FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Maana yake nini?unajua maana ya kafiri we muislam? Neno kafiri hata kwa wakristo lipo, na wewe unaitwa kafiri ujue hilo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maana yake nini?unajua maana ya kafiri we muislam? Neno kafiri hata kwa wakristo lipo, na wewe unaitwa kafiri ujue hilo
Sijui nani aliuanzisha!Jambo jema kabisa,hata huu upuuzi wa kuvalisha wanafunzi hijabu huku tz ufutwe. Unatengeneza ubaguzi wa kidini.
[emoji3][emoji3][emoji3] halafu wakiwa nyumbani wanavuaHuku bongo vitoto vimefunika vichwa vyao kama bata mzinga.
Baadaye wakimaliza shule wanakuwa wacheza vigodoro
Duu makubwa haya kweli ibilisi yupo kaziniHatuna kabisa, wenye haya ni wale wanaotembea nusu uchi, au siyo?
MCHUNGAJI:WANAWAKE MARUFUKU KUVAA CHUP* KANISANI
Mchungaji mmoja nchini Kenya amewaambia wanawake waumini wa kanisa lake waache kuvaa nguo za ndani wanapohudhuria ibada ili "mungu aweze kuwaingia vema na kwa urahisi"
Mchungaji huyo anaejulikana kwa jina Njohi wa kanisa la Lord's Propeller Redemption Church la Nairobi amesema hayo kwa wanawake wa kanisa hilo huku akiongezea kuwa kuingia kanisani bila nguo ya ndani kunasaidia mtu kuwa huru kimwili na kiroho ili kumpokea vema kristu kwa mujibu wa "Kenyan Dialy Post"
Pia amewaonya kuwa wafuate maagizo hayo kuepuka madhara watakayoyapata kama hawatafuata maagizo hayo.Lakini inaaminika kuwa maagizo hayo hawajapewa wanaume wa kanisa hilo.
Wanawake wa kanisa hilo wameanza kufuata maagizo hayo ya kuhudhuria ibada bila nguo za ndani na mchungaji amewambia wanawake hao kuwafuatilia mabinti zao kama nao wanafuatilia agizo hilo.
Kanisa hili liko eneo la Dandora mashariki mwa jiji la Nairobi.
Chanzo: MCHUNGAJI:WANAWAKE MARUFUKU KUVAA CHUP* KANISANI
Wakati wamekimbia makwao, kwanini wasikae makwao ili waitekereze hiyo imani yao? Halafu hawakimbilii kwa wenzao kiguu na njia Ulaya na USA ha ha ha haWaislam wakiwa katika nchi za watu wanadai democratia kuomba uhuru wa kuanzisha dini Yao na mambo mengine Yao
Wakiwa katika nchi zao hakuna democracy
Wanajifunika wakiwa mashuleni primary school?Wagalatia mna shida sana mbona masister wa RC wanajifunika vichwa vyao kama alivyokuwa anajifunika mama yake Yesu
[emoji3] labda alikutana naye njianiWanajifunika wapi?
Nyie mmeng'ang'ania kwenye mashule ya Umma .
Mama yake Yesu ulimwona wapi?
Wanawazuia wanawake wasisome, na wakati huo huo wanataka wanawake watibiwe na wanawake wenzao ukisikia akili kisoda ndiyo hizo sasa watatoka wapi hao ma Dr !Unaita chuki za kijinga na hapohapo unadai kulikuwa na sababu za shule hizo kufungwa.
Na katazo la kuzuia madaktari wa kiume kutibu wanawake, wakati huo kuna vikwazo vya wanawake kwenda vyuo nalo unatolea utetezi gani. Wakati almost ⅓ ya madaktari na wanafunzi wa udaktari wamekimbia nchi tangu Taliban iingie madarakani, yenyewe iko busy kulazimisha wanawake watibiwe na wanawake wakati idadi ya madaktari wa kike ni ndogo.
sheikh unaniuliza tena?Maana yake nini?
NakuulIza kwa sababu nataka kufahamu unamaanisha nini, nafahamu hata Kingereza lipo neno "kafir" lina maana tofauti na Kiarabu.sheikh unaniuliza tena?
ukhti unaniuliza tena?Maana yake nini?
Kurudi Uarabuni Labda uwaue. Hawapo tayari kabisa kurudi kwenye nchi zenye sheria za Kiislam.Ni muda sasa wa kupaki mabegi kurudi Tehran,Riyadh,Baghdad na Kabul.Nyumbani kumenoga.
Panjabi za kutosha.......... Daslama raha sanaHuku kwetu mara,suruali,mara hijabfupi,mara hijab ndefu,mara sketi ndefu,mara fupi
Kwani chizi ana maoni gani juu ya wale walio wazima ? bila shaka anawaona machizi .ndio hilo neno lipo kwenye biblia, hata wewe unaitwa kafiri
Hao hawana akili mavazi kama hijab na anaya hakuna sababu yeyote ya kuzuia na hayana negative impact yeyote ile.Ma Rass nao wataambiwa wanyoe ? maana kufaga rasta ni nembo yao.Mbona umepaniki mkuu na mapovu yote haya?
Tatizo ni Ufaransa au tatizo ni nini?
Vumilia tu..
Kama mnaona Ufaransa inawatesa, njia rahisi ni KUONDOKA Nchini kwao mrudi Iran na Pakistan... Hamna aliyewalazimisha kuishi Ufaransa, ni kiherehere chenu tu
kama jinsi wewe unavyojiona ni mtukufu katika uislam wako na wengine wanajiona ni watakatifu katika ukristo wao. Huwezi kuwaita kafiri wakati nawe unaonekana ni kafiri machoni pao, ishia kuwaita wagalatia kama mnavyowaita inatosha. Halafu mbona budha na hindu huwa hamna ligi nao, vipi huko sheikh?Kwani chizi ana maonibgani juu ya wale walio wazima ? bila shaka anawaona machizi .
Mimi siwezi kupanic nikiitwa hivyo najua sio Kafir ila ukimuita Mgalatia lazima aweweseke.
Waulize swali hili wanawake wa AfghanistanWaislam wakiwa katika nchi za watu wanadai democratia kuomba uhuru wa kuanzisha dini Yao na mambo mengine Yao
Wakiwa katika nchi zao hakuna democracy
tangu lini israel imekuwa nchi ya kiislam, au ulimaanisha iran/iraq? israel ni nchi ya kiyahudi/zayuni na hizo nchi za kiislam ni maadui zake, zingine zilipigwa zikashindwa ikabidi zitiliane saini mikataba ya amani. Makundi mengi ya kigaidi duniani ni ya kiislam. Wapi ulisikia kuna makundi tishio ya kigaidi duniani yanayojinasibu ni ya kikristo, christian state? Wapi ulisikia wanamgambo wa kikristo? Chokochoko zipo kwa waislam tu wakristo hawana mambo ya shari na ugomvi, ni wapole na wanyenyekevuAngalia nchi za kiislamu zinavyopigwa vita na wasiokuwa waislamu, nchi kama Syria, Israel, Afghanistan, Yemen na Libya. Zote hizi zimefanyiwa chokochoko na wasiokuwa waislamu. Njooni kwenye uislamu
Waondokeeee??[emoji1787][emoji1787] Waende wapi?Hao hawana akili mavazi kama hijab na anaya hakuna sababu yeyote ya kuzuia na hayana negative impact yeyote ile.Ma Rass nao wataambiwa wanyoe ? maana kufaga rasta ni nembo yao.
Kuhusu kuondoka hilo ni jukumu la muislamu akiona mahala popote anabanwa katika kuifuata dini yake ,fitna na mtihani ni mingi ni bora kuondoka hilo halina mjadala.