Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

Kwani mpwa na hii ikiwa mpya si tunapeana fursa na wadau wengine!

hapa kuna pande mbili
1:wewe uliyeleta thread ili upate taarifa.
2:wadau wengine waliopo jf ili wakupe ABC za hoja yako.

sasa km tayari kuna thread nyingi nzuri tayari zinajibu hoja yako,wadau wanakwambia peruzi na kudadisi utakuta kila kitu,but km unataka pia kuona ni namna gani wadau wanarespond thread yako,basi subiri usiperuzi na kudadisi.
 
Wakuu nataka kuanzisha mradi huu wa ufugaji Nguruwe kutokana na soko lake kuwa pana na zuri kila kukicha. Nataka kufuga kitaalamu mkoani lringa naombeni mawazo yenu kwa kuanzia nataka nianze na 10.

Hongera sana ndugu kwa kuwa na mawazo ya kuona fursa kama hizo. Biashara ya ufugaji wa nguruwe inalipa sana kama utaiendesha kitaalam! Kwa sasa mimi nmeandaa mradi wa nguruwe na huwa naandaa miradi mingi tu na kutoa ushauri. Hivyo kama kweli upo interested na mradi huo naomba unchek kwa 0713659828 (JOSEPHAT)ili tupeane moja mbili tatu na kupeana fursa!
 
Soko la hiyo mi mbuzi katoliki linapatikana syria.. hata FaizaFoxy anatambua hilo
 
Last edited by a moderator:

Shukrani mkuu, kwa sasa nataka angalau nipate mwanga wa kujenga banda liwe na ukubwa gani? kwa Nguruwe mmoja au kama nataka niweke nguruwe wawili banda liweje?
 

A good one!
 
Shukrani mkuu, kwa sasa nataka angalau nipate mwanga wa kujenga banda liwe na ukubwa gani? kwa Nguruwe mmoja au kama nataka niweke nguruwe wawili banda liweje?

Kuna NGO moja inaitwa Heifer International Tanzania wanapitapita huko vijijini kufundisha wakulima namna ya kufuga wanyama mbalimbali ikiwemo nguruwe. Wana vitabu vinavyoelezea ujenzi wa banda, ufugaji Wenyewe, magonjwa na namna ya kushughulika nayo. Unaweza kuwatafuta kwa msaada zaidi.
 

Unaweza kusema wanavyo patikana? Kwamaana ya Mawacliano yao!
 
Wakuu nataka kuanzisha mradi huu wa ufugaji Nguruwe kutokana na soko lake kuwa pana na zuri kila kukicha. Nataka kufuga kitaalamu mkoani lringa naombeni mawazo yenu kwa kuanzia nataka nianze na 10.

Hivi nguruwe hubeba mimba kwa muda gani na huzaa vifaranga vingapi ???
 
Hivi nguruwe hubeba mimba kwa muda gani na huzaa vifaranga vingapi ???

Hii mimi ni field yangu kabisaaa na imenigusa sana,kwa kuwa mimi hii elimu niliipata bure kwa msaada wa serikali iliyoko madarakani acha nami niwasaidie watanzania wenzangu.

Kwa kawaida nguruwe hubeba mimba kwa muda wa miezi mitatu, wiki tatu na siku tatu,hii ni sawasawa na siku 114. Hiyo ndiyo gestation period ya nguruwe. Kuhusu idadi ya watoto ambao nguruwe anaweza akazaa itategemea na idadi ya titi/nyonyo ambazo mama alizokuwanazo,zikiwa kumi na mbili basi atazaa kumi na mbili zikiwa nane pia atazaa nane nk, lakini kwa ujumla nguruwe huzaa watoto kuanzia 8-12.
Tahadhari,fuga mbali na maeneo ya waislam na wazabato.
 


Swali lingine tena,
je nguruwe hutafuta baada ya muda gani baada ya kuzaluwa na kuzaa.
 

ingiza kwanza nguruwe
 
Sijui kwanini mjadala wa nguruwe huwa una matusi mengi na mgongano mkubwa wa kimaslahi.
 
Hata Mimi Mimi naishangaa hiyo. Maana ameandika kama vile yuko na nguruwe tayari.
 
Wana jamvi,katika pita pita zangu mitaani,na kwenye mitandao ya kijamii nimegundua njia pekee itakayonipa ajira ni kujikita katika ufugaji wa Nguruwe kitaalam na kibiashara zaidi ikizingatiwa ndo kwanza nimehitimu elimu yangu ya Chuo kikuu..Nna shamba la ukubwa wa ekari 5 huko kijijini kwetu,maji yapo ya kutosha.Swali ni je shilingi milioni kumi (10,000,000) zinatosha kuanza kufuga nguruwe wangapi tangu wakiwa watoto hadi umri wa kuwauza? Naomba mnisaidie wadau
 
Nyingi sana, ila inategemea na umri gani wa nguruwe unaanza nao, ila nakushauri anza na majike 20 yaliyokaribu kupandwa,then pandsha mwenyewe na aftr 4months utakuwa unahudumia c chini ya nguruwe 200. I hope within 13 months utaanza kukuna ktamb chalii angu coz kwaharaka utacheza na 80ml.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…