A man with no name
JF-Expert Member
- May 7, 2017
- 1,135
- 1,574
Chuki zinakutesa wewe bibi,Hata wale wa kanisani wanavaa ushungi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chuki zinakutesa wewe bibi,Hata wale wa kanisani wanavaa ushungi.
wanavaa magauni marefu na kiremba, kauso tu kanaonekana, hata kama hawajifuniki tinted kama wewe ila walau wanajitahidi. lakini pamoja na hayo, bado watu wanawapelekea moto tu sawasawa na ndugu zao wanaovaa kininja wanavyodanga kama kawaida tu. pamoja na kujifanya dini safi, uliza mtu yeyote aliyewahi kutembea na mzanzibar au mwanamke wa kiarabu yeyote, mwuliza, akiinama chumamboga nini huwa kinaonekana, unaona kabisa marinda hakuna, ila akitoka pale anapiga tinted na kujifanya msafi.Hata wale wa kanisani wanavaa ushungi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Safi sana ukishindwa rudi pakistani
Hujui unachokiandika wewe!Huo ndiyo ujinga uliojazwa nao, sikushangai.
Hakuna dini ya amani duniani zaidi ya Uislam. Kumbuka hili.
SawaWizara ya Elimu imetangaza Kanuni hiyo inatarajiwa kuanza Mwaka mpya wa masomo wa Septemba 4, 2023 katika shule zote za Serikali
Waziri wa Elimu, Gabriel Attal amesema "Unapoingia darasani hautakiwi kumtambua Mwanafunzi kwa imani yake ya dini kwa kumuangalia."
Pia, Ufaransa imepiga marufuku alama kubwa za Kidini katika Shule na Majengo ya Serikali kwa maelezo zinakiuka Sheria ya Nchi
Soma Ufaransa: Serikali yazuia Wanafunzi kuvaa mavazi ya Abaya shuleni
#Governance #JamiiForumsView attachment 2731453
Mtafanya niniJaribuni muone
Mm nmekusudia dini kama alivyoanzisha mtoa mada, kama ushoga nao ni dini basi Sawa. Uislamu ndio dini inayopigwa vita kuliko dini zote, lakini cha ajabu ndio dini inayokua Kwa kasi. Kweli sikufanya kosa kuingia kwenye uislamu.Vipi na mashoga nao ni mti wenye matunda?si Kila siku wanasakamwa Kwa kupigwa mawe
Kajinyonge madrasaaKuna watu ni wagonjwa wasiojijua, imagine mtu hadi anacomment safi na vinyundo juu anaoigilia msumali, sasa kweli kama una akili timamu utaogopa abaya??? Bora hata wangesema nikabu kweli abaya yaani gauni refu duuh!
Na Africa magharibi wataondoka tu mafirauni hayo! Period!
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Jaribuni muone
zanzibar yetu nusura nayo iwe na uislam wa vituko kama taliban. Wachezaji wa kike wanacheza michezo huku wamefunika vichwa full na joto lote hilo. Kwani wakiaacha vichwa wazi nani atawatamani, kuna dhambi gani, kwamba wataenda motoni?Kule Afaghanstan Taliban wamewapiga marufuku msisome wala msitembelee hifadhi za taifa.
ni mawazo yako tu hakuna anaoupiga vita uislam ila uislam ndio unaopiga vita dini zingine kwa kujiona ni bora zaidiMm nmekusudia dini kama alivyoanzisha mtoa mada, kama ushoga nao ni dini basi Sawa. Uislamu ndio dini inayopigwa vita kuliko dini zote, lakini cha ajabu ndio dini inayokua Kwa kasi. Kweli sikufanya kosa kuingia kwenye uislamu.
kama kuna dini kitisho cha amani duniani ni uislam. Anzia hukohuko mashariki ya kati, india na ulaya ni fujo mara kwa maraHuo ndiyo ujinga uliojazwa nao, sikushangai.
Hakuna dini ya amani duniani zaidi ya Uislam. Kumbuka hili.
Mashariki ya kati nani aliivamia akauwa watu zaidi ya million moja?kama kuna dini kitisho cha amani duniani ni uislam. Anzia hukohuko mashariki ya kati, india na ulaya ni fujo mara kwa mara
Angalia nchi za kiislamu zinavyopigwa vita na wasiokuwa waislamu, nchi kama Syria, Palestine, Afghanistan, Yemen na Libya. Zote hizi zimefanyiwa chokochoko na wasiokuwa waislamu. Njooni kwenye uislamuni mawazo yako tu hakuna anaoupiga vita uislam ila uislam ndio unaopiga vita dini zingine kwa kujiona ni bora zaidi