sifongo
JF-Expert Member
- Jun 5, 2011
- 4,896
- 5,305
Ha ha ha ha hii nayo kali,misukule wana bodyguard?Ulilolisema ni ngumu sana kutekelezeka! misukule wana ma bodyguard..
u cant touch them!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha ha hii nayo kali,misukule wana bodyguard?Ulilolisema ni ngumu sana kutekelezeka! misukule wana ma bodyguard..
u cant touch them!!
just by replyimg this, u r the leading of them all!
Mkuu mimi sitaki kuamini kama ni ugumu wa maisha tu ila pia na ubinafsi na zaidi kutomtii Mungu katika amri zake maana kuna sehemu zinasema usidanganye,mimi ni Mkristo ila napinga kabisa huu udanganyifu unaofanywa na hawa wanaojiita mitume.......jamaa wananikera sana......
Mim ninatakaMimi ni Mkatoliki lakini ninayeamini YESU aliyesema kwa imani hata milima itang'oka sembuse haya?
Pondeni wachungaji lakini acheni kulimit uwezo wa Mungu.
Mleta mada ungesema huamini kama wale misukule kweli nisingeshangaa lakini futa kauli ya kutoamini miujiza kwavile huoni kanisani kwako.Mimi kwenye mikutano ya Karistimatic nimeshuhudia miujiza mizito hivyo sishangai uwezo wa Mungu.
Sijui umeandika Baada ya kusikia maneno ya mitaani au umedodosa kitoka Kwa wahusika. Unaweza chekelea kuanzisha post Yenye kashfa ukafurahiwa Na Kuungwa mkono Na wengi lakini maskini unajinajisi Na kulitusi usilolijua..Binadamu kila kukicha tunazidi kupata mbinu za kuyakabili maisha..
Inafikia hatua ya kujigeuza miungu watu sasa..
Kwa kujipa uwezo wa kuwafufua binadamu waliokufa siku za nyuma,
Ndugu zangu haswa Wakristo na Wafuasi wa Gwajima (Ufufuo na Uzima) kuweni makini sana na maigizo mnayofanyiwa!
Hakuna binadamu yoyote mwenye uwezo wa kumrudishia uhai mtu aliyekufa..
hili alifanya YESU peke yake tena mara chache sana!!
Tutakoseshwa mbingu kwa kudanganyika na kumezeshwa imani zisizoendana na Mapenzi ya mungu..
Sijui umeandika Baada ya kusikia maneno ya mitaani au umedodosa kitoka Kwa wahusika. Unaweza chekelea kuanzisha post Yenye kashfa ukafurahiwa Na Kuungwa mkono Na wengi lakini maskini unajinajisi Na kulitusi usilolijua..
Sijui umeandika Baada ya kusikia maneno ya mitaani au umedodosa kitoka Kwa wahusika. Unaweza chekelea kuanzisha post Yenye kashfa ukafurahiwa Na Kuungwa mkono Na wengi lakini maskini unajinajisi Na kulitusi usilolijua..
ujue kuna vitu vingine hata huwa havihitaji elim au upeo mkubwa kuvitambua hata kama mnajifanya mnaimani kiasi gani
kiukweli kuna mambo yanatendeka kwenye nyumba za ibada ni laana tupu na machukizo kwa mwenyezi mungu.
hivi hata siku 1 ulisha wahi sikia hao wanao fufuliwa au kuponywa huwa wanafahamika katika maisha ya kawaida?
wewe unamajilani wangapi au ndugu wangapi walio pewa huduma hiyo akama sio kushuhudia tuuu watu usio wafaham kila siku?
inamaana hao ndugu wanao fufuliwa kila siku katika umati huo mzima wakanisa huwa wanakuwa hawana hata ndugu? na je huwa wanatoka wapi?
acheni kucheza na mungu kwa malengo yenu ya kujiingizia vipato
tuwache kuingiza neno la mungu
kwenye ushabiki usiokuwa na mpango Mungikama unakataa kitu kataa kwa neno mimi neno la mungu linaniambia nikimwamini nitafanya zile kazi yesu alikuwa anazifanya tena na kubwa zaidi ya hapo sioni koza kunyanganya mchawi mtu na kuleta kwa yesu
kwani watu wanaopinga tu kwa akilizao ndio mwisho wa akili zao
Haya mambo yanakanganya, kuna hoja hapa JF iliyokuwa inataka uthibitisho wa uwepo wa Mungu, mnyinda hukujitokeza, naamini kuna baadhi ya watu wanashindwa kufanya logical and critical analysis ya matendo ya hawa wachungaji/makasisi/masheikh na hata waganga wa kienyeji, wanakimbilia kusema maandiko yamesema. maandiko yasituondolee uwezo wa kufikiri na kuchambua mambo, daima tulinganishe maandiko na reality, kwangu mimi Mungi ameibua mambo ya msingi sana. Ingekuwa ni jambo la maana sana iwapo ungefanya utafiti na ulete majibu ya maswali ya Mungi badala ya kumponda kuwa analeta ushabiki.
Binadamu kila kukicha tunazidi kupata mbinu za kuyakabili maisha..
Inafikia hatua ya kujigeuza miungu watu sasa..
Kwa kujipa uwezo wa kuwafufua binadamu waliokufa siku za nyuma,
Ndugu zangu haswa Wakristo na Wafuasi wa Gwajima (Ufufuo na Uzima) kuweni makini sana na maigizo mnayofanyiwa!
Hakuna binadamu yoyote mwenye uwezo wa kumrudishia uhai mtu aliyekufa..
hili alifanya YESU peke yake tena mara chache sana!!
Tutakoseshwa mbingu kwa kudanganyika na kumezeshwa imani zisizoendana na Mapenzi ya mungu..
Jambo ambalo mimi bado najiuliza ni kwamba Mchungaji Gwajima alifanya mikutano Arusha, ikasemekana aliwafufua watu wa Arusha, maana katika hali ya kawaida sijui kama anakuja Arusha kufufua watu wa Burundi. Ili imani ya watu ikue katika habari ya ufufuo, na kwakuwa hata Arusha wapo waliokufa, angefufua watu wa Arusha ili kuwajengea watu imani.
Mpaka sasa najiuliza wale misukule 20 waliofufuliwa Arusha wako wapi?
Umasikini wa kwanza ni fikra,tukiweza kujikwamua hapo ndio umasikini mwingine unaondoka kiulaini kabisa.Ndio maana wanachofanya wanaojiunga jeshi ni kuondolewa kwanza uraia kwa njia ya kubadilisha fikra zao,ili wajione ni wanajeshi na baada ya hapo,anakuwa mtii kwa kila atakaloambiwa.Hivyo lazima kwanza tuanze na fikra ikiwa mojawapo ni hii ya Imani.kuna mengi yakufanya zaidi ya kuigiza na misukule..
Kuna mafundisho mengi sana ambayo watanzania wanayahitaji katika kujikwamua na umaskini..
kazi ipo nasema! WAMFUFUE NA NYERERE AJE KUREKEBISHA MAUJINGA YALIJAA CCM SASA HIVI! kuanzia div 5 mpaka safari za mkulu nje ya nchi ambazi hazina idadi, puuuuuuuuuuuuuuuuuuu1