MTALAAM WA MAJIKO
Senior Member
- Feb 6, 2015
- 137
- 78
Jamani msaada kuku wangu wamevimba tumbo kwa wanaojua dawa msaada jamani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa ndugu hiki kinyesi cha tumboni si inabidi ukae karibu na machinjio ya ngombe ili ukipate?
Vingnevo kwa siye wa mjini imekula kwetu !.
Kubota,
LiverpoolFC
Mama joe
Mama Timmy
guta
asigwa,
ANKOELI
mutuwa wali
Micah 28
Raisi wa walala hoi
Ugolo wa bibi
Poutry sayuni
Reti
Chamilitary
na wengine wengi....
Heshima kwenu wote.
Kwanza kabisa nichukuwe fursa hii kipekee kumsukuru bw. Kubota kwa kazi nzuri ya kuelimisha na kutoa on practical experience ya ufungaji wa kuku. nimefarijika sana na elimu yake. [ Ingawa sikubaliani naye katika biashara ya Mikaa]
Pili niwashukuru wadau wote hata wale niliowasahau majina kwa michango mingi mizuri na ya kusisimua yenye kuelimisha jinsi bora ya kufuga kuku wa kienyeji.
Tatu napenda kuwajulisha kuwa kazi yenu haijaenda bure kwangu kwani nimetengeneza vitabu 42 vyenye kurasa 12-14 kila moja kutokana na michango yenu. Nilichofanya nilisave kila page kwa page zote 42 mpaka sasa kwenye pdf . kisha nika print vitabu 42 nilivovi baind na kuviita " Kubota local poutry farm hands experience " .
Nimeaanza mradi wa kuku wa kienyeji kwenye plot yangu nikiwa na kuku 10 mitetea 5 na jogoo 5" lengo likiwa kutengeneza project kwenye Farm yangu ya ekali 5.
Napenda tu kujua Tangu nimewachukuwa mwezi wa 4 mpaka sasa ni mwezi na sioni dalili ya kuku yoyote kuanza kutotoa ... nini inaweza kuwa Tatizo... Kuna watu wanasema kipindi cha baridi kuku hawatotoi je ni kweli?
wadau leteni michango yenu ... huku nikiendelea kusoma taratibu vitabu vyangu...
Kila la heri
Muonamambo
Lakini mkuu mbona umenunua majogoo wengi sana?
Ngoja niwaite
@Kubota , LiverpoolFC Mama Joe Mama timmy guta asigwa, AnkoELI Mutuwa wali micah 28 raisi wa walala hoi ugolo wa bibi
@Poutrysayuni
@Reti chamilitary
Kaka Kibanga Ampiga Mkoloni... Nilidhani kila kuku anabidi kuwa na mpenzi wake!!!!
hongera sana mkuu na mimi najiandaa kufuga kuku wa kienyeji
Naweza kupata namba yako mfuga kuku?
Baba MilcahNina banda LA ukibwa wa ft 17x24
Litaingiza kuku wa kienyeji wangapi.....
Baba Milcah