HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Ile dini hawajielewi na wao ndo wamejaa uswahiliniHuku bongo vitoto vimefunika vichwa vyao kama bata mzinga.
Baadaye wakimaliza shule wanakuwa wacheza vigodoro
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ile dini hawajielewi na wao ndo wamejaa uswahiliniHuku bongo vitoto vimefunika vichwa vyao kama bata mzinga.
Baadaye wakimaliza shule wanakuwa wacheza vigodoro
Unapaswa wakati mwingine kutumia akili wewe bibi, maana unaposema wakristo wako wa madhehebu tofauti na kila mmoja wana utaratibu wao, sasa embu jaribu kutafuta dhebu kama , KKKT, Roma Catholic, Anglicana, TAG, Wasabato, alafu uone kama wanafanya huo ujinga unaojaribu kuwaaminisha watu hapa, ni sawa na kusema mambo anayofanya muumini wa kiislamu wa dhehebu la Suni, Shia, au hao wengine useme kuwa wanafanana,Hatuna kabisa, wenye haya ni wale wanaotembea nusu uchi, au siyo?
MCHUNGAJI:WANAWAKE MARUFUKU KUVAA CHUP* KANISANI
Mchungaji mmoja nchini Kenya amewaambia wanawake waumini wa kanisa lake waache kuvaa nguo za ndani wanapohudhuria ibada ili "mungu aweze kuwaingia vema na kwa urahisi"
Mchungaji huyo anaejulikana kwa jina Njohi wa kanisa la Lord's Propeller Redemption Church la Nairobi amesema hayo kwa wanawake wa kanisa hilo huku akiongezea kuwa kuingia kanisani bila nguo ya ndani kunasaidia mtu kuwa huru kimwili na kiroho ili kumpokea vema kristu kwa mujibu wa "Kenyan Dialy Post"
Pia amewaonya kuwa wafuate maagizo hayo kuepuka madhara watakayoyapata kama hawatafuata maagizo hayo.Lakini inaaminika kuwa maagizo hayo hawajapewa wanaume wa kanisa hilo.
Wanawake wa kanisa hilo wameanza kufuata maagizo hayo ya kuhudhuria ibada bila nguo za ndani na mchungaji amewambia wanawake hao kuwafuatilia mabinti zao kama nao wanafuatilia agizo hilo.
Kanisa hili liko eneo la Dandora mashariki mwa jiji la Nairobi.
Chanzo: MCHUNGAJI:WANAWAKE MARUFUKU KUVAA CHUP* KANISANI
Hii point yake ina mashiko haswa!Waziri wa Elimu, Gabriel Attal amesema "Unapoingia darasani hautakiwi kumtambua Mwanafunzi kwa imani yake ya dini kwa kumuangalia, nimeamua Abaya hazitavaliwa tena shuleni."[emoji419][emoji375]
nilikutana na kahaba mmoja kavaa kidini, ikafika muda fulani akavua hilo vazi akabaki na mavazi ya kikahaba nilibaki kushangaa nimekutana na mtu au jini?Ile dini huwa hawajielewi.
Wanavaa hivyo afu usiku wanajiuza
Kumbe we bibi ni empty! Hili suala ufaransa walipendekeza muda tu kabla hata hujapata uhuru wa kujibizana na wanaume.Safi sana, hasira za kukimbizwa Afrika Magharinbi na Waislam, Mfaransa anazitolea Ufaransa.
Utawatambua kwa matendo yao.Huku kwetu mara,suruali,mara hijabfupi,mara hijab ndefu,mara sketi ndefu,mara fupi
Wewe Bibi 2004 ,Ufaransa ilipiga marufuku hijab mashuleni.Safi sana, hasira za kukimbizwa Afrika Magharinbi na Waislam, Mfaransa anazitolea Ufaransa.
Hujataja mwaka taja mwaka kama humu wapo waseme ilikuwaje?Yaaah hazitakiwi kuvaliwa kabisa, nakumbuka advance pale Same Kuna watu waliadhibiwa Kwa kuvaa rozali na walimu wakristo wote waligwaya kuwaadhibu wale wanafunzi ndo akaja mwalimu mwislamu alikuwa anaitwa (sw*di) akawatandika
Waliosoma same mwaka ule wanakumbuka na waliokuwepo assemble
Kama hii ipo kwenye quran itakuwa imeibwa sehemu maana wazee wa kukopi na kupesti mko vizuri.Siku zote mti wenye matunda ndio hupigwa mawe
Wengi wako hivyo, ukitaka ona maajabu nenda uswahilini uone wanaofanya vituko dini ganinilikutana na kahaba mmoja kavaa kidini, ikafika muda fulani akavua hilo vazi akabaki na mavazi ya kikahaba nilibaki kushangaa nimekutana na mtu au jini?
Faiza Foxy kwa nini kila nyanja huachi kunasibisha uislam hapo? Ina maana hujui uislam ni imani kama ukomunisti, ujamaa na ubepari? Unafikiri uislam unaweza kushindana na ubepari? Mabepari yaligawana bara la afrika ufaransa ikajikuta inapata hayo makoloni yenye waislam. Waislam hawawezi kushindana na ubepari watashindwa vibaya sanaKule Berlin 1884 wwalipogawana keki juu ya meza si Muislam ndiyo alikuwa anaikatakata, au siyo?
Hivi Italy ilimuwakilisha nani kwenye ule mgao?
Wewe Bibi 2004 ,Ufaransa ilipiga marufuku hijab mashuleni.
Hao nao hawana tofauti na wale mnaowa-brain wash kwenye nyumba zenu za kuabudu mkiwaaminisha wakauwe watu wa dini tofauti na ya kwenu mkiwadanganya kwamba wakifika kwa alaah watapewa bikra 70+ na pombe!Hatuna kabisa, wenye haya ni wale wanaotembea nusu uchi, au siyo?
MCHUNGAJI:WANAWAKE MARUFUKU KUVAA CHUP* KANISANI
Mchungaji mmoja nchini Kenya amewaambia wanawake waumini wa kanisa lake waache kuvaa nguo za ndani wanapohudhuria ibada ili "mungu aweze kuwaingia vema na kwa urahisi"
Mchungaji huyo anaejulikana kwa jina Njohi wa kanisa la Lord's Propeller Redemption Church la Nairobi amesema hayo kwa wanawake wa kanisa hilo huku akiongezea kuwa kuingia kanisani bila nguo ya ndani kunasaidia mtu kuwa huru kimwili na kiroho ili kumpokea vema kristu kwa mujibu wa "Kenyan Dialy Post"
Pia amewaonya kuwa wafuate maagizo hayo kuepuka madhara watakayoyapata kama hawatafuata maagizo hayo.Lakini inaaminika kuwa maagizo hayo hawajapewa wanaume wa kanisa hilo.
Wanawake wa kanisa hilo wameanza kufuata maagizo hayo ya kuhudhuria ibada bila nguo za ndani na mchungaji amewambia wanawake hao kuwafuatilia mabinti zao kama nao wanafuatilia agizo hilo.
Kanisa hili liko eneo la Dandora mashariki mwa jiji la Nairobi.
Chanzo: MCHUNGAJI:WANAWAKE MARUFUKU KUVAA CHUP* KANISANI
Haya ndio mavazi gani mkuu? Weka picha.Wizara ya Elimu imetangaza kuwa Kanuni hiyo inatarajiwa kuanza kutumika Mwaka mpya wa masomo unaoanza Septemba 4, 2023 katika shule zote za Serikali.
Waziri wa Elimu, Gabriel Attal amesema "Unapoingia darasani hautakiwi kumtambua Mwanafunzi kwa imani yake ya dini kwa kumuangalia, nimeamua Abaya hazitavaliwa tena shuleni."
Aidha, Ufaransa imepiga marufuku alama za Kidini katika Shule n Majengo ya Serikali kwa maelezo kuwa zinakiuka Sheria.
####
France to ban female students from wearing abayas in state schools
Published
Students will be banned from wearing abaya, a loose-fitting full-length robe worn by some Muslim women, in France's state-run schools, the education minister has said.
The rule will be applied as soon as the new school year starts on 4 September.
France has a strict ban on religious signs in state schools and government buildings, arguing that they violate secular laws.
Wearing a headscarf has been banned since 2004 in state-run schools.
"When you walk into a classroom, you shouldn't be able to identify the pupils' religion just by looking at them," Education Minister Gabriel Attal told France's TF1 TV, adding: "I have decided that the abaya could no longer be worn in schools."
The move comes after months of debate over the wearing of abayas in French schools.
The garment has being increasingly worn in schools, leading to a political divide over them, with right-wing parties pushing for a ban while those on the left have voiced concerns for the rights of Muslim women and girls.
"Secularism means the freedom to emancipate oneself through school," Mr Attal told TF1, arguing the abaya is "a religious gesture, aimed at testing the resistance of the republic toward the secular sanctuary that school must constitute."
He said that he would give clear rules at the national level before schools open after the summer break.
In 2010, France banned the wearing of full face veils in public which led to anger in France's five million-strong Muslim community.
France has enforced a strict ban on religious signs at schools since the 19th Century, including Christian symbols such as large crosses, in an effort to curb any Catholic influence from public education.
It has been updating the law over the years to reflect its changing population, which now includes the Muslim headscarf and Jewish kippa, but abayas have not been banned outright.
Source: BBC
Ha ha ha[emoji28][emoji28][emoji28] wengine watajiripua kisa abaya
Yale mavazi ni promo tu ya kujionesha kuwa watumwa wa waarabu kiutamaduni na kiimani.Kwani vazi la kustiri lazima liwe la mshono fulani kutoka jamii fulani?Ile dini huwa hawajielewi.
Wanavaa hivyo afu usiku wanajiuza
Afghanistan wanawake hawasomi sekondari hivyo wanaishia kuzivaa shule ya msingi tu