Ufugaji wa kuku chotara na kienyeji kwa mijini ni hasara tupu

Ufugaji wa kuku chotara na kienyeji kwa mijini ni hasara tupu

Ufugaji wa kuku wa kienyeji mchawi ni eneo tu.Pia lazima mtu azingatie kuwa kuku wa kienyeji siyo wa kufungia kama hao kuku wa kisasa.Kuku wa kienyeji wafugwe kwenye eneo kubwa na waachwe huru.
Kaka hata usipokuwa na eneo sio kesi..ishu ni kuminya matumizi kumudu idadi na kuproon wanaozidi.mfano mi taget yangu ni mitetea 400 na majogoo hamsini tu...changamoto nyengine ni chanjo mzee..kwenye chanzo kuna ubabaifu mkubwa mno..Ila Kama ukampata mtu akakuongoza kwenye dawa local utaenjoy sana..
 
Wewe kumbe siyo tu kuwa hauna uzoefu wa ufugaji wa kuku wa kienyeji,bali ni haujawahi hata kuwafuga.
Nikuambie tu kuwa:Mitetea 10 pekee inauwezo wa kutaga kwa pamoja mitete 5 hadi 7 kwa siku ukiwa na jogoo mpandaji mzuri na aliye shapu.Ukiwa na mitetea 100 ina maana unakuwa na wastani wa kupata mayai 50 hadi 70 kwa siku.Kuku wa kienyeji utofautiana katika idadi ya utagaji kulingana na maumbo yao.Mitetea yenye maumbo madogo utaga kati ya mayai 15 hadi 20 na mitetea yenye maumbo makubwa utaga kati ya mayai 8 hadi 12.
Aisee!Kifupi kumbe wewe ni mweupe kabisa.
Nakazia pumba ya aftatu unaweza kulisha kuku 10 kwa siku tisa.hapo ukisindikizia na kabichi vichane vya machina na Chinese..so ni ishu ya kufikiria na kupanga .
 
Wewe kumbe siyo tu kuwa hauna uzoefu wa ufugaji wa kuku wa kienyeji,bali ni haujawahi hata kuwafuga.
Nikuambie tu kuwa:Mitetea 10 pekee inauwezo wa kutaga kwa pamoja mitete 5 hadi 7 kwa siku ukiwa na jogoo mpandaji mzuri na aliye shapu.Ukiwa na mitetea 100 ina maana unakuwa na wastani wa kupata mayai 50 hadi 70 kwa siku.Kuku wa kienyeji utofautiana katika idadi ya utagaji kulingana na maumbo yao.Mitetea yenye maumbo madogo utaga kati ya mayai 15 hadi 20 na mitetea yenye maumbo makubwa utaga kati ya mayai 8 hadi 12.
Aisee!Kifupi kumbe wewe ni mweupe kabisa.
Pia kienyeji hawataki huu ujinga wakuitwa starter sijui midude gani..hapo komaa na kuzalisha mchwa funza..utanishukuru
 
Nimekwishasema hauko sawa kichwani.
Haya unayoandika hapa ni mtu mpuuzi tu kama wewe anayeweza kuyaamini.

Wewe naona hata kufuga hufugi, na wala elimu ya ufugaji tu wa kuku huna.
Hata uzoefu tu wa kuku wa wazee wako wa kienyeji, hukujisumbua kufuatilia na kujua ni kuku wa aina gani.

Hata udadisi tu wa kujua hao kuku hawana uwezo wa kutaga kama unavyoeleza hapa unakuwa hujawahi kuwa nao.

Ati "trei 3 kwa wiki. 7 mpaka 8" toka kwa kuku wa kienyeji 78? Huu ni wendawazimu!
Kaka kama kichwa chako ni chepesi hivi basi nduguzo wanahasara sana pole sana kwa babaako mzazi na mamayo kwa hasara.
Pili bange sivuti Ila mi hutumia Kama majani ya chai na matumizi mwengine ya mifupa na hasa joints.
Tatu numeanza kufuga kabla ya ujio wa muitaliano wa amadori mwandege..nawajua kuku na makabila na maeneo wanayotoka..nishafanya mpaka cross breeding za kuku..wakati unaendelea kuwa mpuuzi hivi basi mamaako Yuko mbioni kununua vaccine tunazofanyia tafiti za kiasili zaidi.usipende kuchukulia watu kiwepesi sana...
Sisi tulianza kufuga kipindi hakuna chanjo za kisasa za Newcastle ndui na gumbulo..sisi tulitumia cactus aloevera majani ya solo na vitunguu pori vyeupe...bwana mdogo Toka kwenye hii thread Mana una wenyewe na sio wewe.
 
Boss miaka ya 2000's nilifuga wa kienyeji. Nilianza na kuku 30 ķama sijakosea, Mayai nilikuwa napata na mengine niliwawekea yalaliwe. Nilikuja kuachana na hiyo biashara sababu vifaranga vilikuwa vinakufa. Sijui nilikuwa nakosea wapi. Vijana wanatafuta ajira, wanataka kusikia hivi vitu vinawezekana, na tulioshindwa tulishindwa kwa sababu kuna sehemu tulikosea, hayo makosa yanarekebishwa na wanaofanya kwa mafanikio. Tusikilizane sababu watu wana uzoefu tofauti.
Mkuu, Tsh., nikuhakikishie tena, sijui mara ya ngapi hii, kuku 78, hata hao wa kizungu wanaoweza taga karibu yai moja kwa siku kama wamepewa matunzo mazuri, kamwe huwezi kupata faida ya biashra hiyo.

Hili ndilo jambo ninalohangaika sana kukufahamisha juu yake, na hao vijana unaosema "wanatafuta ajira, wanataka kusikia hivi vitu vinawezekana...,"
Kwa bahati mbaya, wewe mwenyewe hukuchukua nafasi ya kutafakari kwa nini kazi hiyo ilikushinda, halafu leo unakuja hapa kuungana na mpotoshaji wa hali ya juu kabisa, kuzidi kuwapa matumaini vijana mahali ambapo hapana matumaini.
Kwa nini wewe unaona ni bora kuwapotosha wenzio, kumbe tayari kazi hiyo ilikwishakushinda, na hukutaka hata kujua kwa nini ilikushinda? Sasa unataka na wengine nao wapitie kwenye makosa yale yale nao washindwe?

Ngoja nimalizane nawe:

Ni hivi, kwa soko na bei zilizopo sasa hapa kwetu Tanzania, na hali ya ufugaji (gharama zake na upatikanaji wa mahitaji ya ufugaji, kama vyakula) ilivyo, huwezi kamwe kufuga kuku wa kienyeji au chotara, hasa kwa uchache kama unaozungumziwa humu, kuku 78, au hata 500; halafu ukategemea kupata faida juu ya kazi hiyo.
Hili ninalo uhakika, sibahatishi.
Kudanganyana kwamba utawalisha hao kuku kwa kuokoteza masalia ya chakula na matakataka mengine ni udanganyifu mkubwa. Hiyo kazi tu ya kuyatafuta hayo matakataka ina gharama zake, na tena kwa hali ilivyo sasa, huwezi kupata chee, hata hao wanaozalisha hayo matakataka wakishaona kuna pesa juu yake hata wao watadai yalipiwe; kama ilivyo kwa pumba za mahindi siku hizi.

Sasa, naomba nieleweke vizuri hapa: sijasema popote watu, na hasa vijana wasijishughulishe na kazi hiyo ya ufugaji, iwe kuku wa kienyeji, chotara, au hawa wa kisasa kwa kadri ya uwezo wao unavyoruhusu.
Hili lina faida zake, hata kama siyo faida za kifedha:
Kwanza ni njia nzuri ya kupata uzoefu na kazi hiyo, ambayo itasaidia mhusika kujua ni matatizo yapi yanayotokana na kazi hiyo, na kama ameamua kuifanya kuwa ni njia ya kumpatia pato, basi aifanye kwa ufanisi zaidi akitumia njia sahihi, na siyo hizi za kubahatisha tu, na kupotoshwa na watu ambao hawajui chochote kuhusu ufugaji, kama anavyoonyesha huyu mkuu 'clever' hapa.

Mkuu, Tsh' kama bado huamini ninachoandika humu, basi sina njia nyingine ya kukufanya uelewe ninachotaka ukielewe.
 
Kaka kama kichwa chako ni chepesi hivi basi nduguzo wanahasara sana pole sana kwa babaako mzazi na mamayo kwa hasara.
Pili bange sivuti Ila mi hutumia Kama majani ya chai na matumizi mwengine ya mifupa na hasa joints.
Tatu numeanza kufuga kabla ya ujio wa muitaliano wa amadori mwandege..nawajua kuku na makabila na maeneo wanayotoka..nishafanya mpaka cross breeding za kuku..wakati unaendelea kuwa mpuuzi hivi basi mamaako Yuko mbioni kununua vaccine tunazofanyia tafiti za kiasili zaidi.usipende kuchukulia watu kiwepesi sana...
Sisi tulianza kufuga kipindi hakuna chanjo za kisasa za Newcastle ndui na gumbulo..sisi tulitumia cactus aloevera majani ya solo na vitunguu pori vyeupe...bwana mdogo Toka kwenye hii thread Mana una wenyewe na sio wewe.
Niliposema wewe ni 'bogus' sikukosea kabisa.

Mkuu 'cleverman' (sijui unau-clever gani wewe), niseme tu wazi hujui kitu chochote kuhusu ufugaji wa kuku.

Ninachokusikitikia tu, na ndiyo sababu inayonirudisha nijibishane nawe tena hata baada ya kuachana nawe, ni huku kupotosha na kuwapoteza vijana ambao wanayo nia kweli ya kujitoa kwenye maisha duni kwa njia hii ya ufugaji.

Na kama kweli uliwahi hata mara moja kufuga kuku, basi siyo ajabu hadi leo hii unaendelea kuzungukia tuuu kwenye makosa yale yale bila kupiga hatua yoyote mbele. Kwa sababu hutaki kujifunza kutokana na makosa unayofanya.

Nimalizie kwa kukwambia hivi: usijaribu kujkoga mimi na hivyo "vitafiti vya kiasili". Ninajua hujui kitu hata huko

EeeenHeeee! Eti "cross breeding"? Unajua kitu gani kuhusu 'cross breeding' wewe? Weka 'reference' hapa za kazi yako uliyoshiriki katika eneo hili ili tukusome kazi uliyofanya.
Wewe hata elimu ya mifugo kiujumla huna.
Inatosha.
 
Sasa mkuu, tuhitimishe kuwa biashara ya ufugaji wa kuku kienyeji ni jambo lisilowezekana? Hapana boss, Embu jaribu kutafiti sababu na ww una uzoefu. Lazima kuna formula inayowezekana. Mfano, binafsi miaka ya nyuma vifaranga visingekuwa vinakufa ningekuambia biashara inalipa lakini sikujua namna ya kuzuia visife hivyo nikawa nasema ni biashara kichaa.
Sijasema popote humu kwamba "ufugaji wa kuku wa kienyeji hauwezekani".

Ninachosema humu waziwazi ni kwamba, kufuga hao kuku 78, au hata 500; kwa hali ya soko letu hapa lilivyo, huwezi kamwe kudai kwamba unafuga kwa faida.
Ni kazi rahisi tu kuchanganua gharama zote zinazohusika katika ufugaji huo na baada ya kufuga na kuingia sokoni kwa bei zilizopo iwe ni kwa nyama au mayai, kamwe hutoki na faida. Hili liko wazi, siyo jambo linalofichika.
 
Wewe kumbe siyo tu kuwa hauna uzoefu wa ufugaji wa kuku wa kienyeji,bali ni haujawahi hata kuwafuga.
Nikuambie tu kuwa:Mitetea 10 pekee inauwezo wa kutaga kwa pamoja mitete 5 hadi 7 kwa siku ukiwa na jogoo mpandaji mzuri na aliye shapu.Ukiwa na mitetea 100 ina maana unakuwa na wastani wa kupata mayai 50 hadi 70 kwa siku.Kuku wa kienyeji utofautiana katika idadi ya utagaji kulingana na maumbo yao.Mitetea yenye maumbo madogo utaga kati ya mayai 15 hadi 20 na mitetea yenye maumbo makubwa utaga kati ya mayai 8 hadi 12.
Aisee!Kifupi kumbe wewe ni mweupe kabisa.
Kukuonyesha kwamba hujui unachozungumzia wewe, ni kwamba huhitaji kuwa na jogoo ndiyo hao kukuwatage.
Hili pekee linakuondolea sifa ya kuwa na taarifa kuhusu ufugaji wa hao kuku.

Kuku wa kienyeji, "genetic potential" yake hairuhusu, hata ufanye kitu gani, kwa sasa, akupe faida kibiashara, iwe ni mayai, au nyama.

Kama wewe unaamua kuwafuga kibiashara kwa maelfu, hapo sasa hilo litakuwa ni swala tofauti, tutaanza kulipigia mahesabu yake, lakini siyo kuku 10, 78, au hata 500. Hupati faida kamwe.
 
Achaneni Nate huyo... Nilishamchana huyo mpaka mafuta..Leo kuku watatu wengine wameanza kutaga.na wanaoitia ni karibuni wote waliobaki..then kuna vile vidwaft vidogo vinataga 25 mpaka 30 ,kuanzia mtago wa nne na kuendelea..navifata vikindu jioni hii..
Dah, nati zitakuwa zimelegea kichwani!
 
Mkuu, Tsh., nikuhakikishie tena, sijui mara ya ngapi hii, kuku 78, hata hao wa kizungu wanaoweza taga karibu yai moja kwa siku kama wamepewa matunzo mazuri, kamwe huwezi kupata faida ya biashra hiyo.

Hili ndilo jambo ninalohangaika sana kukufahamisha juu yake, na hao vijana unaosema "wanatafuta ajira, wanataka kusikia hivi vitu vinawezekana...,"
Kwa bahati mbaya, wewe mwenyewe hukuchukua nafasi ya kutafakari kwa nini kazi hiyo ilikushinda, halafu leo unakuja hapa kuungana na mpotoshaji wa hali ya juu kabisa, kuzidi kuwapa matumaini vijana mahali ambapo hapana matumaini.
Kwa nini wewe unaona ni bora kuwapotosha wenzio, kumbe tayari kazi hiyo ilikwishakushinda, na hukutaka hata kujua kwa nini ilikushinda? Sasa unataka na wengine nao wapitie kwenye makosa yale yale nao washindwe?

Ngoja nimalizane nawe:

Ni hivi, kwa soko na bei zilizopo sasa hapa kwetu Tanzania, na hali ya ufugaji (gharama zake na upatikanaji wa mahitaji ya ufugaji, kama vyakula) ilivyo, huwezi kamwe kufuga kuku wa kienyeji au chotara, hasa kwa uchache kama unaozungumziwa humu, kuku 78, au hata 500; halafu ukategemea kupata faida juu ya kazi hiyo.
Hili ninalo uhakika, sibahatishi.
Kudanganyana kwamba utawalisha hao kuku kwa kuokoteza masalia ya chakula na matakataka mengine ni udanganyifu mkubwa. Hiyo kazi tu ya kuyatafuta hayo matakataka ina gharama zake, na tena kwa hali ilivyo sasa, huwezi kupata chee, hata hao wanaozalisha hayo matakataka wakishaona kuna pesa juu yake hata wao watadai yalipiwe; kama ilivyo kwa pumba za mahindi siku hizi.

Sasa, naomba nieleweke vizuri hapa: sijasema popote watu, na hasa vijana wasijishughulishe na kazi hiyo ya ufugaji, iwe kuku wa kienyeji, chotara, au hawa wa kisasa kwa kadri ya uwezo wao unavyoruhusu.
Hili lina faida zake, hata kama siyo faida za kifedha:
Kwanza ni njia nzuri ya kupata uzoefu na kazi hiyo, ambayo itasaidia mhusika kujua ni matatizo yapi yanayotokana na kazi hiyo, na kama ameamua kuifanya kuwa ni njia ya kumpatia pato, basi aifanye kwa ufanisi zaidi akitumia njia sahihi, na siyo hizi za kubahatisha tu, na kupotoshwa na watu ambao hawajui chochote kuhusu ufugaji, kama anavyoonyesha huyu mkuu 'clever' hapa.

Mkuu, Tsh' kama bado huamini ninachoandika humu, basi sina njia nyingine ya kukufanya uelewe ninachotaka ukielewe.
Boss najua una uzoefu wako unautumia kujenga hoja, ninachokuomba ni uwe open minded kuhusu tafsiri ya neno faida, Mfano kuna watu wana tenda za kusuply chicken wings only kwenye mahoteli makubwa, na kwa pea anapeleka kwa Tsh 10,000VAT exclusive, huyu kuku wanampa faida.

Kuna mwingine yupo kijijini kuku wanajitaftia akipata 40,000 kwa mwezi ni faida kubwa kwake.

Binafsi nafahamu mtu ana tenda ya kuku kwenye camps kubwa za utalii, huyu ukimwambia kuku hana faida hawezi kukuelewa.

Mm mwenyewe nimefuga miaka ya nyuma na nilikuwa napata mayai ila sio mengi na vifaranga walikuwa wanakufa. Mayai yalikuwa yanaharibika mapema n.k kama ningekuwa na soko na vifaranga havifi ungeniambia kuku hawalipi nisingekuelewa.
Kila mtu ana experience yake, nadhani ni sawa kuwa open minded ukasikiliza. Kama kinachosemwa hakina mantik basi mwingine anayeona kina mantik atajaribu.
 
Boss najua una uzoefu wako unautumia kujenga hoja, ninachokuomba ni uwe open minded kuhusu tafsiri ya neno faida, Mfano kuna watu wana tenda za kusuply chicken wings only kwenye mahoteli makubwa, na kwa pea anapeleka kwa Tsh 10,000VAT exclusive, huyu kuku wanampa faida.

Kuna mwingine yupo kijijini kuku wanajitaftia akipata 40,000 kwa mwezi ni faida kubwa kwake.

Binafsi nafahamu mtu ana tenda ya kuku kwenye camps kubwa za utalii, huyu ukimwambia kuku hana faida hawezi kukuelewa.

Mm mwenyewe nimefuga miaka ya nyuma na nilikuwa napata mayai ila sio mengi na vifaranga walikuwa wanakufa. Mayai yalikuwa yanaharibika mapema n.k kama ningekuwa na soko na vifaranga havifi ungeniambia kuku hawalipi nisingekuelewa.
Kila mtu ana experience yake, nadhani ni sawa kuwa open minded ukasikiliza. Kama kinachosemwa hakina mantik basi mwingine anayeona kina mantik atajaribu.
Mawazo yako umeyafunga, ni vigumu sana kukuelewesha uweze kuelewa.

Sasa unachanganya mambo unapoanza maswala ya tenda.
Una maana mfugaji huyo wa kuku wa kienyeji 78?

Anayepata FAIDA ni nani, huyo mwenye tenda au huyo mfugaji?
 
Mawazo yako umeyafunga, ni vigumu sana kukuelewesha uweze kuelewa.

Sasa unachanganya mambo unapoanza maswala ya tenda.
Una maana mfugaji huyo wa kuku wa kienyeji 78?

Anayepata FAIDA ni nani, huyo mwenye tenda au huyo mfugaji?
Boss naomba nikupe mfano kisha tunaweza kukubaliana kutokukubaliana......

Mfano: Wewe Kalamu una kampuni yako inaitwa Kalamu group of companies ltd inayohusika na vyakula na Mungu akafungua milango ukapata tenda ya kusuply chicken wings(Pure breed) kwenye hoteli kubwa kwa bei nzuri kwa mwaka mzima, ukasain contract ukawa na eneo lako la eka moja ukaamua kuwafuga hao kuku na pale wanapokuzidi ukachukua kwa wafugaji wengine. Je Mm Tsh nikikuambia ufugaji wa kuku hauna faida utanielewa?
 
Niseme tu kuku ni biashara kichaa pale mambo mawili yanapotokea:

1. Kushindwa kuwazalisha kwa wingi kwa sababu ya changamoto mbalimbali.

2. Kutokujua soko lako litakalokupa faida

Binafsi hiyo ya kwanza ilinihusu. Mikuku inatotelewa inajifia tu sijui ilipatwa na nn. Sasa hivi nikipata tenda ya supply bora kununua sokoni, sijui labda nitajaribu tena maana mabanda yapo huko wengine wanapambana.

Ila ukiweza kusolve hizo equation mbili. Ni biashara nzuri tu ambayo hata kijana asiye na ajira anaweza ipambania.

NB: Hoja za Kalamu sio za kupuuza. Usije ukatoka huko na tumilioni twako kadhaa ukaparamia ukapoteza mtaji. Lakini Inawezekana.
 
Boss naomba nikupe mfano kisha tunaweza kukubaliana kutokukubaliana......

Mfano: Wewe Kalamu una kampuni yako inaitwa Kalamu group of companies ltd inayohusika na vyakula na Mungu akafungua milango ukapata tenda ya kusuply chicken wings(Pure breed) kwenye hoteli kubwa za nyota tano kwa bei nzuri kwa mwaka mzima, ukasain contract ukawa na eneo lako la eka moja ukaamua kuwafuga hao kuku na pale wanapokuzidi ukachukua kwa wafugaji wengine. Je Mm Tsh nikikuambia ufugaji wa kuku hauna faida utanielewa?
Hapa ndipo unapochanganya na kuchanganyikiwa mwenyewe.

Wewe ni mfuga kuku, 78, au hata 500, potelea mbali. Hiyo ndiyo kazi yako.

Kwa hiyo tuseme wewe ni mfugaji mdogo wa kuku, kwa kiasi hicho unachofuga.

Kuna gharama unazoingia tokea hao kuku wanaingia nyumbani/shambani kwako. La hasha, gharama unaanza kupambana nazo pale tu unapoanza kuwa na wazo la kufuga, kwa sababu kutakuwa na maandalizi, kabla ya hao vifaranga/kuku hawajaingia hapo shambani kwako.

Na gharama zitaendelea kuongezeka kila siku, hadi siku ya mwisho utakapokuwa umewauza wote.

Sasa, ninakuomba uchambue gharama hizo kwa uangalifu mkubwa kabisa na uziweke pembeni. Usisahau, au kuacha kuweka gharama hata ndogo tu, inayohusiana na ufugaji wako huo. Kwa mfano, usidharau kuiorodhesha ile shilingi mia tano uliyotumia kwenda kutafuta matakataka au masalia ya chakula, au hata matumizi tu ya simu yako kutafuta wapi utapata wanunuzi wa kuku wako.

Kwa hiyio wewe kama mfugaji mzuri, eneo hilo la kumbukumbu zako za ufugaji umelimudu vizuri.

Sasa nenda kwenye mauzo ya hao kuku.
Ninavyokuelewa hapa unavyojieleza ni kwamba umepata tenda ya ku'supply' hotel? Kwa hao kuku 78 au 500; ukapata tenda? Au kuna kazi nyingine unaifanya ambayo ni mbali kabisa na ufugaji? Kama hivyo ndivyo, basi usichanganye, hizi ni kazi mbili tofauti, na kila moja yake inajitegemea katika maswala ya biashara, na faida kila moja inachambuliwa mbali na nyingine.

Sasa, katika kazi ya ufugaji, hakikisha hao kuku wako 78, au 500 unapowauza, iwe ni huko hotelini, au kwa walanguzi wenye tenda huko mahotelini, mauzo yake yaweke pembeni, na uyalinganishe na gharama zako za ufugaji. Unapolinganisha Mauzo na matumizi, hapa ndipo utajua kama umepata faida ya kazi yako ya ufugaji, au la.

Na nikuhakikishie, kwa mara nyingine tena, kuwa katika kuku wako hao wa kienyeji 78, ay 500, iwe unauza mayai, au unawauza kwa nyama, pamoja na hata ukiuza manyoa na mavi yake kama mbolea, hutaambulia faida yoyote ile kwa hali ya soko letu ilivyo kwa sasa hivi.

Kama kuna huyo mlanguzi atakayekuja kununua kuku wako, kwa bei ya hsara kwako na kwenda kuwauza hao kuku huko mahotelini kwa hiyo tenda unayozungumzia, hapo ssasa, huyo mnunuzi wako anaweza akaingiza faida kwake, na siyo kwako wewe mfugaji.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Hapa ndipo unapochanganya na kuchanganyikiwa mwenyewe.

Wewe ni mfuga kuku, 78, au hata 500, potelea mbali. Hiyo ndiyo kazi yako.

Kwa hiyo tuseme wewe ni mfugaji mdogo wa kuku, kwa kiasi hicho unachofuga.

Kuna gharama unazoingia tokea hao kuku wanaingia nyumbani/shambani kwako. La hasha, gharama unaanza kupambana nazo pale tu unapoanza kuwa na wazo la kufuga, kwa sababu kutakuwa na maandalizi, kabla ya hao vifaranga/kuku hawajaingia hapo shambani kwako.

Na gharama zitaendelea kuongezeka kila siku, hadi siku ya mwisho utakapokuwa umewauza wote.

Sasa, ninakuomba uchambue gharama hizo kwa uangalifu mkubwa kabisa na uziweke pembeni. Usisahau, au kuacha kuweka gharama hata ndogo tu, inayohusiana na ufugaji wako huo. Kwa mfano, usidharau kuiorodhesha ile shilingi mia tano uliyotumia kwenda kutafuta matakataka au masalia ya chakula, au hata matumizi tu ya simu yako kutafuta wapi utapata wanunuzi wa kuku wako.

Kwa hiyio wewe kama mfugaji mzuri, eneo hilo la kumbukumbu zako za ufugaji umelimudu vizuri.

Sasa nenda kwenye mauzo ya hao kuku.
Ninavyokuelewa hapa unavyojieleza ni kwamba umepata tenda ya ku'supply' hotel? Kwa hao kuku 78 au 500; ukapata tenda? Au kuna kazi nyingine unaifanya ambayo ni mbali kabisa na ufugaji? Kama hivyo ndivyo, basi usichanganye, hizi ni kazi mbili tofauti, na kila moja yake inajitegemea katika maswala ya biashara, na faida kila moja inachambuliwa mbali na nyingine.

Sasa, katika kazi ya ufugaji, hakikisha hao kuku wako 78, au 500 unapowauza, iwe ni huko hotelini, au kwa walanguzi wenye tenda huko mahotelini, mauzo yake yaweke pembeni, na uyalinganishe na gharama zako za ufugaji. Unapolinganisha Mauzo na matumizi, hapa ndipo utajua kama umepata faida ya kazi yako ya ufugaji, au la.

Na nikuhakikishie, kwa mara nyingine tena, kuwa katika kuku wako hao wa kienyeji 78, ay 500, iwe unauza mayai, au unawauza kwa nyama, pamoja na hata ukiuza manyoa na mavi yake kama mbolea, hutaambulia faida yoyote ile kwa hali ya soko letu ilivyo kwa sasa hivi.

Kama kuna huyo mlanguzi atakayekuja kununua kuku wako, kwa bei ya hsara kwako na kwenda kuwauza hao kuku huko mahotelini kwa hiyo tenda unayozungumzia, hapo ssasa, huyo mnunuzi wako anaweza akaingiza faida kwake, na siyo kwako wewe mfugaji.
Faida = Ulichopata - ulichotumia.

Scenario 1. Mfugaji wa kijiji cha mtombole.
Ana kuku 70, hawalishi, wanajitaftia huko shambani kwake, hana muda nao, anauza kuku 3 mpaka 5 kwa mwezi soko la kijiji. Tsh 40,000 mpaka 50,000 anayopata anafanyia mambo yake ya hapo kijijini. Huyu kuku wana faida kwake.

Scenario 2. Mfanyabiashara jijini DSM, anamiliki kampuni ya vyakula KFS ltd(Kalamu Food Supply ltd) ana kuku 500, ana tenda ya kusupply kuku kwa bei juu ya bei ya soko katika hoteli mbalimbali, anasuply kuku 50 mpaka 100 kwa mwezi, tenda zikimzidi ananunua sokoni. Huyu kuku ana faida kwake.

Scenario 3. Mfugaji aliyesoma kuhusu ufugaji JF. Kakodi chumba, kajenga mabanda, kaweka kuku, anawalisha pumba na makombo ana kijana wa kuwaangalia, anauza sokoni. Huyu kwake inaweza kuwa biashara kichaa.

BADO HUNIELEWI NINACHOMAANISHA?
 
Kama una ishi miji mikubwa kama Dar, Mwanza, Arusha, Dodoma, Morogoro, Mbeya, Moshi na kadhalika basi wekeza kwenye kufuga kuku wa Kisasa wa Mayai na kuku wa Nyama yaani Broiler.

Mijini hakuna anaye uliza hilo ni la nini na pia mijini demand ya mayai ni kubwa sana kwenye matumizi ya kawaida na viwandani pia.

Kiwanda cha mikate na keki kweli wanaweza hangaika kutafuta mayai sijui ya akienyeji? Na kiwandani wanatukia trei na trei za mayai.

Waoko Keki walio jazani mijini wana muda wa kutafuta sijui mayai ya kienyeji? Jibu ni hapana.

Mahoteli ya Kitalii wana huo muda wa kutafuta mayai ya kienyeji? Kwanza Wazungu hawatumii mayai ya Kuku wa Kienyeji wale wanajua fika ni kwa nini.

Wakaanga Chips ambao ni wengi balaaa kila kona wana muda wa kutafuta mayai ya kienyeji? Na wakaanda Chips ndo watumiaji wakuu wa mayai kwa mijini ukiwato Viwanda na Hoteli za kitalii.

Mayai ya Kienyeji yana demanda vijijini huko kwenye centre za miji midogo midogo sana huko ndo wanaulizana aina ya yai na sababu hata consumption yao ya mayai iko chini sana.

Mijini kuhangaika eti kufuga kukuku wa kienyeji uuze mayai ni hasara tupu, kubwa sana na kupoteza muda mwingi san, Walaji wa Mayai ya Kienyeji mijni ni family level na comercial.

Hata kufuga kuku wa kienyeji uuze nyama jogooo still ni hasara tupu na wastage of time unless uwafuge na usiwe na time nao yaani wasiwe ndo unawatolea macho pale walishe Familia na pia kama una shamba kubwa na wanaishi wenyenyewe huko wakila panzi.

Zile Fuso zinazo leta kuku wa Kienyeji kutoka Mikoani hasa Singida na Dodoma kumbuka wale kuku wamekusanywa kutoka kwa wafugaji sawa na idadi ya wale kuku yaani kama Fuso imebeba lets say kuku 6000 basi hao kuku 6000 wametoka kwa wafugaji 5800 au hata 6000 kabisa. Huwa wanazunguka minadani kukudanya kuku mmoja mmoja kutoka kwa wafugaji mmoja mmoja.

Pia Vijijini wale kuku si kwamba ndo wanawatolea macho hapana wale kuku wanajitafutia tu na mfugaji ana mambo mengine anafanya hasa kilimo na hivyo huwa ana kamata mmoja mmoja na kwenda kuuza mnadani au siku ya soko.

Hao kuku wa Chotara sijui SASSO au KUROILER wale usije jidanganya kuwafuga kwa ajili ya mayai, utalia nao, unless kwa ajili ya mayai ya kuangulisha yaani fertlised eggs, wale Chotara ni wazuri kwa nyama na sio kwa mayai ni hasara tupu kuwafuga kwa ajili ya mayai ya kula kwanza mayai yake ni makubwa makubwa huwezi waambia watu haya ni mayai ya kuku wa kienyeji.

Kwa ajili ya nyama Chotara ni wazuri kwa ajili ya Nyama, ila sasa ila pia nako kuna changamoyo ya soko, Bei ya sh 20, 000/ hadi 25, 000/ ni bei nzuri sana ila hii bei ni kama una muuzia mtu anaye enda kuchinja ale na familia yake, hakuna mtu anaye enda kuuza atakaye nunua jogoo sh 20, 000/ wale hununua sh 9000 hadi 10, 000/ na wale huchukua mzigo mkubwa sana wanaweza chukua hata kuku 50 ila walaji wanao toa pesa nzuri hununua mmoja mmoja.

Hivyo ni Bora kupiga hesabu za vyema za Muda, gharama na Faida kuangalia ufuge Kuku wa mayai au kienyeji? Chotara au Brouler?

NB:Ukifuga eti kuku wa kienyeji Mabandani unawafungia unawaletea chakula ni zaidi ya hasara na ni zaidi ya kupoteza muda
Uko sahihi kabisa. Hata kuku wa mayai kutokana na kupanda kwa gharama ya chakula ni hasara tupu. Mfugaji anayeweza kupata faida ni yule anyefuga bloiler wa nyama au wafugaji wakubwa wa kuku wa mayai. Kinyume cha hapo ni michosho tu.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Uko sahihi kabisa. Hata kuku wa mayai kutokana na kupanda kwa gharama ya chakula ni hasara tupu. Mfugaji anayeweza kupata faida ni yule anyefuga bloiler wa nyama au wafugaji wakubwa wa kuku wa mayai. Kinyume cha hapo ni michosho tu.
With exceptions, Biashara nyingi ni michosho tu. Ukinunua coaster ukampa mtu kabla hata haijarudi pesa aliyonunulia inaweza leta marinjirinji mara trafik, mara kagonga, mara kabadili parts..... Same to bajaj na boda.

Angalau kidogo nyumba ya kupanga kama ipo eneo zuri labda.
 
With exceptions, Biashara nyingi ni michosho tu. Ukinunua coaster ukampa mtu kabla hata haijarudi pesa aliyonunulia inaweza leta marinjirinji mara trafik, mara kagonga, mara kabadili parts..... Same to bajaj na boda.

Angalau kidogo nyumba ya kupanga kama ipo eneo zuri labda.
Mimi nimefuga sana kuku wa mayai. Sikukuu hizi za mwisho wa mwaka nikaamua kuwatoa maana ilikuwa hasara tupu. Ni heri ujenge chumba na sebure upangishe kuliko kuhangaika na kuku wa mayai. Nimekoma.
 
Mimi nimefuga sana kuku wa mayai. Sikukuu hizi za mwisho wa mwaka nikaamua kuwatoa maana ilikuwa hasara tupu. Ni heri ujenge chumba na sebure upangishe kuliko kuhangaika na kuku wa mayai. Nimekoma.
Hahahaha
 
Niseme Jambo humu...mkuu kalamu nimeshalikoka mno na nimetokea vikindu na Tenga la mitetea 13. Nawaingiza home sasaivi..nilisema na pia ntasema ili kupata faida ni kuhakikisha biashara unajiendesha yenyewe na wewe unapata hata Kama ni kidogo
 
Back
Top Bottom