Ufaransa: Serikali yazuia Wanafunzi kuvaa mavazi ya Abaya shuleni

Ufaransa: Serikali yazuia Wanafunzi kuvaa mavazi ya Abaya shuleni

Yaaah hazitakiwi kuvaliwa kabisa, nakumbuka advance pale Same Kuna watu waliadhibiwa Kwa kuvaa rozali na walimu wakristo wote waligwaya kuwaadhibu wale wanafunzi ndo akaja mwalimu mwislamu alikuwa anaitwa (sw*di) akawatandika
Waliosoma same mwaka ule wanakumbuka na waliokuwepo assemble
Swedi kichaa Yule kachafukwa roho
 
Hao nao hawana tofauti na wale mnaowa-brain wash kwenye nyumba zenu za kuabudu mkiwaaminisha wakauwe watu wa dini tofauti na ya kwenu mkiwadanganya kwamba wakifika kwa alaah watapewa bikra 70+ na pombe!

Toka jana tupo humu unapambana kueneza dini yako kwa kubadilisha content ya nyuzi.
Huo ndiyo ujinga uliojazwa nao, sikushangai.

Hakuna dini ya amani duniani zaidi ya Uislam. Kumbuka hili.
 
Afghanistan wanawake hawasomi sekondari hivyo wanaishia kuzivaa shule ya msingi tu
Mkiandika kwa kuenzea chuki za kijinga, muandike na sababu zilizopelkea shule hizo kufungwa.

Taliban walitangaza wazi wakisema shule za wanawake hazikuwa na "facilities" za wanawake, mpaka zitapofanyiwa mabadiliko zitafunguliwa tena. Na wameanza kuzifunguwa kidogo kidogo siku nyingi:

Some girls' high schools in eastern Afghanistan open - local officials​

Reuters
September 6, 20227:34 PM GMT+3Updated a year ago



Afghan girls leave primary school after classes

Female primary school students leave school after a class in Kabul, Afghanistan, October 25, 2021. The hardline Islamist Taliban movement, which stormed to power earlier this year after ousting the Western-backed government, has allowed all boys and younger girls back to class, but has not let girls attend secondary school. REUTERS/Zohra Acquire Licensing Rights Read more
 
Mkiandika kwa kuenzea chuki za kijinga, muandike na sababu zilizopelkea shule hizo kufungwa.

Taliban walitangaza wazi wakisema shule za wanawake hazikuwa na "facilities" za wanawake, mpaka zitapofanyiwa mabadiliko zitafunguliwa tena. Na wameanza kuzifunguwa kidogo kidogo siku nyingi:

Some girls' high schools in eastern Afghanistan open - local officials​

Reuters
September 6, 20227:34 PM GMT+3Updated a year ago



Afghan girls leave primary school after classes

Female primary school students leave school after a class in Kabul, Afghanistan, October 25, 2021. The hardline Islamist Taliban movement, which stormed to power earlier this year after ousting the Western-backed government, has allowed all boys and younger girls back to class, but has not let girls attend secondary school. REUTERS/Zohra Acquire Licensing Rights Read more
Tatizo lako wewe bibi unatumia hisia na siyo akili,
 
Kuna watu ni wagonjwa wasiojijua, imagine mtu hadi anacomment safi na vinyundo juu anaoigilia msumali, sasa kweli kama una akili timamu utaogopa abaya??? Bora hata wangesema nikabu kweli abaya yaani gauni refu duuh!

Na Africa magharibi wataondoka tu mafirauni hayo! Period!

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Mkiandika kwa kuenzea chuki za kijinga, muandike na sababu zilizopelkea shule hizo kufungwa.

Taliban walitangaza wazi wakisema shule za wanawake hazikuwa na "facilities" za wanawake, mpaka zitapofanyiwa mabadiliko zitafunguliwa tena. Na wameanza kuzifunguwa kidogo kidogo siku nyingi:

Some girls' high schools in eastern Afghanistan open - local officials​

Reuters
September 6, 20227:34 PM GMT+3Updated a year ago



Afghan girls leave primary school after classes

Female primary school students leave school after a class in Kabul, Afghanistan, October 25, 2021. The hardline Islamist Taliban movement, which stormed to power earlier this year after ousting the Western-backed government, has allowed all boys and younger girls back to class, but has not let girls attend secondary school. REUTERS/Zohra Acquire Licensing Rights Read more
Unaita chuki za kijinga na hapohapo unadai kulikuwa na sababu za shule hizo kufungwa.

Na katazo la kuzuia madaktari wa kiume kutibu wanawake, wakati huo kuna vikwazo vya wanawake kwenda vyuo nalo unatolea utetezi gani. Wakati almost ⅓ ya madaktari na wanafunzi wa udaktari wamekimbia nchi tangu Taliban iingie madarakani, yenyewe iko busy kulazimisha wanawake watibiwe na wanawake wakati idadi ya madaktari wa kike ni ndogo.
 
Unaita chuki za kijinga na hapohapo unadai kulikuwa na sababu za shule hizo kufungwa.

Na katazo la kuzuia madaktari wa kiume kutibu wanawake, wakati huo kuna vikwazo vya wanawake kwenda vyuo nalo unatolea utetezi gani. Wakati almost ⅓ ya madaktari na wanafunzi wa udaktari wamekimbia nchi tangu Taliban iingie madarakani, yenyewe iko busy kulazimisha wanawake watibiwe na wanawake wakati idadi ya madaktari wa kike ni ndogo.
Wewe yako ya hapa Tanzania yanakushinda unataka ya Afghanistan utayaweza? Kashindwa USA na NATO yake, itakuwa wewe?
 
Hatuna kabisa, wenye haya ni wale wanaotembea nusu uchi, au siyo?

MCHUNGAJI:WANAWAKE MARUFUKU KUVAA CHUP* KANISANI​




Mchungaji mmoja nchini Kenya amewaambia wanawake waumini wa kanisa lake waache kuvaa nguo za ndani wanapohudhuria ibada ili "mungu aweze kuwaingia vema na kwa urahisi"
Mchungaji huyo anaejulikana kwa jina Njohi wa kanisa la Lord's Propeller Redemption Church la Nairobi amesema hayo kwa wanawake wa kanisa hilo huku akiongezea kuwa kuingia kanisani bila nguo ya ndani kunasaidia mtu kuwa huru kimwili na kiroho ili kumpokea vema kristu kwa mujibu wa "Kenyan Dialy Post"
Pia amewaonya kuwa wafuate maagizo hayo kuepuka madhara watakayoyapata kama hawatafuata maagizo hayo.Lakini inaaminika kuwa maagizo hayo hawajapewa wanaume wa kanisa hilo.
Wanawake wa kanisa hilo wameanza kufuata maagizo hayo ya kuhudhuria ibada bila nguo za ndani na mchungaji amewambia wanawake hao kuwafuatilia mabinti zao kama nao wanafuatilia agizo hilo.
Kanisa hili liko eneo la Dandora mashariki mwa jiji la Nairobi.

Chanzo: MCHUNGAJI:WANAWAKE MARUFUKU KUVAA CHUP* KANISANI
kuvaa hivi sio kitu kizuri. ila nakuhakikishia, enzi za ujana wangu, wananwake wavaa ushungi tena tinted kabisa niliotembea nao ni kibao, wengine niliwatoa bikra kabisa ial akiinama chumamboga unaona hole kwenye toilet. kuvaa manguo hayo haimaanishi ninyi ni watakatifu, utakatifu upo moyoni na katika kila dini kuna waovu na wasafi hata kama wanavaa nguo za staha. hata masista wapo kibao tu wanapelekewa moto pamoja na kushinda na manguo na vilemba, sembuse hawa kina bihawa wanaovaa kininja ukiwaongelesha wananengua sauti? sisimuliwi, hata wewe faiza tungekutana ningekufukunyua pamoja na ushungi wako enzi hizo. hamna lolote nyie hata yule dada wa zanzibar mliyemkamata kwa kuwaambia ukweli kwamba nyote mnadanga pamoja mlimuonea tu.
 
kuvaa hivi sio kitu kizuri. ila nakuhakikishia, enzi za ujana wangu, wananwake wavaa ushungi tena tinted kabisa niliotembea nao ni kibao, wengine niliwatoa bikra kabisa ial akiinama chumamboga unaona hole kwenye toilet. kuvaa manguo hayo haimaanishi ninyi ni watakatifu, utakatifu upo moyoni na katika kila dini kuna waovu na wasafi hata kama wanavaa nguo za staha. hata masista wapo kibao tu wanapelekewa moto pamoja na kushinda na manguo na vilemba, sembuse hawa kina bihawa wanaovaa kininja ukiwaongelesha wananengua sauti? sisimuliwi, hata wewe faiza tungekutana ningekufukunyua pamoja na ushungi wako enzi hizo. hamna lolote nyie hata yule dada wa zanzibar mliyemkamata kwa kuwaambia ukweli kwamba nyote mnadanga pamoja mlimuonea tu.
Hata wale wa kanisani wanavaa ushungi.
 
Back
Top Bottom