Ufaransa yashangazwa kwanini virusi vya Corona haviwadhuru Waafrika

Hopping you're just kidding!!
kidding, wao wametengeneza iyo colona kwa maslai binafsi unajua hilo? hao wanatuletea ushoga, hao walitufanya kuwa watumwa na wamechukuwa mali nyingi Africa, waache waipate kidogo, watamkumbuka ata Mungu kidogo!
 
Wasiwasi yao nini

Siyo Kila Kiuzwacho Sokoni Chafaa Kununuliwa
 
Kwani wao wanavyofanikiwa wanafikiri nasi tunafurahia ? Wanataka kutuona tu siku zote tukiwa tunapatwa na magumu.
 

Kila race ipambane na hali yake...kwahiyo walitaka tufe kama nzige...walituletea ngwengwe kidogo watumalize...sasa wanataka na hili litusafishe...watakufa waishe waoo...shubamit...!!!!

OVAAA
 
Kwa taarifa yao black race imezoeya shurba..kama ngoma haikutumaliza nothing will wipe us on the surface of earth...na wakufe wao tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…