Ugaidi Tanzania Unafanikiwa


Sijawahi kuona umeandika kitu cha maana. Kwani uzinduzi wa ujenzi wa reli ndiyo dawa ya ugaidi unaoendelea..? unataka tujali reli badala ya usalama wetu? Shame on you...
 
Sasa gaid wakifanya tukio mkakaa kimyaa siwanafanya kubwa zaidii ili mzungumzee???
 

Ndugu yangu hata kama ugaidi unahusisha vyama , vya kisiasa au vya kijamii lakini matokeo au madhara yake ni mtambuka. Usishabikie upande wako ukidhani utakuwa salama.

ATHARI ZAKE ZINATUGUSA WATANZANIA WOTE
 
Lengo ni kupigana na ugaidi kwa kudhoofisha matakwa yao.
Dawa ya Ugaidi unaofanywa na wenye mamamlaka ni kuwanyanganya mamlaka walionayo na kuwafanya wachukuliwe hatua za kisheria kwa makosa yao...mfanoPol Pot wa Cambodia alinyang'anywa mamlaka na kuhukumiwa miaka kadhaa baadaye..
 
Huu ni ugaidi wa aina yake, ugaidi unaokuwa sponsored na government!!!! Pathetic
Common in Afrika..mfano Uganda ya Amin, Afrika ya kati ya Bokassa Zaire ya Mobotu na Majirani Zetu kaskazini magharibi
 

Safi sana.
 
tukae kimya ili watumalize. Kupiga kelele kunaweza saidia dunia kusaidia na kujua shida tupatazo refer USA alivyoingilia siria na kurusha mabom eiki iliyopita
 
tukae kimya ili watumalize. Kupiga kelele kunaweza saidia dunia kusaidia na kujua shida tupatazo refer USA alivyoingilia siria na kurusha mabom eiki iliyopita

Unakumbuka mashambulizi ya kigaidi ya Septemba 11 yaliyobomoa majengo ya New York na kuyatandika makao makuu ya majeshi yote ya USA?

Waliotajwa kufanya mashambulizi hayo karibia wote ni Wasaudi lakini sijaona wala kusikia Saudi Arabia ikishutumiwa kwa ugaidi na USA.

Kwanini?

Kwa sababu tu wana maslahi yao Saudi Arabia.

Nchi za Magharibi hata uwe mbaya vipi kama wana maslahi yao kwako utakuwa ni mzuri tu kwao.
 
Na wakishawateka ndugu zetu wakawadhuru na kuwatia ulemavu tusiwapeleke hospitali wala kukaa nao karibu!!! pia wakiwaua tuwaachie wao wawazike wala tusiweke msiba!!!

Ama kitanda usichokilalia....

"Kutekwa" huwa ni vitani, hao waliotekwa walikuwa vitani?

Au unatekwa kwa watu kutaka "ransom", hao unaosema waliotekwa kuna "ransom" iliyokuwa "demanded"?

Hao unaosema walitekwa hao wala hawaingii katika kigezo cha ugaidi. Ugaidi ni kama matukio ya Kusini, ugaidi ni kama kutumia hao waliotekwa kusambaza habari za kutisha watu.

Tukio la Roma, hili baada ya kumsikiliza Ally leo nimeona kumbe ni mtu anaemtukana Rais, unamtukana Rais unategemea vijana wanaompenda wakuachie tu? Wacha Rais hebu mtu akutukane wewe tu mbele ya marafiki zako tuone kama utamuachia au marafiki zako watamuachia bila ya kumuadabisha.

Huo siyo ugaidi.
 
Sasa gaid wakifanya tukio mkakaa kimyaa siwanafanya kubwa zaidii ili mzungumzee???

Well, Kama inabidi tupige kelele mbona tumekaa kimya wakati wenyeviti wa mitaa wa CCM wanauliwa kigaidi huku Mkuranga na Rufiji?

Kuna matukio yanayoashiria ugaidi zaidi ya hayo kwa sasa?
 
Sijawahi kuona umeandika kitu cha maana. Kwani uzinduzi wa ujenzi wa reli ndiyo dawa ya ugaidi unaoendelea..? unataka tujali reli badala ya usalama wetu? Shame on you...

Sijaona kemeo lolote la matukio ya ugaidi ya hivi karibuni humu JF hadi sasa.

Wewe umeona?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…