Ufaransa: Serikali yazuia Wanafunzi kuvaa mavazi ya Abaya shuleni

Nilikusudia Palestine
 
Nchi gani ya kikristo ambayo imekaliwa kimabavu na waislamu, lkn nchi kibao za kiislamu zimevamiwa na wanajeshi WA Marekani,Israel n.k.
Muislam akishika bunduki anaitwa gaidi, ila mkristo akishika anaitwa mlinda Amani. Foolish
 
Nchi gani ya kikristo ambayo imekaliwa kimabavu na waislamu, lkn nchi kibao za kiislamu zimevamiwa na wanajeshi WA Marekani,Israel n.k.
Muislam akishika bunduki anaitwa gaidi, ila mkristo akishika anaitwa mlinda Amani. Foolish

Hazijakaliwa sababu non muslim countries zina nguvu kubwa kijeshi kuliko za kiislam.

Kama nchi za kiislamu zingekuwa na nguvu kama USA, China , Russia , UK etc

Wangezivamia nchi za non muslim na kuzilazimisha zifate maisha ya kiislam

Walijaribu kufanya hivyo kwa Israel miaka ya 1940s wakala kichapo cha kufa mtu toka hapo nchi za kiislam zikanywea kabisa
 
Sasa na huyu unaambiwa ndiye msomi wa juu wa elimu dunia kwenye hiyo dini,jiulize kama huyu anakuwa na akili mgando kiasi hiki wale darasa la saba au form four failure watakuwaje?
we unaakili gani . ? nyie mna elimu za kukariri ndoomaana hata sindano tunaagiza nje
 
Naunga mkono hoja
 
Kurudi Uarabuni Labda uwaue. Hawapo tayari kabisa kurudi kwenye nchi zenye sheria za Kiislam.

Wanapenda sana maisha ya Secular Countries au Christian majority countries.
sasa kama wanapata kibali cha kuishi huko waheshimu sheria za wenyeji wao. Waspeleke imani yao ya ajabu kwa wenyeji
 
Hata hapa kwetu hayo mambo itabidi yapigwe marufuku. Unaenda shule fulani unakuta watoto wote wamevaa hayo mavazi ya kutambulisha ni wa dini fulani wakati nchi hii si ya kidini. Hayo mavazi wakavae huko wanakosali
Na rozali marufuku
 
Na rozali marufuku
hizo rozari wanavaa wangapi wanaonekana? Unafananishaje rozari na hijabu? Basi haikupendeza hijabu zivaliwe mashuleni hasa shule zisizo za kiislam mliruhusiwa mfanye hivyo ili mjisikie vizuri kuwa dini yenu inapendwa
 
Yaani hapa umegonga white house.Bonge ya mawazo.Kweli si waende Saudi Arabia kule watavaa Abaya mpaka Chooni.
 
Nchi gani ya kikristo ambayo imekaliwa kimabavu na waislamu, lkn nchi kibao za kiislamu zimevamiwa na wanajeshi WA Marekani,Israel n.k.
Muislam akishika bunduki anaitwa gaidi, ila mkristo akishika anaitwa mlinda Amani. Foolish
Mliwahi kuziweka nchi kama Hispania, Portuguese etc chini ya utawala wenu au haukumbuki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…