Bukyanagandi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 11,061
- 16,753
Mkuu hiyo sumu no hatari sana, tusifikiri anataja kunwaribia biashara Bakhresa.Umetumwa na Bakhresa wewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hiyo sumu no hatari sana, tusifikiri anataja kunwaribia biashara Bakhresa.Umetumwa na Bakhresa wewe.
Ingekuwa ni hivyo basi Wakenya wote wangekuwa wameshatangulia mbele ya haki,Kenya ni mwendo wa dona tu,haya makapi (unga mweupe/uliokobolewa)yanaliwa TZWatu wengi kwa sasa wamependelea kula ugali uliopikwa kwa unga wa mahindi usiokobilewa, maarufu 'dona'. Pamoja na kwamba mahindi uhifadhiwa kwa madawa ili yasiharibike (athari kwa fedha) kuna tatizo lingine kwa afya zetu yasemekana.
Tahadhali na unga wa dona, ni hatari kwa afya kwa sababu ya sumu inayoitwa 'aflatoxin" ambayo huwa ndani ya kiini cha mbegu ya mhindi. Ukikobolewa kiini uondolewa na kubaki unga mweupe (sembe).
Wengi sasa hawependi kula ugali wa sembe kwa sababu ya kukosa protini (iliyomo kwenye kiini). Lakini hasara ya kukosa hiyo protein ni ndogo sana kulinganisha na madhara ya "aflatoxin" itakayosababisha "cancer" mwilini mwa binadamu.
TAFAKARI CHUKUA HATUA
Peleka uongo kule babu zetu walikula dona na hawakuwa na cancerWatu wengi kwa sasa wamependelea kula ugali uliopikwa kwa unga wa mahindi usiokobilewa, maarufu 'dona'. Pamoja na kwamba mahindi uhifadhiwa kwa madawa ili yasiharibike (athari kwa fedha) kuna tatizo lingine kwa afya zetu yasemekana.
Tahadhali na unga wa dona, ni hatari kwa afya kwa sababu ya sumu inayoitwa 'aflatoxin" ambayo huwa ndani ya kiini cha mbegu ya mhindi. Ukikobolewa kiini uondolewa na kubaki unga mweupe (sembe).
Wengi sasa hawependi kula ugali wa sembe kwa sababu ya kukosa protini (iliyomo kwenye kiini). Lakini hasara ya kukosa hiyo protein ni ndogo sana kulinganisha na madhara ya "aflatoxin" itakayosababisha "cancer" mwilini mwa binadamu.
TAFAKARI CHUKUA HATUA
Kuna mazoezi ambayo hayatajiwi kwa aina fulani ya watu hasa watu wenye umri kuanzia 35 na kuendelea.Dr.ndodi anasema panya wana akili kuriko binadamu,wao panya wakula kiini chenye protein wakati binadamu wao watoa kiini..sasa wewe tena unakuja unasema dona ni sumu..sayansi ipo kutishana tuu nakumbuka kuna mtaalam mmoja wa mambo ya hewa alikua anatembea na mtungi wake kajifunga mirija na mask usoni akidai binadamu wengi wanavuta hewa yenye bacteria wengi wasioonekana kwa macho..ipo siku katika tafiti zenu mtakuja kusema kufanya mazoezi kuna madhara sana..
kwa hyo wewe reference yako kubwa ni Wikipedia...sons vizuri michngo ya watu na kunareference nzuri zimetolewa...changanya na Wikipedia yako...usipoelewa basi wewe utakua ni jipu....itabidi Kigwangala aje akufanyie ziara ya kushitukizaWADAU TUJIFUNZE KUSOMA NA KUPANUA WELEDI WETU KATIKA KUCHANGANUA BAADHI YA MAMBO, SIYO KUKURUPUKA TU NA MADA KAMA ZA NAMNA HII:
KUHUSU Aflatoxin (Nimecopy na kupaste toka Wikipedia), someni kwa faida ya hii thread.
Aflatoxins are poisonous and cancer-causing chemicals that are produced by certain molds (Aspergillus flavus and Aspergillus parasiticus) which grow in soil, decaying vegetation, hay, and grains. They are regularly found in improperly stored staple commodities such as cassava, chili peppers, corn, cotton seed, millet, peanuts, rice, sorghum, sunflower seeds, tree nuts, wheat, and a variety of spices. When contaminated food is processed, aflatoxins enter the general food supply where they have been found in both pet and human foods, as well as in feedstocks for agricultural animals. Animals fed contaminated food can pass aflatoxin transformation products into eggs, milk products, and meat.
SASA TAHADHARI YA UNGA WA DONA INATOKA WAPI? ilitakiwa uelezee hiyo toxicity inafikaje kwenye unga (siyo dona pekee) na njia za kufanya kujikinga kwa faida ya wana jamvi siyo kupost tu. Kama hujui kitu ni bora kuuliza kuliko kujifanya mjuaji.....
Daah!...kama na dona sumu basi hakuna chakula tena
Ila hata kama kuna huyo "aflatoxin" kwenye dona bado virutubisho vya dona vinaweza kua ni vingi kuliko hiyo sumu
Na kabla ya kusonga ugali ule uji hua unachemka kwa centigrade nyingi sana hiyo sumu bado inabaki salama?
Babu yako kala dona, bibi yako kala dona, shangazi zako na wajomba zako wamekula na kukulia dona. Hiyo sumu haikuwaona. Au inabagua? Acha hizo. Kama hutaki kula dona kaa pembeni sisi twala. Unaogopa aflatoxin mbona kila siku unaosha kirungu huogopi ngoma?Watu wengi kwa sasa wamependelea kula ugali uliopikwa kwa unga wa mahindi usiokobilewa, maarufu 'dona'. Pamoja na kwamba mahindi uhifadhiwa kwa madawa ili yasiharibike (athari kwa fedha) kuna tatizo lingine kwa afya zetu yasemekana.
Tahadhali na unga wa dona, ni hatari kwa afya kwa sababu ya sumu inayoitwa 'aflatoxin" ambayo huwa ndani ya kiini cha mbegu ya mhindi. Ukikobolewa kiini uondolewa na kubaki unga mweupe (sembe).
Wengi sasa hawependi kula ugali wa sembe kwa sababu ya kukosa protini (iliyomo kwenye kiini). Lakini hasara ya kukosa hiyo protein ni ndogo sana kulinganisha na madhara ya "aflatoxin" itakayosababisha "cancer" mwilini mwa binadamu.
TAFAKARI CHUKUA HATUA
Kabla sijakuuliza maswali Mengi...
Kwanza Hongera kwa POST NZURI...
Pili..hiyo sumu unajua inakaa muda gani kwenye mahindi?
Tatu Kwani ni mahindi yooote yanawekewa hiyo Dawa,all sources?
Nne yaani hiyo dawa inakaa kwenye Kiini tuuuuu?
Tano Je ni madawa yote kwa mimea ni hatari? mbona binadamu tunatumia "Superflaxon"
Sita...ni Kiwango gani ndo kinadhuru?
Ahsante Mkuu
ngoja ni google nirudi...........Watu wengi kwa sasa wamependelea kula ugali uliopikwa kwa unga wa mahindi usiokobilewa, maarufu 'dona'. Pamoja na kwamba mahindi uhifadhiwa kwa madawa ili yasiharibike (athari kwa fedha) kuna tatizo lingine kwa afya zetu yasemekana.
Tahadhali na unga wa dona, ni hatari kwa afya kwa sababu ya sumu inayoitwa 'aflatoxin" ambayo huwa ndani ya kiini cha mbegu ya mhindi. Ukikobolewa kiini uondolewa na kubaki unga mweupe (sembe).
Wengi sasa hawependi kula ugali wa sembe kwa sababu ya kukosa protini (iliyomo kwenye kiini). Lakini hasara ya kukosa hiyo protein ni ndogo sana kulinganisha na madhara ya "aflatoxin" itakayosababisha "cancer" mwilini mwa binadamu.
TAFAKARI CHUKUA HATUA