isa bin Mariam na pia Yesu ndo Mtume wa mwisho wa Mungu wa Biblia.

Narudia tena we serve two different Gods, ni kwasababu ya religious tolerance ndo maana viongozi wa dini wanaamua kusema Mungu mmoja ila sio kweli, Mungu wa Wakristo na Wayahudi wa Kale ni tofauti kabisa na Mungu wako.
 
Nabii Musa hakuwahi kumjua "Allah" ila alimjua YHWH kama Mungu wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…