Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji


Thanks Mpwa Amoeba.
 
If that's the case then why shouldnt we have MUTUAL RESPECT ( in terms of faith). You spoil others faith, they spoil yours too. We've been living in HARMONY for decades, but now people are no longer tolerant towards others, it's a big shame.

Lakini title ya sredi umeiona? kwanini umeifungua??
 

mbona sijaona mlengo wowote wa kidini hapo juu?wabongo hatuna amani kabisa ila tunasubiri kuchokozwa tu,sasa inapotokea hakuna wa kutuchokoza tunaana kutafutana visa wenyewe kwa wenyewe!
 
Habari wanajamii wote.mm ni mkazi wa moshi.nataka nijaribu ujasiriamali kwa nguvu zote.sasa nina laki tano,nimewaza sana na wazo likanijia la ufugaji wa nguruwe,tafadhali wenye ujuzi naomba mnieleweshe kwa laki zangu hizi tano naweza kuzitumiaje ili nami nijikwamue
so far eneo la banda lipo na material chache bado tu kama sementi na ufundi likamilike.
Nitafurahi sana nikielimishwa kwa manufaa yangu na wengine
 
Nakushauri kupitia jf utaona threads nyingi kuhusu ufugaji wa nguruwe kama ufugaji wa nguruwe,anza hivi mpya wangu;nimeamua kuanza hivi,kilimo na ufugaji unalipa sana,ufugaji wangu unaozingatia mazingira,etc

Search then soma. Ukiwa na maswali zaidi tutakusaidia kaka
 
Wakuu mwenye uzoefu na kujua faida ya ufugaji nguruwe kama ni nzur na jinsi biashara inavoenda anijuze, kwa kufuga Pwani na kuwauza Dar
 
kweli sikio la kufa halisikii dawa, yaani unaacha kufuga wanyama ambao ni halali wewe unang'ang'ania vilivyoharamishwa.
 
Wakuu mwenye uzoefu na kujua faida ya ufugaji nguruwe kama ni nzur na jinsi biashara inavoenda anijuze, kwa kufuga Pwani na kuwauza Dar

Nakusaidia tu ndugu yangu...

"Yeye amekuharimishieni mzoga tu na damu na nyama ya nguruwe na kilichotajiwa, katika kuchinjwa kwake, jina la asiyekuwa Mwenyezi Mungu. Lakini aliyefikiwa na dharura bila ya kutamani wala kupita kiasi, yeye hana dhambi. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu." QURAN, Al-Baqarah 2:173

"Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni NAJISI, kwenu, MSIILE nyama yao, wala MSIIGUSE mizoga yao; hao ni najisi kwenu." -
Walawi 11:7-8


 

ha ha ha,nilikua kijiji kimojo
huko jimbo la mchinga
lindi,nilimkuta jamaa mwislam
anamiliki nguruwe mamia kwa
ajili ya biashara
 
ha ha ha,nilikua kijiji kimojo
huko jimbo la mchinga
lindi,nilimkuta jamaa mwislam
anamiliki nguruwe mamia kwa
ajili ya biashara

hata mm kwenye hili waniache kwa kweli!
 
Na iharamishwe kwao tu

"Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni NAJISI, kwenu, MSIILE nyama yao, wala MSIIGUSE mizoga yao; hao ni najisi kwenu." - Walawi 11:7-8
 
hata mm kwenye hili waniache kwa kweli!

"Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni NAJISI, kwenu, MSIILE nyama yao, wala MSIIGUSE mizoga yao; hao ni najisi kwenu." - Walawi 11:7-8
 
“Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni NAJISI, kwenu, MSIILE nyama yao, wala MSIIGUSE mizoga yao; hao ni najisi kwenu.” - Walawi 11:7-8

waliwe na nani mbona husemi?
na je mbwa na nguruwe nani haramu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…